Falsafa ya mzee wangu kusomea Udaktari, Engineering au Sheria imetuokoa sana Watoto wake hence prooven, Nami sina budi kuiendeleza kwa watoto

Falsafa ya mzee wangu kusomea Udaktari, Engineering au Sheria imetuokoa sana Watoto wake hence prooven, Nami sina budi kuiendeleza kwa watoto

Hapo umechapia, hawezi kujuta kupoteza muda kusoma cpa; hiyo inamsaidia kutunza mahesabu yake ya kila siku katika biashara ya matikiti yake. Kumbuka sio kwamba anauza matikiti tu, bali na yeye ananunua mahitaji ya hicho kilimo; mbegu, madawa, utaalamu, mishahara, nk. Vyote hivyo vinahitaji utunzaji wa hesabu (bookeeping), ili mwisho wa siku, akija kuuza matikiti yake, aingize gharama na mapato na kupata balance sheet. Sasa bila elimu ya uhasibu, haya atayaweza? Na kwa kadiri siku zinavyozidi kwenda, ndivyo biashara nayo inazidi kukua, na uzito wa mahesabu unaongezeka. Hivyo hajutii kupoteza muda wa kusomea cpa.
wala sijachapia, kumbuka si maneno yangu ni ya mhusika mweyewe, kutengeneza hesabu za hicho kilimo anchofanya sasa hakuhitaji hata ufaulu wa ATEC, sembuse cpa. matarajio yake yalikuwa makubwa sana kuwa cpa ingemuingizia mihela but kinachomuingizia hela kingiiine kabisaaa
 
wala sijachapia, kumbuka si maneno yangu ni ya mhusika mweyewe, kutengeneza hesabu za hicho kilimo anchofanya sasa hakuhitaji hata ufaulu wa ATEC, sembuse cpa. matarajio yake yalikuwa makubwa sana kuwa cpa ingemuingizia mihela but kinachomuingizia hela kingiiine kabisaaa
Namshauri asijutie, na watu wengine wasife moyo wa kusoma course za juu wakihofia watapoteza rasilimali muda na fedha. Elimu ni asset, kama haitamsaidia leo, itamsaidia kesho. Ukiwa na nyumba ya vyumba vinne, vikatumika vitatu, huwezi kusema kile kilichobaki ni hasara; muda wowote kitapata matumizi!
 
Kuna uzi nimetoka kuusoma humu nami wacha nikazie

Na ndivyo ilivyo hata kwenye ukoo wetu, wengi wamesomea Sheria, Uhandisi ama Udaktari.. Wachache sana wamesomea Accounting baada ya kushindwa kuchagua kozi hizo tatu.

Hata mimi nimesomea kimoja wapo na nikiri kwamba nilipata msaada mkubwa kwenye ushauri, guidance na kwenye ajira nilishikwa mkono a.k.a connection maana nilisomea vitu ambavyo kuna ndugu tayari wanajua michakato yake, ningesomea mambo mengine ingebidi nipambane sana kivyangu.

Yes, na mimi ndicho nilichowakazia Watoto wasomea... udaktari, sheria au Uhandisi (kuna moja anapenda mambo ya computer nampa motivation aje asomee computer engineering yenye uzito kuzidi IT na computer science).

Katika hizi kozi nimewapa ahadi kwamba iwe isiwe lazima ntasomesha nje ya nchi wacha nijibane tu,

Ikija kutokea wameshindwa kabisa basi wasomee Accounting au na hio ufamasia niliyoiona post nyingine ila watasomea vyuo vya hapa hapa kwetu.

Nje ya hapo waje kujisomesha kwa ada zao.

Hata kwa wa israel, wahindi na wanaijeria, makundi ambayo hata Marekani yana asilimia kubwa ya wasomi kwenye jamii zao (wakiongozewa na wanaijeria) nimeona nao falsafa zao ni hizo hizo DOCTOR, ENGINEERING, LAWYER.

Najua kuna watu watakuja kusema kuna wengine wamesomea insurance wana ajira wakati wengine wamesomea hizo kozi wapo mtaani, kuna darasa la saba hawajasoma vyuoni wametoboa zaidi kuzidi waliosomea kozi hizo, n.k. niwajuze tu ya kwamba hizo kozi nilizosisitiza zina zina probability rate nzuri ya kuajiriwa kwenye system, na muhimu zaidi zipo fursa za kujiajiri. waweza kupiga hybrid pia ofisini + biashara zako.

Najua pia kuna watu watakuja kusema ajira ni utumwa, hahahaha, ni kwamba aina hii ya watu mara nyingi wana wazazi au ndugu walioajiriwa serikalini huku chini chini basi wakiona mtu hawezi kununua hata kagari wanaona ajira zotee hazina kitu, Zungukeni mjionee nyie! Mshahara haujawahi kumtajirisha mtu lakini watu wanaishi maisha standard wanafaidi mema si haba, wanasomesha watoto private, wanakula vizuri, wanai nyumba kadhaa, magari yapo, n.k.,

