CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Hasara hii,Familia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434
hilo la vatican kutengeneza quran mbona quran ikawa kwa waarabu badala ya kuaminiwa pia na wazungu? Any way kwa vile ndiko kilipo kiti cha mpinga kristo si ajabu kutengeneza hicho kituWanampuuza Mungu ANAPOSEMA zaeni Mkaongezeke Mkaijaze Dunia na kuitiisha.
Yani Hawa Roman ni Aunt Christ.
That's why VATCAN ikatengeneza Quran....
Kuwa na generation kwa miaka ijayo kuna faida gani kwa huyo mzee ambayo inazidi faida ya watoto wake wote kumtumikia MUNGU.Huyo baba kala hasara.
Biggest loss kwa mzee.
Mzee bora asingezaa tu.
Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.
Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.
Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.
Hasara tupu.
Hasara gani mkuu?! Humi mrembo yupi ambaye angekuvutia enzi za ujana wake!? Wote sura za kufukuza uzazi tuHuyo baba kala hasara.
Biggest loss kwa mzee.
Mzee bora asingezaa tu.
Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.
Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.
Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.
Hasara tupu.
MUNGU azid kuwabariki na kuwatendea mema kweny maisha yaoFamilia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434
Ni neema wakiwa watumishi wa kweli na wasiwe wa livelihood katika Mungu. I hope hao wakiume watazalisha viumbe secretlyFamilia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434
Inawezekana wazazi waligomea wito.Mungu akauhamishia kwa watotoFamilia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434
Mapadri wapi, hawa wanaofira watoto wadogo?Kuwa na generation kwa miaka ijayo kuna faida gani kwa huyo mzee ambayo inazidi faida ya watoto wake wote kumtumikia MUNGU.
kwan anayezidisha vizazi Duniani ni nani?
Ni heri kuzaa watawa na mapadre na masheikh kuliko kuzaa walevi,wabakaji,wezi na mashoga.
Wameua kizazi hawa 🙁Familia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434
Wewe walishawahi kukufira?Mapadri wapi, hawa wanaofira watoto wadogo?
99% ya hao jamaa kazi yao ni kufira watoto.
Mungu mwenyewe anataka watu wazaaane na waongezeke, watu wa mwanzo wanewndeleza huo utamaduni wa kutokuzaa sisi tungekuwepo? Hao jamaa ni wasengerema kama wasengerema wengine.
Mungu amewabariki sana. Nyie mnaoponda,zipo familia nyingi zimepoteza kizazi chote,(baba.mama,watoto) kwa ajali za barabarni,moto,mafuriko,magonjwa...nk. Mungu anamakusudi kwa kila uzao uliopo.Familia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434
Juzi hapa wameshika mmoja anakufira, leo unageuka kuwatetea waume zako?Wewe walishawahi kukufira?
Utaendelea kufumuliwa linda hizo ukiendelea kuongelea ovyo wanaume.Juzi hapa wameshika mmoja anakufira, leo unageuka kuwatetea waume zako?
Familia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434
Waume zako wakitajwa unawaka sana mama, nini shida mtoto mzuri?Utaendelea kufumuliwa linda hizo ukiendelea kuongelea ovyo wanaume.