Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
Yah alikimbizwa dar na baada ya hapo hakuwa na hamu tena na kusini kiufupi alitia adabuKumbe baada ya kupigwa Moshi aliahirisha na kwenda Dar?
Tafuta hela acha wivu na hela za wanaume wanaopambana kuzisaka.Nawashangaaga sana wale jamaa wanaojipendekezaga na hao kina Salaah, sijui GSM sijui nani... hao jamaa ni washenzi tu! Ndo mana wenzetu watasha wanafanikiwa sana! Ufanikiwe nchini kwao na kodi usilipe halafu na humohumo nchini kwao unapata wafuasi wanajitia marafiki zako wa karibu huku unawanyonya tu [emoji23]
Dahh! Afrikaaaa ni nani alikuroga wewe na watu wako?!
Wewe username yako tu inaakisi unachokizungumza hapa.Acha ufala wewe! Nina elimu ya kumzidi huyo CAG wenu huko chooni kwenu Bongo... Na wewe nikuulize unaijua siasa wewe?!
Hiadhi maneno na ripoti zake CAG wa sasa na msikilize tena Rais wenu huyo akishakufa au akistaafu utaelewa.
Hohehahe kwa vyovyote vile lazima amchukie tajiri akiamini kufanya hivyo ndo faraja yake.Acha ufala wewe! Nina elimu ya kumzidi huyo CAG wenu huko chooni kwenu Bongo... Na wewe nikuulize unaijua siasa wewe?!
Hiadhi maneno na ripoti zake CAG wa sasa na msikilize tena Rais wenu huyo akishakufa au akistaafu utaelewa.
Masasi pazuri sanaYah alikimbizwa dar na baada ya hapo hakuwa na hamu tena na kusini kiufupi alitia adabu
Ni pazuri mno katika miji ya huku kusini huu una mzunguko mkubwa mno wa pesaMasasi pazuri sana
Sio gongo tu na pingu 😊👍🏾Wewe username yako tu inaakisi unachokizungumza hapa.
Uhohehahe wako ndiyo unakufanya uwe na hasira na makasiriko dhidi ya matajiri halali waliotafuta pesa kwa jasho.
Hao gsm ni wafanyabiashara wa zamani sana tena kwenye mazao wakati wewe unazurura na msuli wako kupiga umbea kwenye vijiwe vya gong. o.
I don't fuckn' care! Bout' a ban yo Dickhead! Huna unachoelewa wanaopiga ban wanasoma na wanaelewa nini najaribu kutetea na kupigania... mimi sio mtumwa we msenge! NaelewaPicha ya Nape ilipigwa humo humo unaposema hawawezi kupiga picha ya gsm akitembelea magoti.
Halafu hayo matusi unayowatukana watu unadhani yatakukwamua na umasikini ulionao?
Ukipigwa ban utalalamika mods waonevu?
Katika huu ukali wako w maneno ni kama kuna hoja ya msingi sana imewasilishwa, juu ya uhalali na usafi wa mali za matajiri wengi wa TZ.I don't fuckn' care! Bout' a ban yo Dickhead! Huna unachoelewa wanaopiga ban wanasoma na wanaelewa nini najaribu kutetea na kupigania... mimi sio mtumwa we msenge! Naelewa
Nimeishi na watu weupe wa sampuli tofauti katika ukuaji wangu ni washenzi tu! Eti nachukia matajiri kisa mimi Masikini... we Punga wewe si bure! Unamjua Tajiri aliepata kwa halali huko Tanzania?! Usiwe msengemsenge kukurupuka kutetea kwa interest binafsi... [emoji1610]
Maisha magumu yanakusumbua dogo hali iliyopelekea uathirike saikolojia yako unajikuta unatukanatukana badala ya kujenga hoja......kweli umaskini ni kitu kibayaI don't fuckn' care! Bout' a ban yo Dickhead! Huna unachoelewa wanaopiga ban wanasoma na wanaelewa nini najaribu kutetea na kupigania... mimi sio mtumwa we msenge! Naelewa
Nimeishi na watu weupe wa sampuli tofauti katika ukuaji wangu ni washenzi tu! Eti nachukia matajiri kisa mimi Masikini... we Punga wewe si bure! Unamjua Tajiri aliepata kwa halali huko Tanzania?! Usiwe msengemsenge kukurupuka kutetea kwa interest binafsi... 🖕🏾
HII ni duniani kote walipa kodi ni maskini na matajiri ndio wanaotengeneza sheriaMkuu,hata kama ni Mimi ningefanya hivo hivo,hata siku nikipata fursa ya kupenya mafisadi watakoma sana!!
