Familia ya Gwajima imemkosea Waziri wa Afya, kiungwana wamtafute wamuombe radhi

Moja ya watu ambao siwaelewi kwenye i serikari ukitoa presidaa ni uyo waziri
 
Wakulaumiwa ni Dorothy, alituambia tutumie njia asilia kupambana na uviko
Tena akaongeza chanjo hazifai
Leo huyuhuyu Dorothy anatuswaga twende kwenye chanjo

Busara ingetumika Dorothy angebadilishwa wizara apelekwe wizara yeyote ili mtu mpya ambaye hakupinga chanjo aongoze kampeni
 
Tell her that she is walking at the edge of Thim,on top of that,her days are numbered,I have never seen a minister holding a special ministry like that one hence behaving like a minister of comedy
Hata nyie mmeanza kuraruana au comedy pia?
 
Iendelee ila isiwe one sided,ubaya na uzuri wa chanjo vyote viwekwe wazi.Ilivyo sasa inaonyesha wazi kwamba chanjo si salama,kwa kuwa uzuri wa chanjo tu ndio unao zungumziwa.
 
Samahani mkuu, UVIKO-19 ni kifupi cha nini? Japo najua ni corona-19, je uviko ni kifupi au ni neno la kiswahili?
 
Mwanaume anaposutana na mwanamke hadi kuita baba amsaidie ni dhaifu

gwajiboy ametuonyesha umama wa hali ya juu
 
Samahani mkuu, UVIKO-19 ni kifupi cha nini? Japo najua ni corona-19, je uviko ni kifupi au ni neno la kiswahili?
UVIKO-19 ni kifupisho cha maneno ya kiswahili

U-ugonjwa wa
VI- virusi vya
KO- korona
19 - mwaka ambao ugonjwa huo umegundulika
 
UVIKO-19 ni kifupisho cha maneno ya kiswahili

U-ugonjwa wa
VI- virusi vya
KO- korona
19 - mwaka ambao ugonjwa huo umegundulika
Asante sana mkuu, nilikuwa sijui kabisa, thanks a lot na ubarikiwe kwa elimu hii
 
Kwa hiyo mnataka kutuaminisha kuwa zile ngojera zake za jana jpili kanisani kwale ilikuwa ni mwendelezo wa fix zake.
 
Japo sikupendi lakini kumbe wakati mwingine huwa unakuwa timamu.
 
Inakuwa mbele hii movie marvel wangetoa hela nyingi Sana maana wote Hawa magwajisquare wote ni powerful kwavile ipo kwetu basi naomba Huu mpambano uwekewe ulinzi uwekewe jamani
 
Gwajima ni habari ya dunia labda wewe ndiyo hutaki ibada ya Leo waluifuatilia duniani ni 800k
Sasa anahubiri Nini dunia imsukilize? Kuhubiri Kuna sifa yake na kufitini au chokochoko Kuna sifa yake. Sielewe huko kanisani anachokifanya.
 
Japo sikupendi lakini kumbe wakati mwingine huwa unakuwa timamu.
Kama hunipendi mimi utapata tabu sana mwaka huu! Tandu watakuwa wanatembea usoni mwako wakati unapofumba macho kutaka kulala, na utakosa usingizi mwaka mzima! Afadhali ubadilishe mtazamo uwe mtu positive ambaye haendeshwi na hisia.
 
Huyo waluwalu wenu ndo aliyeanza kumuattack gajiboy.sasa tulieni ligi ifike mpaka mwisho.
 

tuliwaambia kuishinda vita ya gwajiboy ni ngumu si unaona sasa mnaanza kuja kulia lia humu pambaneni na hali yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…