Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

 
Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu yoyote anayetukana au kukebehi legacy ya Magufuli kwenye nchi hii, badala yake watauachia muda ujibu maana siku zote muongo mpe muda na uongo wake utabaki hadharani.

Na ni kweli baada ya miaka 3 ya kifo cha mpendwa wao muda umeendelea kuwajibu wale wanafiki na waongo hasa kutokea Chadema. Baada ya miaka 3 bado familia ya Lisu inalishwa na wazungu na hajadhubutu kabisa kuirudisha nyumbani, Godbless Lema pia bado mke wake na watoto wanaishi kama wakimbizi Canada!
Baada ya miaka 3 wale wabunge 19 akina Mdee wameendelea na ubunge wao licha ya Mbowe kuahidi kuwatoa bungeni!

Baada ya miaka 3 ununuzi wa ndege unaendelea, ujenzi wa bwawa la mwl Nyerere na SGR unaendelea kwa kasi licha ya kupingwa na Chadema!

Baada ya miaka 3 ya kifo cha Magufuli, CCM imeendelea kushinda na kuzoa viti vyote vya udiwani hadi Pemba, Mbowe na Zito hawajaambulia chochote kwenye hizi chaguzi ndogo.

Baada ya miaka 3 , Lengai Ole Sabaya yuko huru anakula maisha uraiani baada ya mahakama kumkuta hana hatia na kesi zake zote zilikuwa za uongo. Paul Makonda ni mkuu wa mkoa wa Arusha licha ya Chadema kuahidi kumpoteza.

Baada ya miaka mitatu Mange na Kigogo wamegeuka wachochezi,wakosa adabu kwa Rais na Nape Nnauye ndiyo anahusika kuwafungia akaunti zao kwenye mitandao ya kijamii! Kumbuka Nape alikuwa mlilia uhuru wa kutoa maoni nchini. Kutoka kuitwa mashujaa wa taifa hadi kufungiwa Instagram zao, karma is karma na bado.

Baadhi ya vigogo walioshangilia kifo chake, tayari walishamfuata na kusahaulika kama walishawahi kuwa viongozi wa nchi hii kwa miaka mingi. Eg Rondo


Ama hakika muongo mpe muda na muda unaendelea kujibu na tutaona na kujifunza mengi ndani ya muda.
Hata mkae kimya,ila ndugu yenu laana ya uchaguzi wa 2019 na 2020 inamhusu.
Na dhambi ya wizi wa kura mara nyingi ni mauti.
Habari za maendeleo alifanya vema,ila wizi WA kura, mshahara wake hata familia mmeuona.
 
Hata mkae kimya,ila ndugu yenu laana ya uchaguzi wa 2019 na 2020 inamhusu.
Na dhambi ya wizi wa kura mara nyingi ni mauti.
Habari za maendeleo alifanya vema,ila wizi WA kura, mshahara wake hata familia mmeuona.
Vipi uchaguzi wa 2024?
Nyumbu bwana
 
Mambo yameshajibu,

Magufuri hayupo ila watu wanatekwa na kuuwawa, wagombea wa upinzani wanaenguliwa kwa figisu na chaguzi zinaharibiwa maksudi na serikali ya CCM kwa kuiba kura .
 
Mambo yameshajibu, Magufuri hayupo ila watu wanatekwa na kuuwawa, wagombea wa upinzani wanaenguliwa kwa figisu na chaguzi zinaharibiwa maksudi na serikali ya CCM kwa kuiba kura .
Ni laana ya JPM hiyo.
Aliyemsababishia mauti,ameridhi mikoba yake
 
Mambo yameshajibu,

Magufuri hayupo ila watu wanatekwa na kuuwawa, wagombea wa upinzani wanaenguliwa kwa figisu na chaguzi zinaharibiwa maksudi na serikali ya CCM kwa kuiba kura .
Yeye ndiye kamuachia Mama Legacy mbaya ya kutofuata utawala wa sheria.
 
Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu yoyote anayetukana au kukebehi legacy ya Magufuli kwenye nchi hii, badala yake watauachia muda ujibu maana siku zote muongo mpe muda na uongo wake utabaki hadharani.

Na ni kweli baada ya miaka 3 ya kifo cha mpendwa wao muda umeendelea kuwajibu wale wanafiki na waongo hasa kutokea Chadema. Baada ya miaka 3 bado familia ya Lisu inalishwa na wazungu na hajadhubutu kabisa kuirudisha nyumbani, Godbless Lema pia bado mke wake na watoto wanaishi kama wakimbizi Canada!
Baada ya miaka 3 wale wabunge 19 akina Mdee wameendelea na ubunge wao licha ya Mbowe kuahidi kuwatoa bungeni!

Baada ya miaka 3 ununuzi wa ndege unaendelea, ujenzi wa bwawa la mwl Nyerere na SGR unaendelea kwa kasi licha ya kupingwa na Chadema!

Baada ya miaka 3 ya kifo cha Magufuli, CCM imeendelea kushinda na kuzoa viti vyote vya udiwani hadi Pemba, Mbowe na Zito hawajaambulia chochote kwenye hizi chaguzi ndogo.