Nchi hii mlipa kodi wa uhakika ni mtumishi wa umma na wajasiria Mali wadogo wadogo !!
Haiwezekani watz hawafurahii matunda ya NCHI yao full kukandamizwa KWA kodi HUKU mafisadi yakitamalaki
KWA hili I stand with him!
Mungu ibariki nchi yangu Tanzania!
Toka March mpka sasa hajapumzika tu?Saivi atakuwa sawa.Magufuli mwachen apumzikee jaman ,uko kaburin uckutee bado ajazima vzr kwa kumsema kila ckuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi ingeendelea vipi wakati kila kitu kilikuwa kinaporomoka?Haya ni maneno wanayokaririshwa watu ili wamchukie JPM, yule jamaa asingekufa hii nchi ingeendelea sana kiuchumi....now hamna namna, tuendelee tu kuongozwa na mifisadi.
Wakati wa JPM, siyo tu watu walipiga, na yeye mwebyewe na watu wake wa karibu, walipiga kwa kiwango cha ajabu.Nchi hii mafisadi wapo kila awamu,ukisoma ripoti ya CAG utashangaa sana ilikuwaje wakathubutu kupiga hela mbele ya JPM,tena walipiga aswaa
🤔🤔🤔Nchi ingeendelea vipi wakati kila kitu kilikuwa kinaporomoka?
Uchumi kwa ujumla ulikuwa unaporomoka kwa kasi ya ajabu. Na hali hiyo mbaya ndiyo iliyomchochea kuanza kupora pesa za watu binafsi.
Ukuaji wa uwekezaji alikuwa ameuporomosha toka 28% mpaka 4%. Utalii alikuwa ameuporomosha toka 15% mpaka 3.6%. Thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo aliporomosha kwa 50%. Unemployment ilikuwa inaoongezeka kwa kasi ya ajabu.
Halafu unasema eti nchi ingeebdelea, kuelekea wapi? Shimoni?
Kama kina nani? 🤔Wakati wa JPM, siyo tu watu walipiga, na yeye mwebyewe na watu wake wa karibu, walipiga kwa kiwango cha ajabu.
Watu wajinga wajinga kama ninyi ndio mlikuwa mtaji wa dikteta Magufuli. Aliwapenda sana watu wasio na akili ambao angeweza kuwamezesha kila atakacho. Uchumi unadondoka, anawaambia kuwa sasa hivi tupo vizuri, bila kuhoji, mnashangilia.Isha chuja hiyo 1.5T inayo hit sasa ni tozo maji na umeme kukatika kama kiuno cha mmakonde mwenye shanga.
Niliposoma hiki kistatement nikajua hizi ni story za vijiweniTunaendelea na visa na mikasa ya hayati JPM..
Hakuna siri JPM hakuwa chaguo la wana CCM mwaka 2015, hata mwenyekiti wa chama hakumtaka awe Rais bali alizidiwa na nguvu ya asili.
Mwenyekiti alimkusudia kumrithisha kijiti rafiki yake wa kitambo Bernard Membe,lakini wana CCM walimtaka Edward Lowassa.
Baada ya jina la Magufuli kuibuka kidedea kuna watu hawakulala siku hiyo. Tena sio wapinzani, bali wafanyabiashara na mafisadi ndani ya CCM, walijua kiama chao kimefika.
Mojawapo wa wafanyabiashara hao ni familia ya Bwana Ghalib almaarufu kama GSM.
