Familia nzima yawa Watawa

Familia nzima yawa Watawa

Wanampuuza Mungu ANAPOSEMA zaeni Mkaongezeke Mkaijaze Dunia na kuitiisha.

Yani Hawa Roman ni Aunt Christ.
That's why VATCAN ikatengeneza Quran....
 
Hii familia ya wapi
Mapadri 2 mzee kaula ni zaidi ya kitengo tra 😃
 
mapadre mbona wanakula malaya tu uku mtaani, wanawatia mimba masista wanawekwa sehem private wanazaa kisha wanaeudi kazini, unafki mbaya sana. kuna padre mtaani kwangu amefumaniwa ugoni na mke wa mtumishi, amepigwa million 15 wavunge. hao wanaendeleza vizazi ni vile kwa siri siri.

NYEGE NI KITU KINGINE, HERI MLEVI AKOSE POMBE ILA SIO NYEGE
 
Wanampuuza Mungu ANAPOSEMA zaeni Mkaongezeke Mkaijaze Dunia na kuitiisha.

Yani Hawa Roman ni Aunt Christ.
That's why VATCAN ikatengeneza Quran....
hilo la vatican kutengeneza quran mbona quran ikawa kwa waarabu badala ya kuaminiwa pia na wazungu? Any way kwa vile ndiko kilipo kiti cha mpinga kristo si ajabu kutengeneza hicho kitu
 
Huyo baba kala hasara.

Biggest loss kwa mzee.

Mzee bora asingezaa tu.

Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.

Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.

Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.

Hasara tupu.
Kuwa na generation kwa miaka ijayo kuna faida gani kwa huyo mzee ambayo inazidi faida ya watoto wake wote kumtumikia MUNGU.

kwan anayezidisha vizazi Duniani ni nani?

Ni heri kuzaa watawa na mapadre na masheikh kuliko kuzaa walevi,wabakaji,wezi na mashoga.
 
Huyo baba kala hasara.

Biggest loss kwa mzee.

Mzee bora asingezaa tu.

Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.

Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.

Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.

Hasara tupu.
Hasara gani mkuu?! Humi mrembo yupi ambaye angekuvutia enzi za ujana wake!? Wote sura za kufukuza uzazi tu
 
Tukiwaambia hili suala la kutokuoa mumepigwa nyie wakatoliki mnashupaza mdomo

Haya sasa na huyo mzee angeamua kua Mtawa hao watoto wangepatikana?
 
Kuwa na generation kwa miaka ijayo kuna faida gani kwa huyo mzee ambayo inazidi faida ya watoto wake wote kumtumikia MUNGU.

kwan anayezidisha vizazi Duniani ni nani?

Ni heri kuzaa watawa na mapadre na masheikh kuliko kuzaa walevi,wabakaji,wezi na mashoga.
Mapadri wapi, hawa wanaofira watoto wadogo?

99% ya hao jamaa kazi yao ni kufira watoto.

Mungu mwenyewe anataka watu wazaaane na waongezeke, watu wa mwanzo wanewndeleza huo utamaduni wa kutokuzaa sisi tungekuwepo? Hao jamaa ni wasengerema kama wasengerema wengine.
 
Mapadri wapi, hawa wanaofira watoto wadogo?

99% ya hao jamaa kazi yao ni kufira watoto.

Mungu mwenyewe anataka watu wazaaane na waongezeke, watu wa mwanzo wanewndeleza huo utamaduni wa kutokuzaa sisi tungekuwepo? Hao jamaa ni wasengerema kama wasengerema wengine.
Wewe walishawahi kukufira?
 
Familia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434
Mungu amewabariki sana. Nyie mnaoponda,zipo familia nyingi zimepoteza kizazi chote,(baba.mama,watoto) kwa ajali za barabarni,moto,mafuriko,magonjwa...nk. Mungu anamakusudi kwa kila uzao uliopo.
 
Back
Top Bottom