Ni kweli kujiajiri biashara zinatengeneza matajiri ila usije kuthubutu kusema waajiriwa wote uchumi unawatesa, alafu hata hizo biashara huwa zinaongelewa kwa juu juu, huku watu wanaofeli huwa wanapata shida si mchezo, mtu anaweza kuamka alfajiri anarudi usiku kaindia elf 5 tu, hapo hujazungumzia madeni, marejesho ya mkopo, kufilisika, n.k.
Hiv mtu anasoma akitageti mshahara au kutanua uelewa mkuu. Nauliza tu kwa kuchokonoa hoja yako usimaind. Ila somesheni watoto aisee. Mi fani nazotaman watoto wangu wasomee ni sheria hasa sheria za kodi, computer injinia na accounting. Udaktari hapana. Na nisingependa mtoto asome sana cjui uprof hapana. Ila kuajiriwa wataajiriwa kupata uzoefu sio kaz aisee Ndani ya miaka 3 mwisho wanatakiwa wawe na shughuli zao kuendana na walichosomea. Nimejiandaa kwa hilo. Ila la msingi ni vizuri uandae shughuli ya generation yako maana ukifa watoto hawatarithi cheo chako cha ofisi ni unawapanga kujua shughuli zako unafanyaje mdogo mdogo. Mi kila watoto walipokuwa wanafunga shule mwez wa 6 nasafir nao. Wanajua ninavyonunua mzigo namna ninavyobanana na mchina mpaka mzigo kufika dukan na kuusambaza kwa walaji. Kijana wangu mkubwa ndio kamaliza chuo wiki mbili tu ndio yupo front. So hongera ila andaa shughuli za familia itakusaidia in future to come.
 
Kuna uzi nimetoka kuusoma humu nami wacha nikazie

Na ndivyo ilivyo hata kwenye ukoo wetu, wengi wamesomea Sheria, Uhandisi ama Udaktari.. Wachache sana wamesomea Accounting baada ya kushindwa kuchagua kozi hizo tatu.

Hata mimi nimesomea kimoja wapo na nikiri kwamba nilipata msaada mkubwa kwenye ushauri, guidance na kwenye ajira nilishikwa mkono a.k.a connection maana nilisomea vitu ambavyo kuna ndugu tayari wanajua michakato yake, ningesomea mambo mengine ingebidi nipambane sana kivyangu.

Yes, na mimi ndicho nilichowakazia Watoto wasomea... udaktari, sheria au Uhandisi (kuna moja anapenda mambo ya computer nampa motivation aje asomee computer engineering yenye uzito kuzidi IT na computer science).

Katika hizi kozi nimewapa ahadi kwamba iwe isiwe lazima ntasomesha nje ya nchi wacha nijibane tu,

Ikija kutokea wameshindwa kabisa basi wasomee Accounting au na hio ufamasia niliyoiona post nyingine ila watasomea vyuo vya hapa hapa kwetu.

Nje ya hapo waje kujisomesha kwa ada zao.

Hata kwa wa israel, wahindi na wanaijeria, makundi ambayo hata Marekani yana asilimia kubwa ya wasomi kwenye jamii zao (wakiongozewa na wanaijeria) nimeona nao falsafa zao ni hizo hizo DOCTOR, ENGINEERING, LAWYER.

Najua kuna watu watakuja kusema kuna wengine wamesomea insurance wana ajira wakati wengine wamesomea hizo kozi wapo mtaani, kuna darasa la saba hawajasoma vyuoni wametoboa zaidi kuzidi waliosomea kozi hizo, n.k. niwajuze tu ya kwamba hizo kozi nilizosisitiza zina zina probability rate nzuri ya kuajiriwa kwenye system, na muhimu zaidi zipo fursa za kujiajiri. waweza kupiga hybrid pia ofisini + biashara zako.

Najua pia kuna watu watakuja kusema ajira ni utumwa, hahahaha, ni kwamba aina hii ya watu mara nyingi wana wazazi au ndugu walioajiriwa serikalini huku chini chini basi wakiona mtu hawezi kununua hata kagari wanaona ajira zotee hazina kitu, Zungukeni mjionee nyie! Mshahara haujawahi kumtajirisha mtu lakini watu wanaishi maisha standard wanafaidi mema si haba, wanasomesha watoto private, wanakula vizuri, wanai nyumba kadhaa, magari yapo, n.k.,

Ni kweli kujiajiri biashara zinatengeneza matajiri ila usije kuthubutu kusema waajiriwa wote uchumi unawatesa, alafu hata hizo biashara huwa zinaongelewa kwa juu juu, huku watu wanaofeli huwa wanapata shida si mchezo, mtu anaweza kuamka alfajiri anarudi usiku kaindia elf 5 tu, hapo hujazungumzia madeni, marejesho ya mkopo, kufilisika, n.k.
Nikiangalia tu Kwa maelezo yako ni kama unahadithia kitini cha mwakimu wako.
Bado una story za vijiweni na huijui dunia ya Sasa vizuri.
Hizo ni story za miaka ya 47.

Nani kakwambia kuwa eng,lawyers na Dr ndo kuwa na pesa? Hizo zilikuwa Imani za jadi ambazo ni sawa na ushirikina.

Dunia ya Sasa haihitaji kukariri vitini bali versatile brain na real time reaction.
 
Nikiangalia tu Kwa maelezo yako ni kama unahadithia kitini cha mwakimu wako.
Bado una story za vijiweni na huijui dunia ya Sasa vizuri.
Hizo ni story za miaka ya 47.

Nani kakwambia kuwa eng,lawyers na Dr ndo kuwa na pesa? Hizo zilikuwa Imani za jadi ambazo ni sawa na ushirikina.

Dunia ya Sasa haihitaji kukariri vitini bali versatile brain na real time reaction.
Hajui hao malawyer wanatembea na mihuri ya kukugongea document Kwa elfu 20.
 
Back
Top Bottom