Tukirudi nyuma kidogo hii familia ina asili ya mkoa wa Tanga na mzee wao marehemu Said Mohamed ambaye alifariki mapema mwaka huu alihamia huko Kusini mwa Tanzania na kujikita na kilimo na biashara ya korosho, alipozeeka akawaachia biashara vijana wake waziendeleze.
Pia hii familia imekuwa na ukaribu na familia ya mstaafu JK kwa miaka mingi.
Tufahamu kuwa JK aliwapenda sana watu wa mkoa wa Tanga kuliko watu wa mkoa wowote uli, labda ni kwa sababu alisoma Tanga School au kwa sababu wilaya anayotokea iko jirani na mkoa wa Tanga sielewi.
Nikikupa hapa orodha ya watu wa mkoa wa Tanga ambao walibebwa na JK kipindi cha utawala wake utashangaa,wengine hakuna aliyekuwa akiwafahamu wakalama post kubwa za ukuu wa mkoa,wilaya hata uwaziri ,achilia mbali post zingine za juu.
Kipindi hiki cha JK ndipo familia hii ya GSM nayo ikaibuka kama uyoga, kupitia kampuni zao za HSC na Silent Ocean wakaigeuza Kariakoo kuwa Dubai ya Afrika au China ya Afrika, wafanyabiashara toka nchi jirani wakawa hawaendi tena China kufuata mzigo mambo yote yaliiishia kariakoo.
Umafia wa kiwango cha juu uliofanyika bandarini na TRA na kampuni hizi ulivutia wateja wengi, mzigo ulikombolewa bandarini fasta na kwa gharama ndogo.
Kumbe nyuma yake kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za bandari na kodi za TRA, mabilioni ya shilingi yalihujumiwa na hii familia.
Baada ya hii jina la JPM kupenya sasa ikawa patashika nguo kuchanika wakawata na kuwazua wakaamua kuiua kampuno ya HSC wakijua tu ikibaki hewani JPM atowaacha salama.
Kupitia kampuni ya Law Domain Adocate tarehe 19 oct 2015 siku chache kabla ya uchaguzi mkuu,wakafile A notice of resolution to wind up voluntarily. Hii kwa wasiojua sheria, wind up ni kusimamisha shughuli za kampuni kisheria.
Walisahau kitu kimoja ila wakaja kukikumbuka baadae kuwa jinai huwa haifi, pamoja na kuwind up HSC kisheria bado wangekamatwa na kujibu tuhuma hata kama kampuni haipo.
Ile Silent Ocean ilibaki kuoparate kwa sababu inasemekana haikusajiliwa Tanzania japo iliwakenga wafanyabiashara wa Tanzania.
Sasa basi baada ya JPM kuingia madarakani, naweza kusema mwezi mzima alikuwa akishinda kama sio bandarini basi ni TRA, mabosi wa taasisi hizo mbili vitambi viliporomoka.
Vijana wake wakamletea ripoti ya wakwepa kodi maarufu,jina la HSC na Silent Ocean likiwa kidedea pale juu.
Matumbo moto wakajua hapa Segerea inawahusu, kama Manji alilala Segerea who is GSM?
Kwa kutumia ushawishi wa vijana wa mstaafu wakaomba apointment mara kadhaa kuonana na JPM.
Appointment ikawa approved wakaitwa Ikulu, kwa makosa yao walitembea kwa magoti kwenye korido mpaka ofisini kwa JPM. Akiwa na sura iliyokasirika akawaambia sitaki maelezo lipeni hizo arreas au Segerea inawasubiri
Yakalipwa mabilioni kimyakimya GSM dhambi zao zikasamehewa.
Plea bargain kwa wasiojua ilianza na hawa mabwana ila yao ilikuwa ya kimya kimya.
Kuanzia siku hiyo JK na JPM wakawa watu wa kutupiana vijembe hadharani kama utani vile kumbe wanajua kinachoendelea, ukitaka kula lazima uliwe.
Ikulu kutamu jamani