Familia nzima yawa Watawa

Familia nzima yawa Watawa

Ila duniani kuna watu wamepinda nyie! Kuna jamaa angu kipindi flan alikua anamla sister aliefunga nadhir kabisa...Dah.
Aliyepinda hapo ni sister ambaye inajulikana wazi kabisa nadhiri yao kwamba hawapaswi kujihusisha na hayo mambo
 
Aliyepinda hapo ni sister ambaye inajulikana wazi kabisa nadhiri yao kwamba hawapaswi kujihusisha na hayo mambo
Wao pia wanapenda kupigwa miti nao Wana nyege km binadamu wengine na wanapigwa miti na wanazaa sema kwa Siri, mengine acha nisiropoke hapa we mdomo koma kuropoka utasomewa Salamu Maria 400 hapa hadi kichwa kibust, Buddha
 
Mapadri siku hizi wanazaa,huyo mzee mbinguni moja kwa moja,hakosi wajukuu wa michepuko ya mapadri wake
Sio mapadrii tu masista wanazaa kwa Siri sio jambo la wazi Ila wanazaa na wanalea na wanakuza, usicheze na kitu kinaitwa nyege mkuu, nyege kitu kingine
 
Tatizo wa bongo tunaweza kuongea kitu hata hatukujui. Kama kuna padri wamezaa lazima ulikuwepo wakati anaweka mimba, au unauhakika
 
Back
Top Bottom