Familia ya Dkt. Rwakatare mtafuteni Mshana Jr wa JamiiForums haraka, ni ushauri wa bure!

Familia ya Dkt. Rwakatare mtafuteni Mshana Jr wa JamiiForums haraka, ni ushauri wa bure!

Atakuwa anasumbuliwa na mizimu ya mama yake.

Mama alikufa ghafla bila kuondoa madude yake.
 

Attachments

  • 20221118_085631.jpg
    20221118_085631.jpg
    131.1 KB · Views: 14
Kwa ushirikina hatujambo!
I think he's having an existential crisis if not a midlife crisis! Tatizo ni maarufu hana private life, he cannot "disappear" in peace. Everyone needs to "disappear" sometimes. Huko nyumbani anapopakimbia napo ndo tatizo lilipo! Ishi ukweli wako uwe na amani!
 
Kwa ushirikina hatujambo!
I think he's having an existential crisis if not a midlife crisis! Tatizo ni maarufu hana private life, he cannot "disappear" in peace. Everyone needs to "disappear" sometimes. Huko nyumbani anapopakimbia napo ndo tatizo lilipo! Ishi ukweli wako uwe na amani!

Ushirikina ni asili yetu
Hayo mengine yameletwa na waarabu na wamissionary
 
Ushirikina ni asili yetu
Hayo mengine yameletwa na waarabu na wamissionary
Mtoto akizaliwa na autism, ni katolewa kafara wazazi wawe matajari. Viungo vya albino vinasaidia kupata utajiri. Mtu akipata severe depression hadi akapata psychosis ni karogwa. Asili yetu idumu ✊✊.
 
Kwa ushirikina hatujambo!
I think he's having an existential crisis if not a midlife crisis! Tatizo ni maarufu hana private life, he cannot "disappear" in peace. Everyone needs to "disappear" sometimes. Huko nyumbani anapopakimbia napo ndo tatizo lilipo! Ishi ukweli wako uwe na amani!
Kwani ni yeye pekee maarufu?[emoji848]
 
Nope.
Kwani ni yeye pekee huwa harudi kulala nyumbani kwa mke na watoto wake?
Kesi yake ni tofauti kwakuwa last time 'alipotea' kwa muda mrefu na this time imetokea hivyo tena!
Kisheria mtu anatangazwa kupotea baada ya kutoonekana kwake, kwa jamaa zake ama marafiki baada ya masaa 72 kupita bila taarifa yoyote
 
Back
Top Bottom