Familia tajiri Tanzania

Hizi ni pumba tu.

Wenye hela hawako hapa kabisa:-
Bakhressa
ROSTAM
DEWJI
 
Mmmmmh yaani Bakhressa azidiwe na akina Moo Dewji?

Kikwete family naona haipo??

Mkapa family nayo haipo???
Ebu fanyeni tena utafiti wenu ili kuongezea nyama.
 
Lakini ndio akaja kutekwa na wasiojulikana
 
Hii orodha ya muda sana, nyuma ya 2012
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…