Familia ya Ivan matatani kwa kufukia pesa ya Uganda

Familia ya Ivan matatani kwa kufukia pesa ya Uganda

Ujinga mtupu hela ya mtu ikutoe povu?

Hata biblia inasema ya mungu mpe mungu ya kaisai mpe kaisai. Njaa zisiwafanye vichaa
 
Ujinga mtupu hela ya mtu ikutoe povu?

Hata biblia inasema ya mungu mpe mungu ya kaisai mpe kaisai. Njaa zisiwafanye vichaa
Sasa hiyo ya kaisari ulizani ni ivan?... kaisari ilimaanisha serikali so ya serikali iache kwa serikali...Hela zote ni za serikali unabisha chapisha yenye picha yako iweke mtaani umjue kaisari ni nan!..
 
PAPAA JACK PEMBA ATAKOSA KWELI KWENYE HAO MAPEDESHEE???
 
Wanasheria wa Uganda wakatafute kazi nyingine hela ya mtu kaitunza na maiti wake wewe wawashiwa nini?
Mkuu hela ni mali ya serikali na ni kosa kubwa kuitumia visivyo. Ndiyo maana yule mchina hapa kwetu alishitakiwa. Nimesahau alifanya nini, nadhani alichana noti yetu.
 
Zikitolewa nani anachukua pesa?
 
Pesa inaheshima yake bana,licha ya hivyo ni kuitia hasara serikali inayoghalamia uchapishaji wa hizo pesa
 
Back
Top Bottom