Secret person
JF-Expert Member
- Sep 23, 2019
- 242
- 363
Nina kaa morogoro tena mvomero huku Kodi nalipa Self elfu 50 sijaona kwanini watu wanasemaga maisha ya Moro ni mepesi sijui wanatumia akili gani kuongea hivyo.Wanaoropoka kuwa Morogoro au Mbeya ndiyo Kuna Maisha nafuu wanaishi mikoa hiyo au wanabwabwaja tu? Au huko ndiyo ataokota vyakula barabarani au Nyumba za kuishi zipo za bure au? Humu kuna watu wanawaza na kutoa ushauri kwa kutumia mata... Kwa Kweli..
Nimeshuhudia wadau wanatoka Morogoro wanakuja kuanza upya Dodoma..halafu Kuna Mtu yumo humu anasema nenda Morogoro kana kwamba kinachomtoa au alicholikosa Dodoma mikoa hiyo kipo mtaroni..
Shame on wote mliotoa uhauri huo
Wakati sehemu ninayoishi na mjini naul 1000 bado chakula ni cha kununua