Falsafa ya R 4 za Rais Samia inakupa Mtanzania uhuru wako wa kweli

Falsafa ya R 4 za Rais Samia inakupa Mtanzania uhuru wako wa kweli

Aidha SSH anataka hizo 4R kwa dhati na moyo safi kabisa lakini kuna watu ndani ya CCM hawazitaki, au SSH anatuhadaa wananchi kwa hizo 4R kuvuta muda mpaka 2025.

Kwa maoni yangu, tutamwona SSH halisi baada ya 2025. Na ikiwa ni CCM ndio hawataki hizo 4R basi tumwombee mheshimiwa Rais wetu, kwasababu watafanya juu chini kumkwamisha.

..tofauti na watangulizi Maza ameanza wizi na ufisadi ktk kipindi cha kwanza cha uongozi wake.
 
Toka nilipoanza kuzisoma na kuzifanyia tafiti zangu binafsi R 4 za mama Samia nimeona na nnaendelea kuona kuwa R 4 za mama Samia zimelenga kumpa uhuru wa kweli kila mmoja wetu kivyake na siyo uhuru wa kukusanywa kikundi na kujazwa ujinga na "viongozi".

Tatizo kubwa na la kipekee la Watanzania ni ujinga, hili nimelirudia mara kwa mara na naendelea kulirudia. Naamini kwenda shule pekee na kujaza vyeti ukuta mzima siyo kuelimika, kuelimika ni zaidi ya hapo. Hutoelimika mpaka uwe na uwezo wa kusikiliza na kufata hekima njemaza qwengine daima.

Kuondoa ujinga ni pale wewe kama wewe utapoanza kufikiri, kuwaza na kutenda kwa faida ya jamii na kuwacha mazowea ya ujinga wa u "mimi", "u yangu" na "u vyangu". Anza u sisi, u vyetu. Fikiria wenzako kabla hujajifiria nafasi yako. uwa huru ni kuwa na fikra za faida kwa wengine, siyo kwako. Bila kuwa na faida kwa wengine huna faida yoyote.

Ujinga mwengine ni ujinga wa kuwa tegemezi kwa wengine tuliojazwa nao kuanzia mkoloni mpaka leo hii. Ukienda kuomba msaada kwa rafiki, kaka, dada, mjomba, shangazi (kwa mtazamo wako ana uwezo) wa kukusaidia akishindwa kukusaidia basi kishakuwa mbaya, huo ni ujinga wa utegemezi. Anza kuufuta kwa kufanya "reconciliation".

R 4 za mama Samia zina vina virefu na vipana sana na vina vyake vinatugusa sote, kila mmoja wetu kivyake kwa faida ya walio wengi.

R ya kwanza "Reconciliation" ya mama Samia ina kina (very deep) kuliko tunavoisoma kijuu juu kuwa ni kusameheana tu. Unapomsamehe mwenzako hufikirii maumivu yaliyokupata wewe bali unafikiria kuyaponya maumivu na kuondoa makovu yako kwa kumsamehe yeye kwa faida yako, yake na ya jamii kwa ujumla. Kusamehe {forgiveness) ni dhana moja tu katika "reconcialtion".

Nikiiongelea hii dhana moja tu ya "Reconciliation" ntaujaza huu uzi bila kuzigusia dhana nyingine.

Kwa ufupi "reconciliation" imelenga kukuweka huru kwanza katika fikra zako na vitendo vyako, inakupa amani ya moyo na nafsi yako na ya wale ambao ume "reconciliate" nao. Reconciliation ya kwanza kabisa ni kukubali ndani ya moyo wako kuwa upo huru na jamii yako inayokuzunguka na hauna minyororo (minyonyoro, ki mama Samia) inayokufunga nafsi na mawazo yako. Reconiciliation ni ufunguo wa kuifunguwa minyororo inayokuzonga zonga kifikra na kukuweka huru kabisa.

Leo naishia hapo, nikitoka hapo ntaingia kwenye R ya pili.

Anza kuwa huru kwa kufanya reconciliation" na nafsi yako kwanza, halafu tazama unaendelea kufanya "reconciliation" na nani kila siku ya maisha yako?

