Familia Tajiri ya kihindi yenye ukwasi wa Trilioni 100+ yahukumiwa Jela kwa kuwanyanyasa wafanyakazi wa ndani na kuwalipa malipo kiduchu

Familia Tajiri ya kihindi yenye ukwasi wa Trilioni 100+ yahukumiwa Jela kwa kuwanyanyasa wafanyakazi wa ndani na kuwalipa malipo kiduchu

Hao watu poa sio Wahindi... Huwajui wahindi we mtoto. Ulifananisha kimuonekano ukadhania ni muhindi. Tulia!
Nimekuwa karibu na Waarabu na Wahindi. Baadhi wana ubaguzi japo wanajitahidi kuuficha na baadhi wako poa sana na wana upendo pia. Nilipataga homa kipindi nasoma mkuu wa shule akaja kuniona nyumbani kabisa na zawadi za mgonjwa.

Baadhi yetu mfano mleta mada kakutana na maswaibu hayo kipindi anafanya nao kazi, ni kweli yanatokea hata huku nakoishi nayaona pia. Najaribu kuongelea upande wangu.

Hadi leo hii nina marafiki Waarabu na Wahindi pia, naheshimu tamaduni zao na mimi nawahimiza waheshimu zangu pia. Huwa sipendi kupandwa kichwani asee. Nimeshawahi timua baadhi ofisini kwangu kama masihara.

Pole kwa waliowahi kuwakuta ingekua mimi hali ingeweza kuwa mbaya kwa pande zote mbili nina hasira sana nikidharauliwa au kubaguliwa. Naomba Mungu aniponye hii hali.

Fanya yote hata kama una pesa ila linda heshima yako.

Ila siamini kama ameleta huu uzi kwajili ya kutaja mabaya yao tu, hapana.
Kuna kitu nilijifunza kwenye maisha, unapopita mahali ukakuta mtu unayemjua anasemwa kwa mabaya jitahidi uwaambie hata jema lake moja tu utabarikiwa pia.
 
Hapa duniani we ye roho nzuri na ustaarabu ni wazungu na wajapan.

Waafrika wamekariri dini lakini roho zao nyeusi kama ngozi zao. Kwanza ata peponi wataenda kuharibu tuu. Waafrica na wahindi wote peleka motoni tuu
Wazungu?
Wazungu wanajua kupretend wanatupenda ila ni nyoka mbaya
 
Wazungu?
Wazungu wanajua kupretend wanatupenda ila ni nyoka mbaya
Uzuri wa wazungu kweli wanaubaguzi but atleast wao wanabagua race tofauti na wao. Sasa sie wapuuzi tunabaguana wenyewe kwa wenyewe....yaani furaha ya mwafrica au muhimdi mwara u aone mwenzie anateseka
 
Uzuri wa wazungu kweli wanaubaguzi but atleast wao wanabagua race tofauti na wao. Sasa sie wapuuzi tunabaguana wenyewe kwa wenyewe....yaani furaha ya mwafrica au muhimdi mwara u aone mwenzie anateseka
Sasa bora tena mwafrica kwa mwafrica kuna so called Black Americans hawa ni mafi kabisa
 
Kuna jamaa yangu alifanya nao kazi ananisimulia Wahindi wana hesabu kali mpaka kwenye msosi,eti dengu gunia tatu wanatoboa mwaka.Kazi kuongeza pilipili tu kwenye msosi upate hamu ya kula.Leo bagia za dengu kesho cheulo za dengu.Nimesimuliwa tu .
 
Kuna jamaa yangu alifanya nao kazi ananisimulia Wahindi wana hesabu kali mpaka kwenye msosi,eti dengu gunia tatu wanatoboa mwaka.Kazi kuongeza pilipili tu kwenye msosi upate hamu ya kula.Leo bagia za dengu kesho cheulo za dengu.Nimesimuliwa tu .
[emoji3][emoji3]
 
Familia ya Hinduja ni raia wa uingereza wenye asili ya kihindi inayothaminiwa kuwa na utajiri wa takribani dola bilioni 47 (shilingi trilioni 123)

View attachment 3023133
L to R: Prakash. P. Hinduja, Chairman, Hinduja Group (Europe); Srichand. P. Hinduja, Chairman, Hinduja Group; Gopichand.P. Hinduja, Co-Chairman, Hinduja Group; Ashok. P. Hinduja, Chairman, Hinduja Group (India)

Watu wanne wa familia ya bilionea Hinduja wamepatikana na hatia ya kuwanyonya wafanyikazi wa nyumbani katika jumba la kifahari huko Geneva nchini Uswisi.

Inadaiwa kuwa wafamilia Prakash Hinduja na Kamal Hinduja, pamoja na mtoto wao wa kiume Ajay na mkewe Namrata walikuwa wanawaleta wafanyakazi za ndani kutoka India na kuwaleta wawafanyie kazi za nyumbani.

