Familia mbili za anunaki ndio zinasumbua dunia hii hadi leo

Awakening...
 
Nadhani ulishawasikia kuwa mvua ikinyesha wakati jua linawaka basi Simba anazaliwa au Mama mjamzito haruhusiwi kula mayai,. Hizo zote hadith zilikuwepo until zakawa proven otherwise. Kwahiyo hata unachoongea kinaweza kuwa story kama zingine mpaka ziwe proven
 
Ziwe proven mara ngapi kamanda Hizi habari za ANNUNAK ni verified katika nchi za Dunia ya kwanza na kuna watafiti wanaenda mpaka site kabisa kushuhudia mabaki ya Migodi ya kale kabisa pamoja na sites zilizokua makao ya hao miungu,
Kote kote Duniani kuna evidence za kazi zao kuanzia Misri,Iraq,India,huko Thailand Sri lanka na Mesoamerica yote,
Mbali zaidi hadi huko zimbabwe na south Africa kote kuna historical sites za hao viumbe!
 
Hakuna Mungu huyo unayemsema, hizo zote ni stories za watu tu.

Ndiyo maana stories hazina uthibitisho wala logical consistency.

Hizo stories za Gilgamesh tumezisoma tangu tuko Sekondari. Leta habari mpya ambazo hazijulikani.
we kilanga ndio mmoja wapo wa uongo humu ndani.
 
Nimechekaaa🤣🤣.asante mleta mada kwa kichekesho chako
 
Movie ni zao
vitabu ni vyao
Media ni zao
Mamlaka ni zao

Kisha lengo baya ni lao!
Kwa nini wasikupotoshe!
 
Kuongeza uelewa tusome vitabu
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…