Familia ya Diamond ilivyotawala entertainment industry ya bongo

Familia ya Diamond ilivyotawala entertainment industry ya bongo

matumbo

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
7,224
Reaction score
3,951
Pengine kwa wengine inaweza kuonekana familia ya ajabu au familia iliyokosa maadili mema ya kitanzania.

Kwa lugha rahisi ni typical familia ya kiswahili.

Lakini kwa watu walio kwenye industry ya burudani haswa media wanajua ukubwa wa hii familia kwa sasa. Content yao ni mali kama Almasi ilivyo.

Watu wanafatilia kwa ukaribu kila jipya linaloendelea kwenye familia ya Dangote na wanapenda.

Na kwa sababu wanapenda basi wanapewa kile roho inataka.

Mwisho wa siku kuna wachache wanaopata kipato kwa drama za hii family.

Tuendelee kutazama episode baada ya episode. Tuendelee kufurahia ukubwa wa Diamond.
 
Mashabiki wa Domo hamjawahi kuwa na akili kabisa.
Dawa ya kuondoa hasira na stress za maisha kukupiga ni mbili.

1. Tafuta pesa mpaka ufikie level kila jambo unalitazama positively.
Au

2. Hakikisha kila ukiamka asubuhi unakunya vizuri mpaka mwili uwe mwepesi au kama una bwana hakikisha anakupa orgasm.
 
Upo sahihi mtoa mada. Wengi hawajui biashara ya media ikoje
Diamond kafanikiwa kuvunja system aliyoikuta na anajenga system yake.

Then boom it works!

Nothing personal, its business.
 
Familia ya kina mond imekuwa kama familia ya Kim k wallah!!..😂😂

Ila nimefurahi dayana nyange kupata kaka mpya
 
Familia ya kina mond imekuwa kama familia ya Kim k wallah!!..[emoji23][emoji23]

Ila nimefurahi dayana nyange kupata kaka mpya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeeh Dunia tamu hii, ni mwendo wa episode tyuuh, ktk movie 1 matata san
 
Nimeona story nyingi kwenye social media kuhusu mzee Abdul na be Sandar hii wala si Vita Diamond ni mtu samrt sana kwenye swala la utunzaji.


Unapomuongelea Nasibu hana jeuri yakumkana baba yake hata iweje Nasibu pamoja namzee wake familia kwaujumla wanazitengeneza hizi Story iliwazidi kujipatia umaarufu.


Trust me Kama unapoteza bundle lako kwajili yakumsikiliza mzee Abdul Basi unapoteza Pesa na Muda wako buree Sign Jf tu maisha yaendelee..
 
Time out
zamaradimketema-___CKGJ-uBjWXD___-.jpg
 
Back
Top Bottom