Familia imenijia juu kisa sijaomba ajira za ualimu serikalini ambazo kuna interview kuanzia Leo

Familia imenijia juu kisa sijaomba ajira za ualimu serikalini ambazo kuna interview kuanzia Leo

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
nimeitwa mzembe, nisiejitambua, wanadai nimesomeshwa kwa shida lakini naleta ujuaji kisa nimekua.

Ni hivi wakuu, kwa sasa nipo sekta binafsi, hapa mjini, mwaka jana nilipewa connection na mkuu wangu ya kusimamia mtihani wa form 4 ndipo nikapata mtaji wa kufungua goli la salon.

Kwa nini sijaomba?

1. kazini kwetu ukiomba serikalini unaitwa msaliti kiukweli tunalipwa kila mwezi japo ni average salary.

2. mwaka jana nilikua sijapata hata kamtaji wa biashara ko nilihisi nikipoteza ajira hii nitateseka upya. (huko nyuma nilisota adi vibarua).

Kuna mwalimu Leo kaenda intaview bila ruhusa na boss amejua (nimesikia tetesi kua ataletwa ticha mpya.)

3. sina uhakika kama ningepata Yan probability ni ndogo mno. masomo yangu ni arts.

4.nitaomba awamu ijayo nikiwa nina msingi imara ya pesa.
vip hapo wakuu nimekosea?
 
nimeitwa mzembe, nisiejitambua, wanadai nimesomeshwa kwa shida lakini naleta ujuaji kisa nimekua.

Ni hivi wakuu, kwa sasa nipo sekta binafsi, hapa mjini, mwaka jana nilipewa connection na mkuu wangu ya kusimamia mtihani wa form 4 ndipo nikapata mtaji wa kufungua goli la salon.

Kwa nini sijaomba?

1. kazini kwetu ukiomba serikalini unaitwa msaliti kiukweli tunalipwa kila mwezi japo ni average salary.

2. mwaka jana nilikua sijapata hata kamtaji wa biashara ko nilihisi nikipoteza ajira hii nitateseka upya. (huko nyuma nilisota adi vibarua).

Kuna mwalimu Leo kaenda intaview bila ruhusa na boss amejua (nimesikia tetesi kua ataletwa ticha mpya.)

3. sina uhakika kama ningepata Yan probability ni ndogo mno. masomo yangu ni arts.

4.nitaomba awamu ijayo nikiwa nina msingi imara ya pesa.
vip hapo wakuu nimekosea?
Mpwayungu Village njoo utoe ushauri huku màmbo ya waalimu unayamudu.
 
Kazi ambayo haina uhuru binafsi sio kazi mdogo wetu alafu mshahara sio msaada ni jasho lako ni haki yako..

Hapo ulipo Upo kwaajili ya kukamilisha malengo ya mtu mwingine, mmejengewa picha kwamba huo mshahara ni msaada sio haki yako umenyanganywa na akili mkawa wa tumwa kwa kukosa uhuru binafsi mnaishi kwa wasiwasi

Wazazi wapo sahihi hapo kuna siku utazushiwa uongo wowote na atakuja mwenzio.
 
nimeitwa mzembe, nisiejitambua, wanadai nimesomeshwa kwa shida lakini naleta ujuaji kisa nimekua.

Ni hivi wakuu, kwa sasa nipo sekta binafsi, hapa mjini, mwaka jana nilipewa connection na mkuu wangu ya kusimamia mtihani wa form 4 ndipo nikapata mtaji wa kufungua goli la salon.

Kwa nini sijaomba?

1. kazini kwetu ukiomba serikalini unaitwa msaliti kiukweli tunalipwa kila mwezi japo ni average salary.

2. mwaka jana nilikua sijapata hata kamtaji wa biashara ko nilihisi nikipoteza ajira hii nitateseka upya. (huko nyuma nilisota adi vibarua).

Kuna mwalimu Leo kaenda intaview bila ruhusa na boss amejua (nimesikia tetesi kua ataletwa ticha mpya.)

3. sina uhakika kama ningepata Yan probability ni ndogo mno. masomo yangu ni arts.

