Hatuna utamaduni wa maandamano hapa Tanzania, busara ya miaka mingi imeyakataa. Na sio wajinga kuamini katika suluhisho lenye kutokana na ujenzi wa hoja.
Mkuu Huwa nakushangaa sana, personality yako mbele bya Jamii, na mambo hovyo hovyo ambayo unachangia hapa.
Sijawahi kuona la Maana, mkuu uligusa kidogo philosophy??
Branch ya Logic??
Kama ulisoma, hukuelewa, au hutaki ku aply kwenye maisha.
Unaandika vitu ,kuchangia kama bonge flani la LUMPEN,najiuliza ujinga na upuuzi huu unalipwa ngapi??
Na kama unalenga teuzi ni hatari sana kugeuza uongo kuwa ukweli.
"Eti hatuna utamaduni wa maandamano ,yanakataliwa"
Unaujua katiba ya nchi wewe?? Ulisoma elimu ya uraia??
Maandamano yapo na yameruhusiwa na katiba za nchi nyingi duniani ,ikiwemo katiba ya Tz ya 1977 na Sheria ya vyama vya siasa.
Sasa wewe samahani naomba nikuite KENGE kwa ruhusa Yako,ni utamaduni upi unaozungumzia wewe??🤔🤔
Nyie watu mnataka kuharibu Siku bya bwana.
Understanding Yako naona anakupita mwanafunzi wa kidato Cha pili kwenye elimu bya uraia civics.🤔🤔
Acha kuendekeza NJAA ya kutaka teuzi waachie akina Luke Mwashambwa.
Msalimie sana 🐸🐸🤣 Kiziwi kabakiza miezi 10, mwambie afungashe kurudi KIZIMKAZI.
2025 Rais Mwanaume, Mkristu, Mkatoliki.😀😀