Yaani ni walafi hatari !Asilimia 99, wanasiasa bongo ni maadui wa taifa hili.
Wanahangaikia maslahi yao
kikubwa uchaguzi uwe wa huru na wa haki.Wa Lisu Wako wengi sana halafu ni watu wenye Akili timamu na Ndo maana Mwwnyekiti ameshaanza Kuogopa..
Maana Wajumbe wa Mikoani karibu wote wanamuunga Lissu wilaya karibu zote zinamuunga Lissu..
Lissu alipotoa ile Kauli kuwa Ruzuku sasa Itafika Mpaka kwemye Mashina Kila Kiongozi afaidike na Uongozi wake na sio tabaka la Juu tu..
Kajizolea Wajumbe wengi sana ambao wameona kweli Mwamba anawapiga sana
Asipofanya watu watamsengenya eti mchoyo😁😁Amefanya party ya Christmas unasema ana hila!
Thibitisha😁Kaiba pesa nyingi zikiwemo za misaada kwa chama na huwa ni mchoyo mbinafsi sasa kalemewa ndipo Wajumbe wajanja wameamua kula pesa zake angalau wapoze machungu
🤣 🤣 🤣Hapo kamegewa Masega anabwabwaja kiasi kile Kama kiredio.
🤣 🤣 🤣Suala sio hata wanaccm wale wote walioshangilia kifo cha Mzalendo Magufuli mwisho wao kisiasa hautakuwa mzuri
Ina maana Mh. Lissu hakualikwa?EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…
Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…
Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…
Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!
FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo
Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!
View attachment 3185831
Lakini Hafla ilifana saaana…
Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!
Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…
itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..
View attachment 3185833
Hadi Sugu?Mbona mtandao wa lissu haujulikani?. Kina boni yai, ntobi, yericko, sugu wameishajifaragua wako na mbowe, hao wa lissu ni kina nani?
Kabisa !Kwa taarifa yako hakuna watu walioahangilia kifo cha magufuli kama ccm
Nani wa ccm anamtaka Mbowe? usilete hisia zako..weka ushahidiAjabu hadi ccm wanamtaka Mbowe si ajabu hii
Ndiyo mbinu mnaitumia baada ya kujua kuwa wapiga kura wako upande wa Mbowe. Hii picha ni uongo umeokoteza na kuunga unga.EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…
Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…
Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…
Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!
FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo
Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!
View attachment 3185831
Lakini Hafla ilifana saaana…
Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!
Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…
itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..
View attachment 3185833
Watamlia hela zake bure
Mbowe hawezi kutoboa
Kakosa mwaliko huyo.Msherehe na watu wote hao ina kuaje hafla ya siri
Kwani Sugu kaingizwa Chadema na nani?Hadi Sugu?
SijuiKwani Sugu kaingizwa Chadema na nani?
Kama hili ni tukio la siri basi hata mechi ya Yanga na Dodoma jiji ilichezwa kwa siri Dodoma.EXCLUSIVE NEWS zinanifikia mezani kwangu…
Jana siku ya X-Mass kulikua na Hafla Nyumbani kwa FAM…
Influencers wakubwa akiwemo Yule Jamaa Madenge wa EFM walialikwa… pamoja na Wanasiasa kadhaaa…
Tutegemee kuanzia January kuchafuka kwa Mitandanoi watu wapo kimaslahi Binafsi!
FAM atasifiwa kwa kila namna- ujue watu ndio wapo kazini hivyo
Pichani ni Jamaa wa EFM akiwa na Mtoto wa FAM- JAMES MBOWE- Nyumban kwao!
View attachment 3185831
Lakini Hafla ilifana saaana…
Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walifika… na pia influencers kuhakikisha Hasira za wana Online zinakua neautralized!
Kuna timu imeandaliwa ku CRUSH kila AGENDA ya Lissu hasa ya Ufisadi na Ukomo wa madaraka…
itaongozwa na Kikatuni /NTOBI/Boni mayai/MMM/Yeriko na baadhi wenye followers wengi ambao kazi ya kuwapata na kuwaunganisha amepewa Jamaa Wa EFM Aka Madenge..
View attachment 3185833
Kwahiyo unakubaliana na watu wanaosema Mwamba pia ni CCM yuko Planted Branch ya Chadema?!Kwa taarifa yako hakuna watu walioahangilia kifo cha magufuli kama ccm