Katika moja ya jumba lao la kifahari wanalomiliki nchini uswisi, imebainika wafanyakazi walikuwa wanapitia manyanyaso haya:

  • Kuwanyanganya pasi za kusafiria
  • kuwaminya uhuru wa kutoka nje ya nyumba
  • kuwatumikisha masaa 16 hadi 18 kwa siku
  • Kuwalipa malipo kiduchu wafanyakazi kwa kuwaingizia hela kwenye account zilizopo nchini India, Malipo yakiwa ni rupia elfu 10 kwa mwezi sawa na shilingi laki 3, toauti na utaratibu wa nchi nyingi za ulaya wa kuwalipa wafanyakazi za ndani kwa saa (per hour) na nchini switzerland kima cha chini cha mshahara kwa kazi yoyote ni CHF24. 32 (shilingi elf 71 kwa saa)

mmoja wa waendesha mashtaka maarufu wa Geneva, Yves Bertossa, alilinganisha karibu kiasi cha dola 10,000 (shilingi milioni 26) kwa mwaka alizodai familia ilikuwa ikitumia kwa ajili ya mbwa wao na malipo kiduchu ya watumishi wao.

Mahakama ya Uswisi imewahukumu Prakash na Kamal kifungo cha miaka minne na miezi sita gerezani. Ajay na Namrata miaka minne, Pia waliamriwa kulipa takriban $950,000 (shilingi bilioni 2.4) kama fidia.
Ila wahindi na waarabu👐
 
Mimi naona wako sahihi kwasababu nigger ukimwendekeza na kumchekea anakurukia hadi mabegani. Unakumbuka wakati wa mkwere watu wa ajabu ajabu walikuwa wanaingia ikulu. Jiwe alivyoingia kukawa na nidhamu. Upole wa mama sasa hivi hadi wauza madafu. Nigger ni fimbo tu na amri ndo nidhamu inakuwepo.

Muuza madafu wa Ikulu
Muuza madafu wa Ikulu kahamia kwa mandonga. Wote wawili watu kazi 😅

Indian are too aggressive. MbYa zaidi wengine wanaaminiwa kwa kupewa mavitengo makubwa makubwa yakiwemo GM. Ushwah kuona GM anamfukuza hadi mwanafunzi aliyekuja field 😁
 
Jana na Leo kuna Habari ilisambaa kwenye Mitandao now imewekwa BBC kuhusu Tajiri namba moja UK mwenye asili ya INDIA Ajay Hinduja kufungwa miaka Minne jela yeye mkewe na watoto wake kwa kosa la kutumikisha Wahindi wenzao kutoka India kwa kazi za Ndani kwa mshahara mdogo sana


Wamefungwa huko Geneva Uswiss walipokuwa wanaishi, Unaambiwa waliwachukua mabinti kutoka India wakawasafirisha hadi Uswiss kisha wakawa wanawatumikisha kazi kwa saa 18 kwa siku huku wakiwa wamepokonywa pasi za kusafiria na hakuna ruhusa ya kutoka nje huku walilipwa pesa ndogo

Hiki kisa kimenikumbusha enzi hizo najitafuta niliwahi kuajiriwa sehem tena kampuni kubwa tu na kazi ilikuwa ni kumsaidia chief C, Mpishi mkuu wa Boss mkubwa tu Tajiri la kihindi hapa Bongo kwa mkataba wa sh 180,000 kwa mwezi ilikuwa mwaka 2015 hiyo, Chief yeye Ali kuwa analipwa 250,000 kazi ya kumpikia Bilionea hiyo jamani Wahindi shkamooni

unapokuwa Tajiri mkubwa hakikisha wasaidizi wako wa Ndani na wanaokupikia uwape pesa nzuri la sivyo wa naweza hata kushawishika kukuwekea sumu wakapotea, Bilionea una mzigo wa Trilioni alafu anaekupikia unamlipa mshahara mbuzi hamuogopi kufa?
Hawa ni maumbwa kabisa!!
 
Ukitaka kujua hao jamaa ni katili ,tafuta mtu aliyewaibia halafu akashikwa ni hatari sana ..Wahindi ni wabahili hauna dunia hii .

Ukiajiriwa kwao wakianza kukusifu unajua basi jiandae kweny kufanya kazi tofauti mtu mmoja , unaweza kujikuta wewe ndio sekretari na afisa wa ugavi wakati mmoja.
 
Ukitaka kujua hao jamaa ni katili ,tafuta mtu aliyewaibia halafu akashikwa ni hatari sana ..Wahindi ni wabahili hauna dunia hii .

Ukiajiriwa kwao wakianza kukusifu unajua basi jiandae kweny kufanya kazi tofauti mtu mmoja , unaweza kujikuta wewe ndio sekretari na afisa wa ugavi wakati mmoja.
Ukitaka fanikiwa kuwa bahili+kauzu

Ova
 
Wahindi mbona poa sana

Kila mwanadam na race yoyote wapo watu makatili

Ova
 
Back
Top Bottom