Falsafa ya R 4 za Rais Samia inakupa Mtanzania uhuru wako wa kweli


..tofauti na watangulizi Maza ameanza wizi na ufisadi ktk kipindi cha kwanza cha uongozi wake.
 
Dada/balozi wewe unao uhuru?
 


This goverment has failed, and worse compared to all previous
 
Hana sababu ya kuvuta muda, muda utafika, akiwa hai ataukuta na atauwacha.

R 4 za mama samia si za mdomoni tu, ni za vitendo kabisa, kama huioni hakuna asiye na macho akaambiwa ona.
 
Hizi ni nadharia tu hakuna uhalisia wowote

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo rais wenu anasamehe mpaka majizi ya Mali za uma yaliyotajwa na cag si ndio ee, au kayatuma ? Maana eti nasikia aliyaambia majizi kila mmoja ale urefu wa kamba yake eti ni kweli Faiza?
 
Hizi ni nadharia tu hakuna uhalisia wowote

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Mama amaezifanya kwa vitendo na anendelea kuzifanya.

Reconciliation: Kina mbowe si unawaona nje leo? Kina lussu si unawaona wanakuja nchini kwa mapana na marefu, yule mchga mwengine alikimbilia Canada, anaitwa Lema, si unamuona karudi kutoka kwenye ukimbizi.

Matajiri kibao wamerudi waliikimbia Tanzania.

Kama ulikuwa huelewi hiyo ndiyo "reconciliation", na mengine sijakutajia, utajaza mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…