Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

Wakumbuke Kuna Familia za akina Ben saanane
 

Wangekaa kimya tu.

Ukishasema humjibu mtu pia ni jibu.
 
Familia iendelee kunyamaza hvy hvy na muda utaongea wnyw.

1. Saliva kutekwa: Enzi za JPM Chadema wangesema ni yeye amehusika.

2. Msigwa kuhama chadema: Chadema wangesema n muendelezo wa michezo michafu ya JPM kununua wapinzani huku wangesahau hao Chadema walivomnunuaa Lowassa 😂

Bado kuna uuzaji wa mali za nchi 😂
 

Lisu : Tanzania haiwezi kuwa na treni ya umeme kwanza haina faida yoyote kwa wananchi
 
Mfanyakazi TRA akutwa na billion 7 nyumbani kwake
 
Wangekaa kimya tu.

Ukishasema humjibu mtu pia ni jibu.
Not only wrong, but irrelevant...
Not even...

Unaposema nimeamua kunyamaza, ( kitendo Cha kutoa tamko) tayari kinaleta mtafaruku wa maamuzi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…