Familia mbili za anunaki ndio zinasumbua dunia hii hadi leo

Naomba unijibu maswali haya mkuuu

1.kazi ya dhahabu ni ipi kwa hao miungu?
2.kwa nn waliondoka hapa duniani?
3.kwa nini hawawarudi tena kama waliondoka?
4.je dhahabu inayo chimbwa nyakati hizi bado wanakuja kubebe?
5.mtoto wa annunaki alikuwa mfalme akashangaaa mzazi kufa?wakatiti umesema tulitengenezwa?
6.mwanzo wa hao annunaki ni wapi?na nini(orignal of that annunaki creator of the creator)naanisha mwanzo wa maisha kwa huyo mwanzo.
 
Mtoa mada akuje atoe au ajibu haya.
 
Elimu ni bahari wakati unatufundisha ushetani?

Shubaamitt πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hizi story zinasound genuine kuliko za kidini zinazoishi kwa misingi ya imani pekee.

tatizo ninaloliona hazijawekwa ktk mtiririko wa wazi wenye lengo la kueleweka,hata walioziandika bado inaonekana wana nia ya kuficha kitu fulani.
Ukingalia utitiri wa nyota,galaxies,na ukubwa wa baadhi ya sayari tulizo nazo ktk jua letu,ni wazi zilikuwa na kazi nyingine kwa malengo mengine kabisa ambayo kwa namna moja au nyingine zimetelekezwa na kubaki ukiwa.

Pale Egypt kuna pyramids,ambazo zimekosa maelezo 100% kwamba zilijengwaje na nani kwa malengo yepi!!!!vitabu vyetu vya dinj vinaonyesga pia havizijui,maana ni za muda kuvizidi.
NB:watu waache mafuvu wazi yafunguke,wasiyafanue magumu.
 
Naomba elimu zaidi mkuu katika hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…