Familia hohehahe zinazidi kuongezeka Tanzania

Familia hohehahe zinazidi kuongezeka Tanzania

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mama ntilie, machinga, bodaboda na dada poa wamezeeka na wameanza kupata wajukuu.

Hivi sasa mitaani kuna wazazi ambao ktk maisha yao hawajawahi kulala chumbani (bedroom). Tangu wazaliwe mpaka wamepata watoto wameishi kwenye chumba kimoja, choo cha nje na bafu la passport (mtu anaoga huku akisalimiana na wapita njia).

Kuna watoto wadogo (teenagers) ambao babu zao ni bodaboda, machinga na mama ntilie. Watoto hawa hawajawahi kuvaa nguo ya elfu 10.

Hii ni hatari sana. Kama taifa kuna haja ya hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuinusuru hali hii.

Kutotawalika kwa nchi ya Haiti chanzo chake ni umaskini wa watu wake.
 
Mama ntilie, machinga, bodaboda na dada poa wamezeeka na wameanza kupata wajukuu.

Hivi sasa mitaani kuna wazazi ambao ktk maisha yao hawajawahi kulala chumbani. Tangu wazaliwe mpk wamepata watoto wameishi kwenye chumba kimoja, choo cha nje na bafu la passport (mtu anaoga huku akisalimiana na wapita njia).

Kuna watoto wadogo (teenagers) ambao babu zao ni bodaboda, machinga na mama ntilie. Watoto hawa hawajawahi kuvaa nguo ya elfu 10.

Hii ni hatari sana. Kama taifa kuna haja ya hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuinusuru hali hii.

Kutotawalika kwa nchi ya Haiti chanzo chake ni umaskini wa watu wake.
Mm nalia na jobless... vichwa mda huu vishapata moto! Hii nchi vijana wake waoga tu
 
Mama ntilie, machinga, bodaboda na dada poa wamezeeka na wameanza kupata wajukuu.

Hivi sasa mitaani kuna wazazi ambao ktk maisha yao hawajawahi kulala chumbani. Tangu wazaliwe mpk wamepata watoto wameishi kwenye chumba kimoja, choo cha nje na bafu la passport (mtu anaoga huku akisalimiana na wapita njia).

Kuna watoto wadogo (teenagers) ambao babu zao ni bodaboda, machinga na mama ntilie. Watoto hawa hawajawahi kuvaa nguo ya elfu 10.

Hii ni hatari sana. Kama taifa kuna haja ya hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuinusuru hali hii.

Kutotawalika kwa nchi ya Haiti chanzo chake ni umaskini wa watu wake.
Sijakuelewaaaa una maana gani😊😊😊😄😉
 
Mama ntilie, machinga, bodaboda na dada poa wamezeeka na wameanza kupata wajukuu.

Hivi sasa mitaani kuna wazazi ambao ktk maisha yao hawajawahi kulala chumbani. Tangu wazaliwe mpk wamepata watoto wameishi kwenye chumba kimoja, choo cha nje na bafu la passport (mtu anaoga huku akisalimiana na wapita njia).

Kuna watoto wadogo (teenagers) ambao babu zao ni bodaboda, machinga na mama ntilie. Watoto hawa hawajawahi kuvaa nguo ya elfu 10.

Hii ni hatari sana. Kama taifa kuna haja ya hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuinusuru hali hii.

Kutotawalika kwa nchi ya Haiti chanzo chake ni umaskini wa watu wake.
CCM ni janga la taifa namba moja. Mzanzibar hatoshi 2025.
 
Mama ntilie, machinga, bodaboda na dada poa wamezeeka na wameanza kupata wajukuu.

Hivi sasa mitaani kuna wazazi ambao ktk maisha yao hawajawahi kulala chumbani. Tangu wazaliwe mpk wamepata watoto wameishi kwenye chumba kimoja, choo cha nje na bafu la passport (mtu anaoga huku akisalimiana na wapita njia).

Kuna watoto wadogo (teenagers) ambao babu zao ni bodaboda, machinga na mama ntilie. Watoto hawa hawajawahi kuvaa nguo ya elfu 10.

Hii ni hatari sana. Kama taifa kuna haja ya hatua madhubuti kuchukuliwa ili kuinusuru hali hii.

Kutotawalika kwa nchi ya Haiti chanzo chake ni umaskini wa watu wake.
Point kubwa sana tangu nimejiunga na JamiiForums. Sijui itakuwaje mbeleni
 
Back
Top Bottom