Baada ya miaka 3 , Lengai Ole Sabaya yuko huru anakula maisha uraiani baada ya mahakama kumkuta hana hatia na kesi zake zote zilikuwa za uongo. Paul Makonda ni mkuu wa mkoa wa Arusha licha ya Chadema kuahidi kumpoteza.

Baada ya miaka mitatu Mange na Kigogo wamegeuka wachochezi,wakosa adabu kwa Rais na Nape Nnauye ndiyo anahusika kuwafungia akaunti zao kwenye mitandao ya kijamii! Kumbuka Nape alikuwa mlilia uhuru wa kutoa maoni nchini. Kutoka kuitwa mashujaa wa taifa hadi kufungiwa Instagram zao, karma is karma na bado.

Baadhi ya vigogo walioshangilia kifo chake, tayari walishamfuata na kusahaulika kama walishawahi kuwa viongozi wa nchi hii kwa miaka mingi. Eg Rondo


Ama hakika muongo mpe muda na muda unaendelea kujibu na tutaona na kujifunza mengi ndani ya muda.
Hii ya kushinda na kuzoa viti vyote, hata lukashenko anafanya
 
Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu yoyote anayetukana au kukebehi legacy ya Magufuli kwenye nchi hii, badala yake watauachia muda ujibu maana siku zote muongo mpe muda na uongo wake utabaki hadharani.

Na ni kweli baada ya miaka 3 ya kifo cha mpendwa wao muda umeendelea kuwajibu wale wanafiki na waongo hasa kutokea Chadema. Baada ya miaka 3 bado familia ya Lisu inalishwa na wazungu na hajadhubutu kabisa kuirudisha nyumbani, Godbless Lema pia bado mke wake na watoto wanaishi kama wakimbizi Canada!
Baada ya miaka 3 wale wabunge 19 akina Mdee wameendelea na ubunge wao licha ya Mbowe kuahidi kuwatoa bungeni!

Baada ya miaka 3 ununuzi wa ndege unaendelea, ujenzi wa bwawa la mwl Nyerere na SGR unaendelea kwa kasi licha ya kupingwa na Chadema!

Baada ya miaka 3 ya kifo cha Magufuli, CCM imeendelea kushinda na kuzoa viti vyote vya udiwani hadi Pemba, Mbowe na Zito hawajaambulia chochote kwenye hizi chaguzi ndogo.

Baada ya miaka 3 , Lengai Ole Sabaya yuko huru anakula maisha uraiani baada ya mahakama kumkuta hana hatia na kesi zake zote zilikuwa za uongo. Paul Makonda ni mkuu wa mkoa wa Arusha licha ya Chadema kuahidi kumpoteza.

Baada ya miaka mitatu Mange na Kigogo wamegeuka wachochezi,wakosa adabu kwa Rais na Nape Nnauye ndiyo anahusika kuwafungia akaunti zao kwenye mitandao ya kijamii! Kumbuka Nape alikuwa mlilia uhuru wa kutoa maoni nchini. Kutoka kuitwa mashujaa wa taifa hadi kufungiwa Instagram zao, karma is karma na bado.

Baadhi ya vigogo walioshangilia kifo chake, tayari walishamfuata na kusahaulika kama walishawahi kuwa viongozi wa nchi hii kwa miaka mingi. Eg Rondo


Ama hakika muongo mpe muda na muda unaendelea kujibu na tutaona na kujifunza mengi ndani ya muda.
Na kweli wamemuachia Mungu maana hakuna hata mmoja anayelalama.
 
MWENDAZAKE NDYE MWASISI WA SIASA CHAFU CHUKI FITINA ROHO MBAYA MAUAJI UPORAJI WA KURA UTEKAJI NA NK.HYO LEGACY AMEMWACHIA MAMA.R.I.H
 
Kwa nini ruzuku ya chama inaingia kwenye akaunti ya benki binafsi ya Mbowe? Hili ni swali ambalo wanachama wanahitaji majibu yake," alisema Tundu Lissu leo akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Mlimani City.

Lissu alidai kuwa matumizi ya ruzuku ya Chadema yamekosa uwazi, na akahoji ni kwa nini fedha za chama zinazotolewa na serikali hazipiti moja kwa moja kwenye akaunti rasmi ya chama. "Hatuwezi kuendelea kuendesha chama kwa utaratibu usiofuata taratibu za uwajibikaji na uwazi. Wanachama wanahitaji kufahamu kila senti ya ruzuku inatumikaje," aliongeza Lissu.

Alisisitiza kuwa moja ya sababu kubwa zinazomfanya agombee nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema ni kuhakikisha chama kinarejesha misingi ya demokrasia, uwazi, na uwajibikaji. "Hatuwezi kuwa chama kinachopigania uwazi na demokrasia nchini wakati ndani ya chama kuna mambo ya kificho," alisema Lissu, huku akiungwa mkono na baadhi ya wafuasi wake waliokuwa kwenye mkutano huo.
 
Tayari Tundu Lisu na Mbowe ni paka na panya laana inawatafuna
 
Takataka kama Eric kabendera ni upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom