Mwendapole2005
Member
- Jul 6, 2016
- 14
- 15
SI ''ndwele'' wakti mnasemaga ''ya kale dhahabu??'' ya kale manake si yamepita?Yaliyopita Sindwele.Sasa tupo na Rais wetu mpendwa Dr Samia na kazi inaendelea.
Unaelewa ulicho andika maana mimi sio mfuasi wa uongozi wowote uwe wa mabavu au wa kulamba asali. Usidandie mb kwa mknDOmbolezeni kwa mayowe!........ msiache kuomboleza hata kimoyo moyo basi!...yaani mjue unyama wa watoto wa wakulima ambao Mungu hakuwachagua kimaongozi!...msirudie tena kosa km hilo!
Punguza la mdomo mwalimu utakumbuka yote hayoMkuu,hata kama ni Mimi ningefanya hivo hivo,hata siku nikipata fursa ya kupenya mafisadi watakoma sana!!
Nchi hii mlipa kodi wa uhakika ni mtumishi wa umma na wajasiria Mali wadogo wadogo !!
Haiwezekani watz hawafurahii matunda ya NCHI yao full kukandamizwa KWA kodi HUKU mafisadi yakitamalaki
KWA hili I stand with him!
Mungu ibariki nchi yangu Tanzania!
km hujaelewa mbona umejibu?? km siyo mfuasi wauongozi wowote mbona umedandia thread ya wafuasi husika??...sijui kama unajielewa!Unaelewa ulicho andika maana mimi sio mfuasi wa uongozi wowote uwe wa mabavu au wa kulamba asali. Usidandie mb kwa mknD
Kwahiyo huna kazi ya kufanya hadi uanze kusoma uongo, ama?!Umejitahid sana kufanya Uongo uonekane kama Kweli.
Anyway nimesoma.
Wapi hapo nimepuyanga, na ukweli ni upi katika hilo?!Umeongea ukweli mwingi sana hapa Ila Kuna sehemu umepuyanga, maana yote uliyosema nayajua
Mimi sio mshamba tukitajana majina usikute nikija kwenu amani ikatoweka na ugonvi wa wazazi ukawaumiza ninyi watoto,wewe bado ni mtoto mdogo mno haujapevuka akili ukajua hii dunia inaendajeBora wewe unaelewa... mueleze huyu mshamba Mnachihangu
Hivi we choko au?! 🤔🤔Mimi sio mshamba tukitajana majina usikute nikija kwenu amani ikatoweka na ugonvi wa wazazi ukawaumiza ninyi watoto,wewe bado ni mtoto mdogo mno haujapevuka akili ukajua hii dunia inaendaje
Mimi ni mume wa mama yakoHivi we choko au?! 🤔🤔
Nikuambie kitu kimoja dogo ungekuwa umeelimika usingekuwa na chuki kiasi hiki na ungekuwa na hata milion 5 pia usingekuwa na akili za pombe kama hizi eti asili ya kishenzi......mimi hainitoki misuli ila ninachokueleza ni ukweli mtupu nchi hii asikudanganye mtu eti kuna kiongozi kuanzia kikwete,magufuli na huyu samia kuwa kati yao ni wazalendo hilo liondoe akilini hao wote ni walikuwepo kwa maslahi yao wao na magenge yao......hii nchi miaka hii 20 hakujatokea kiongozi mzalendo kuanzia diwani,mbunge,waziri,mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa nk ambao wapo kwa maslahi ya nchi tu,nakuambia hivyo kwasababu wengi wao nawajua kwakiasi chakeSijasoma mitaala ya kishamba na ya kuandaliwa kuwa masikini wa mawazo, uchumi na kutawaliwa. POLE SANA MZEE UNAEZEEKA HATA 200M HUNA! UNAISHIA KUTETEA WANAUME WENZIO TENA WANA ASILI ZA MBALI(ASILI ZA KISHENZI) TENA MPAKA MISULI INAKUTOKA POLE SANA MZEE! LEA WAJUKUU NA TUMIA VIZURI PENSHENI USIJE KUISHIA KWENYE STROKE NA SUKARI.
Wana mizizi bandarini ba TRASilent Ocean nawakubaii kwa sanaa. Wapo effective, efficient na best of all, gharama zao ni reasonable. Hata Customer Care yao ni nzuri sana. Mzigo wako utafika salama na hawata ku-overcharge never. Hawa jamaa biashara yao ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi.
Wana mizizi bandarini ba TRASilent Ocean nawakubaii kwa sanaa. Wapo effective, efficient na best of all, gharama zao ni reasonable. Hata Customer Care yao ni nzuri sana. Mzigo wako utafika salama na hawata ku-overcharge never. Hawa jamaa biashara yao ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi.
Wanaofaidika ni Wateja wao lakini. Wapo vizuri sana. Faida inakuja kwa mteja by way of saving time and money.Wana mizizi bandarini ba TRA