Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa suala lilikuwa familia ya Magufuli au kuinanga Chadema? Hoja zimekinzana sana hapo. Lakini kitu cha msingi ni kuangalia hayo yote uliyoyaorodhesha yanamsaidia vipi mtanzania wa kawaida kumudu kula yake ya siku?
Hapa suala lilikuwa familia ya Magufuli au kuinanga Chadema? Hoja zimekinzana sana hapo. Lakini kitu cha msingi ni kuangalia hayo yote uliyoyaorodhesha yanamsaidia vipi mtanzania wa kawaida kumudu kula yake ya siku?
Not only wrong, but irrelevant...
Not even...
Unaposema nimeamua kunyamaza, ( kitendo Cha kutoa tamko) tayari kinaleta mtafaruku wa maamuzi yako.
Not only wrong, but irrelevant...
Not even...
Unaposema nimeamua kunyamaza, ( kitendo Cha kutoa tamko) tayari kinaleta mtafaruku wa maamuzi yako.
You are right sirTulieni dawa iwaingie wanafiki nyie. Siku zote mnataka muongee nyie tu, wakiongea wengine kosa!
Naam,Not only wrong, but irrelevant...
Not even...
Unaposema nimeamua kunyamaza, ( kitendo Cha kutoa tamko) tayari kinaleta mtafaruku wa maamuzi yako.
Naam,
Kuna story ya yule askari alijificha akijifanya kauawa, akasema "heri mimi sijasema", adui akamstukia na kumpiga hapohapo.
Kama unataka kukaa kimya, kaa kimya, usiseme unakaa kimya.
Sasa maswali ya Lissu na Lema unaniuliza mimi kwani mimi ni Lissu au Lema?Bado Lisu anamwogopa Magufuli kurudisha familia na dereva wake Tanzania?
Mke wa Lema bado anafanya nini kwenye kambi za wakimbizi Canada?
Sasa maswali ya Lissu na Lema unaniuliza mimi kwani mimi ni Lissu au Lema?
Mimi niliwahi kusema kuwa ni msemaji wa Lissu au Lema?
Kwa nini maswali kuhusu maisha ya Lissu na Lema, maisha nisiyoyafahamu, unaniletea mimi?
Hata wewe mwenyewe unayeuliza hayo maswali kwangu unaelewa msingi wa kuniuliza maswali hayo mimi?
Nyumbu ni wewe unayeniuliza maswali kuhusu maisha ya Lissu na Lema mimi, mtu ambaye siwajui hao watu na habari za maisha yao sina.Hata kama ni nyumbu lakini si una akili kidogo za kujiuliza?
AbsolutelyNaam,
Kuna story ya yule askari alijificha akijifanya kauawa, akasema "heri mimi sijasema", adui akamstukia na kumpiga hapohapo.
Kama unataka kukaa kimya, kaa kimya, usiseme unakaa kimya.
Mkuu maswali yako ni spana tosha.Sasa maswali ya Lissu na Lema unaniuliza mimi kwani mimi ni Lissu au Lema?
Mimi niliwahi kusema kuwa ni msemaji wa Lissu au Lema?
Kwa nini maswali kuhusu maisha ya Lissu na Lema, maisha nisiyoyafahamu, unaniletea mimi?
Hata wewe mwenyewe unayeuliza hayo maswali kwangu unaelewa msingi wa kuniuliza maswali hayo mimi?
Hawa watu wengine wana a one track mindset.Mkuu maswali yako ni spana tosha.