Unapochangia uzi huu kuwa huru bila kujizonga zonga na minyororo uliyojifunga au uliyofungwa kwa kufanywa u mjinga wa kuburuzwa. Fanya "reconciliation" ya kweli. Ongea na nafsi yako.

Itaebdelea.
Dada/balozi wewe unao uhuru?
 
Toka nilipoanza kuzisoma na kuzifanyia tafiti zangu binafsi R 4 za mama Samia nimeona na nnaendelea kuona kuwa R 4 za mama Samia zimelenga kumpa uhuru wa kweli kila mmoja wetu kivyake na siyo uhuru wa kukusanywa kikundi na kujazwa ujinga na "viongozi".

Tatizo kubwa na la kipekee la Watanzania ni ujinga, hili nimelirudia mara kwa mara na naendelea kulirudia. Naamini kwenda shule pekee na kujaza vyeti ukuta mzima siyo kuelimika, kuelimika ni zaidi ya hapo. Hutoelimika mpaka uwe na uwezo wa kusikiliza na kufata hekima njemaza qwengine daima.

Kuondoa ujinga ni pale wewe kama wewe utapoanza kufikiri, kuwaza na kutenda kwa faida ya jamii na kuwacha mazowea ya ujinga wa u "mimi", "u yangu" na "u vyangu". Anza u sisi, u vyetu. Fikiria wenzako kabla hujajifiria nafasi yako. uwa huru ni kuwa na fikra za faida kwa wengine, siyo kwako. Bila kuwa na faida kwa wengine huna faida yoyote.

Ujinga mwengine ni ujinga wa kuwa tegemezi kwa wengine tuliojazwa nao kuanzia mkoloni mpaka leo hii. Ukienda kuomba msaada kwa rafiki, kaka, dada, mjomba, shangazi (kwa mtazamo wako ana uwezo) wa kukusaidia akishindwa kukusaidia basi kishakuwa mbaya, huo ni ujinga wa utegemezi. Anza kuufuta kwa kufanya "reconciliation".

R 4 za mama Samia zina vina virefu na vipana sana na vina vyake vinatugusa sote, kila mmoja wetu kivyake kwa faida ya walio wengi.

R ya kwanza "Reconciliation" ya mama Samia ina kina (very deep) kuliko tunavoisoma kijuu juu kuwa ni kusameheana tu. Unapomsamehe mwenzako hufikirii maumivu yaliyokupata wewe bali unafikiria kuyaponya maumivu na kuondoa makovu yako kwa kumsamehe yeye kwa faida yako, yake na ya jamii kwa ujumla. Kusamehe {forgiveness) ni dhana moja tu katika "reconcialtion".

Nikiiongelea hii dhana moja tu ya "Reconciliation" ntaujaza huu uzi bila kuzigusia dhana nyingine.

Kwa ufupi "reconciliation" imelenga kukuweka huru kwanza katika fikra zako na vitendo vyako, inakupa amani ya moyo na nafsi yako na ya wale ambao ume "reconciliate" nao. Reconciliation ya kwanza kabisa ni kukubali ndani ya moyo wako kuwa upo huru na jamii yako inayokuzunguka na hauna minyororo (minyonyoro, ki mama Samia) inayokufunga nafsi na mawazo yako. Reconiciliation ni ufunguo wa kuifunguwa minyororo inayokuzonga zonga kifikra na kukuweka huru kabisa.

Leo naishia hapo, nikitoka hapo ntaingia kwenye R ya pili.

Anza kuwa huru kwa kufanya reconciliation" na nafsi yako kwanza, halafu tazama unaendelea kufanya "reconciliation" na nani kila siku ya maisha yako?

Unapochangia uzi huu kuwa huru bila kujizonga zonga na minyororo uliyojifunga au uliyofungwa kwa kufanywa u mjinga wa kuburuzwa. Fanya "reconciliation" ya kweli. Ongea na nafsi yako.

Itaebdelea.


This goverment has failed, and worse compared to all previous
 
Aidha SSH anataka hizo 4R kwa dhati na moyo safi kabisa lakini kuna watu ndani ya CCM hawazitaki, au SSH anatuhadaa wananchi kwa hizo 4R kuvuta muda mpaka 2025.

