Familia ya Diamond ilivyotawala entertainment industry ya bongo

Familia ya Diamond ilivyotawala entertainment industry ya bongo

hawa Wasafi ni-balaa wanajua kucheza na akili za watu Ukiingia Instagram YouTube wana-treand wao
Wameona wamefungiwa tv yao wakao www hatuwez kosa mapato wamekuja na baba yake na mam ake wapat mapato
 
ndo hadi story za kondomu kupasuka na kukaa kwenye papuchi siku tatu zitokee,mama kugongwa na mpemba muuza duka?kupewa talaka,diamond kufukuzwa kwenye pilau na baba yake alipoenda kudoea?nyie jameni ,hawa ni familia ya hovyo iliyobahatika kuwa na hela
 
ndo hadi story za kondomu kupasuka na kukaa kwenye papuchi siku tatu zitokee,mama kugongwa na mpemba muuza duka?kupewa talaka,diamond kufukuzwa kwenye pilau na baba yake alipoenda kudoea?nyie jameni ,hawa ni familia ya hovyo iliyobahatika kuwa na hela
[emoji23][emoji23][emoji23] mzee alifikia Stage mbaya kwenye ile interview hadi ikifikia hatua wanajaribu kutia Tuned ili watu wasielewe
 
Wameona wamefungiwa tv yao wakao www hatuwez kosa mapato wamekuja na baba yake na mam ake wapat mapato
Kinachoendelea kinatoa mtizamo wakusikitisha kwenye hii familia.

Wamejaaliwa Nyota ya Umaarufu wanataka kuutumia vibaya
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mzee alifikia Stage mbaya kwenye ile interview hadi ikifikia hatua wanajaribu kutia Tuned ili watu wasielewe
hali ni tete zimetoka siri nyingi mnooo, hiyolivestream ya mama dangote hadi leo ilisikizwa na kuangaliwa na watu 110,000 tu yaani ndo pesa walizoamua kujizalilisha nazo? mama alikaa na condom siku tatu kwenye papuchi,mama alikuwa mdangaji,esma ni mtoto wa dada yake na mama diamond,alivyopewa talaka esma akaenda kujiuza tandika, huwa anajikojolea kitandani
ndiyo kiki hizo na watu wanawasifia kabisaaaaaaa??????? walijaribu kuzima ujinga alioongea esma juzi kwa zamaradi kumbe wanazidi kuharibu kabisa maana yaliyoongelewa na esma ilitakiwa sasa hivi yeye na msizwa wawe polisi wanatoa maelezo
 
Mimi ningekuwa Baba daimondi ningeweka bei elekezi ya kuhojiwa. Kila dakika ni laki mbili. Tena nakuwa na stopwatch yangu kabisa na lazima unilipe hela yote kwenye benki kabla ya intavyuu.
 
Mimi ningekuwa Baba daimondi ningeweka bei elekezi ya kuhojiwa. Kila dakika ni laki mbili. Tena nakuwa na stopwatch yangu kabisa na lazima unilipe hela yote kwenye benki kabla ya intavyuu.
uzuri keshawaambia waache kutumia jina lake lasivyo atawashtaki na ushahidi anao kama huu hapa akipata lawyer mzuri atambabua mamilioni ya hela
1.png
 
Niligundua huu mchezo tangu wanaanza nikagundua wasafi tv imezimwa so wanatafuta cha kuongelewa ndio hichoo na wapenda mambo hayo ndio wanaponunua mabando yao kwanini aje kuongea leo miaka yoote alikuwa wapi??!
 
Back
Top Bottom