4.nitaomba awamu ijayo nikiwa nina msingi imara ya pesa.
vip hapo wakuu nimekosea?
Umefanya uamuzi sahihi
 
Kazi ambayo haina uhuru binafsi sio kazi mdogo wetu alafu mshahara sio msaada ni jasho lako ni haki yako..

Hapo ulipo Upo kwaajili ya kukamilisha malengo ya mtu mwingine, mmejengewa picha kwamba huo mshahara ni msaada sio haki yako umenyanganywa na akili mkawa wa tumwa kwa kukosa uhuru binafsi mnaishi kwa wasiwasi

Wazazi wapo sahihi hapo kuna siku utazushiwa uongo wowote na atakuja mwenzio.
Kwa hiyo mkuu unataka nifanyaje kulingana na uzi wangu? japokua upo kweli mkuu
 
nimeitwa mzembe, nisiejitambua, wanadai nimesomeshwa kwa shida lakini naleta ujuaji kisa nimekua.

Ni hivi wakuu, kwa sasa nipo sekta binafsi, hapa mjini, mwaka jana nilipewa connection na mkuu wangu ya kusimamia mtihani wa form 4 ndipo nikapata mtaji wa kufungua goli la salon.

Kwa nini sijaomba?

1. kazini kwetu ukiomba serikalini unaitwa msaliti kiukweli tunalipwa kila mwezi japo ni average salary.

2. mwaka jana nilikua sijapata hata kamtaji wa biashara ko nilihisi nikipoteza ajira hii nitateseka upya. (huko nyuma nilisota adi vibarua).

Kuna mwalimu Leo kaenda intaview bila ruhusa na boss amejua (nimesikia tetesi kua ataletwa ticha mpya.)

3. sina uhakika kama ningepata Yan probability ni ndogo mno. masomo yangu ni arts.

4.nitaomba awamu ijayo nikiwa nina msingi imara ya pesa.
vip hapo wakuu nimekosea?
Jiite shujaa Kama JPM
 
nimeitwa mzembe, nisiejitambua, wanadai nimesomeshwa kwa shida lakini naleta ujuaji kisa nimekua.

Ni hivi wakuu, kwa sasa nipo sekta binafsi, hapa mjini, mwaka jana nilipewa connection na mkuu wangu ya kusimamia mtihani wa form 4 ndipo nikapata mtaji wa kufungua goli la salon.

Kwa nini sijaomba?

1. kazini kwetu ukiomba serikalini unaitwa msaliti kiukweli tunalipwa kila mwezi japo ni average salary.

2. mwaka jana nilikua sijapata hata kamtaji wa biashara ko nilihisi nikipoteza ajira hii nitateseka upya. (huko nyuma nilisota adi vibarua).

Kuna mwalimu Leo kaenda intaview bila ruhusa na boss amejua (nimesikia tetesi kua ataletwa ticha mpya.)

3. sina uhakika kama ningepata Yan probability ni ndogo mno. masomo yangu ni arts.

4.nitaomba awamu ijayo nikiwa nina msingi imara ya pesa.
vip hapo wakuu nimekosea?
Simamia unachokiamini wewe ni wewe
 
nimeitwa mzembe, nisiejitambua, wanadai nimesomeshwa kwa shida lakini naleta ujuaji kisa nimekua.

Ni hivi wakuu, kwa sasa nipo sekta binafsi, hapa mjini, mwaka jana nilipewa connection na mkuu wangu ya kusimamia mtihani wa form 4 ndipo nikapata mtaji wa kufungua goli la salon.

Kwa nini sijaomba?

1. kazini kwetu ukiomba serikalini unaitwa msaliti kiukweli tunalipwa kila mwezi japo ni average salary.

2. mwaka jana nilikua sijapata hata kamtaji wa biashara ko nilihisi nikipoteza ajira hii nitateseka upya. (huko nyuma nilisota adi vibarua).

Kuna mwalimu Leo kaenda intaview bila ruhusa na boss amejua (nimesikia tetesi kua ataletwa ticha mpya.)

3. sina uhakika kama ningepata Yan probability ni ndogo mno. masomo yangu ni arts.

4.nitaomba awamu ijayo nikiwa nina msingi imara ya pesa.
vip hapo wakuu nimekosea?
Tupo wengi hatutaenda mkuu hauko peke ako
 
Back
Top Bottom