Kwa maoni yangu, tutamwona SSH halisi baada ya 2025. Na ikiwa ni CCM ndio hawataki hizo 4R basi tumwombee mheshimiwa Rais wetu, kwasababu watafanya juu chini kumkwamisha.
Hana sababu ya kuvuta muda, muda utafika, akiwa hai ataukuta na atauwacha.

R 4 za mama samia si za mdomoni tu, ni za vitendo kabisa, kama huioni hakuna asiye na macho akaambiwa ona.
 
Toka nilipoanza kuzisoma na kuzifanyia tafiti zangu binafsi R 4 za mama Samia nimeona na nnaendelea kuona kuwa R 4 za mama Samia zimelenga kumpa uhuru wa kweli kila mmoja wetu kivyake na siyo uhuru wa kukusanywa kikundi na kujazwa ujinga na "viongozi".

Tatizo kubwa na la kipekee la Watanzania ni ujinga, hili nimelirudia mara kwa mara na naendelea kulirudia. Naamini kwenda shule pekee na kujaza vyeti ukuta mzima siyo kuelimika, kuelimika ni zaidi ya hapo. Hutoelimika mpaka uwe na uwezo wa kusikiliza na kufata hekima njemaza qwengine daima.

Kuondoa ujinga ni pale wewe kama wewe utapoanza kufikiri, kuwaza na kutenda kwa faida ya jamii na kuwacha mazowea ya ujinga wa u "mimi", "u yangu" na "u vyangu". Anza u sisi, u vyetu. Fikiria wenzako kabla hujajifiria nafasi yako. uwa huru ni kuwa na fikra za faida kwa wengine, siyo kwako. Bila kuwa na faida kwa wengine huna faida yoyote.

Ujinga mwengine ni ujinga wa kuwa tegemezi kwa wengine tuliojazwa nao kuanzia mkoloni mpaka leo hii. Ukienda kuomba msaada kwa rafiki, kaka, dada, mjomba, shangazi (kwa mtazamo wako ana uwezo) wa kukusaidia akishindwa kukusaidia basi kishakuwa mbaya, huo ni ujinga wa utegemezi. Anza kuufuta kwa kufanya "reconciliation".

R 4 za mama Samia zina vina virefu na vipana sana na vina vyake vinatugusa sote, kila mmoja wetu kivyake kwa faida ya walio wengi.

R ya kwanza "Reconciliation" ya mama Samia ina kina (very deep) kuliko tunavoisoma kijuu juu kuwa ni kusameheana tu. Unapomsamehe mwenzako hufikirii maumivu yaliyokupata wewe bali unafikiria kuyaponya maumivu na kuondoa makovu yako kwa kumsamehe yeye kwa faida yako, yake na ya jamii kwa ujumla. Kusamehe {forgiveness) ni dhana moja tu katika "reconcialtion".

Nikiiongelea hii dhana moja tu ya "Reconciliation" ntaujaza huu uzi bila kuzigusia dhana nyingine.

Kwa ufupi "reconciliation" imelenga kukuweka huru kwanza katika fikra zako na vitendo vyako, inakupa amani ya moyo na nafsi yako na ya wale ambao ume "reconciliate" nao. Reconciliation ya kwanza kabisa ni kukubali ndani ya moyo wako kuwa upo huru na jamii yako inayokuzunguka na hauna minyororo (minyonyoro, ki mama Samia) inayokufunga nafsi na mawazo yako. Reconiciliation ni ufunguo wa kuifunguwa minyororo inayokuzonga zonga kifikra na kukuweka huru kabisa.

Leo naishia hapo, nikitoka hapo ntaingia kwenye R ya pili.

Anza kuwa huru kwa kufanya reconciliation" na nafsi yako kwanza, halafu tazama unaendelea kufanya "reconciliation" na nani kila siku ya maisha yako?

Unapochangia uzi huu kuwa huru bila kujizonga zonga na minyororo uliyojifunga au uliyofungwa kwa kufanywa u mjinga wa kuburuzwa. Fanya "reconciliation" ya kweli. Ongea na nafsi yako.

Itaebdelea.
Hizi ni nadharia tu hakuna uhalisia wowote

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Toka nilipoanza kuzisoma na kuzifanyia tafiti zangu binafsi R 4 za mama Samia nimeona na nnaendelea kuona kuwa R 4 za mama Samia zimelenga kumpa uhuru wa kweli kila mmoja wetu kivyake na siyo uhuru wa kukusanywa kikundi na kujazwa ujinga na "viongozi".

