Familia inateseka sana. Nisaidieni natafuta Kazi, Kibarua

Nina kaa morogoro tena mvomero huku Kodi nalipa Self elfu 50 sijaona kwanini watu wanasemaga maisha ya Moro ni mepesi sijui wanatumia akili gani kuongea hivyo.

Wakati sehemu ninayoishi na mjini naul 1000 bado chakula ni cha kununua
 
Afadhali umepata mwanamke mvumilivu, angekuwa mwingine tayari ungekuta kisha leta nguo za mabwana zake wahamie kwako.

Ukipata hela usije ukamsahau mkeo
Siyo mvumilivu, unadhani mwanamke mwenye mtoto mchanga ataenda wapi lazima awe mpole tu. Mungu ni mwema utavuka.
 
Pole sana ndugu yangu na kijana mwenzangu pambana wewe ni jembe, don't give up.
 
Achana na mambo ya kanisa mkuu. Unapoteza muda bure kwa mambo ambayo hayana uhalisia.

Pambania kombe dingilai.
Hapa unatafuta vita mkuu, umempa ushauri mzuri tu. Lakini haya mambo ya imani ni mzoea sio rahisi mtu kuyakwepa.
 
Bado haujafunguka, umewahi kumpeleka wapi Samweli aka Liverpool???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…