Familia tajiri Tanzania

Kwa harakaharaka
1; wengi wana asili ya India…means wamerisishwa
2: Wachache sn walianza wenyewe…łatę mr Mengi
3: Huwezi toboa bila wenzio hio ni rule ya wahindi ndio maana wengi wanaongoza Krk hio list hapo juu.
4: Kutoboa kibiashara fanya na mhindi and not mtu mweusi otherwise simama mwenyewe
 
chanzo cha huu udaku ukuda?
 
Hii list ya mchongo sana. Sizani kama utajiri wa mtu unapimika, mimi mwenyewe utajiri Wangu unapanda na kushuka kila siku.

Ninachojua ni huwa nakula wali maharage. Na bando naweka
Kama huwezi kupima utajiri wako wewe ni masikini pro

Sema unamiliki Ka IST na nyumba chalinze.


Wewe sio tajiri ila masikini kiwangu cha kati au Masikini pro.
 
Unbelievable!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…