Tatizo kubwa na la kipekee la Watanzania ni ujinga, hili nimelirudia mara kwa mara na naendelea kulirudia. Naamini kwenda shule pekee na kujaza vyeti ukuta mzima siyo kuelimika, kuelimika ni zaidi ya hapo. Hutoelimika mpaka uwe na uwezo wa kusikiliza na kufata hekima njemaza qwengine daima.

Kuondoa ujinga ni pale wewe kama wewe utapoanza kufikiri, kuwaza na kutenda kwa faida ya jamii na kuwacha mazowea ya ujinga wa u "mimi", "u yangu" na "u vyangu". Anza u sisi, u vyetu. Fikiria wenzako kabla hujajifiria nafasi yako. uwa huru ni kuwa na fikra za faida kwa wengine, siyo kwako. Bila kuwa na faida kwa wengine huna faida yoyote.

Ujinga mwengine ni ujinga wa kuwa tegemezi kwa wengine tuliojazwa nao kuanzia mkoloni mpaka leo hii. Ukienda kuomba msaada kwa rafiki, kaka, dada, mjomba, shangazi (kwa mtazamo wako ana uwezo) wa kukusaidia akishindwa kukusaidia basi kishakuwa mbaya, huo ni ujinga wa utegemezi. Anza kuufuta kwa kufanya "reconciliation".

R 4 za mama Samia zina vina virefu na vipana sana na vina vyake vinatugusa sote, kila mmoja wetu kivyake kwa faida ya walio wengi.

R ya kwanza "Reconciliation" ya mama Samia ina kina (very deep) kuliko tunavoisoma kijuu juu kuwa ni kusameheana tu. Unapomsamehe mwenzako hufikirii maumivu yaliyokupata wewe bali unafikiria kuyaponya maumivu na kuondoa makovu yako kwa kumsamehe yeye kwa faida yako, yake na ya jamii kwa ujumla. Kusamehe {forgiveness) ni dhana moja tu katika "reconcialtion".

Nikiiongelea hii dhana moja tu ya "Reconciliation" ntaujaza huu uzi bila kuzigusia dhana nyingine.

Kwa ufupi "reconciliation" imelenga kukuweka huru kwanza katika fikra zako na vitendo vyako, inakupa amani ya moyo na nafsi yako na ya wale ambao ume "reconciliate" nao. Reconciliation ya kwanza kabisa ni kukubali ndani ya moyo wako kuwa upo huru na jamii yako inayokuzunguka na hauna minyororo (minyonyoro, ki mama Samia) inayokufunga nafsi na mawazo yako. Reconiciliation ni ufunguo wa kuifunguwa minyororo inayokuzonga zonga kifikra na kukuweka huru kabisa.

Leo naishia hapo, nikitoka hapo ntaingia kwenye R ya pili.

Anza kuwa huru kwa kufanya reconciliation" na nafsi yako kwanza, halafu tazama unaendelea kufanya "reconciliation" na nani kila siku ya maisha yako?

Unapochangia uzi huu kuwa huru bila kujizonga zonga na minyororo uliyojifunga au uliyofungwa kwa kufanywa u mjinga wa kuburuzwa. Fanya "reconciliation" ya kweli. Ongea na nafsi yako.

Itaebdelea.
Kwa hiyo rais wenu anasamehe mpaka majizi ya Mali za uma yaliyotajwa na cag si ndio ee, au kayatuma ? Maana eti nasikia aliyaambia majizi kila mmoja ale urefu wa kamba yake eti ni kweli Faiza?
 
Hizi ni nadharia tu hakuna uhalisia wowote

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Mama amaezifanya kwa vitendo na anendelea kuzifanya.

Reconciliation: Kina mbowe si unawaona nje leo? Kina lussu si unawaona wanakuja nchini kwa mapana na marefu, yule mchga mwengine alikimbilia Canada, anaitwa Lema, si unamuona karudi kutoka kwenye ukimbizi.

Matajiri kibao wamerudi waliikimbia Tanzania.

Kama ulikuwa huelewi hiyo ndiyo "reconciliation", na mengine sijakutajia, utajaza mwenyewe.
 
Back
Top Bottom