mkolosai
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 1,578
- 1,105
Wewe mjinga huna akili. Umeiona hiyo barua ya mahakama? Amri ya mahakama ni ya mwishoWanasheria wa Uganda wakatafute kazi nyingine hela ya mtu kaitunza na maiti wake wewe wawashiwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mjinga huna akili. Umeiona hiyo barua ya mahakama? Amri ya mahakama ni ya mwishoWanasheria wa Uganda wakatafute kazi nyingine hela ya mtu kaitunza na maiti wake wewe wawashiwa nini?
Hadhi ya jf inadhalilishwaKumbe Jf bado kuna watu wemye uelewa mdogo kiasi hichi
MkuuIla Jf Cku Hz Inaniangusha Sana, Cjui Members Wa Miaka Hii Ndo Matokeo Ya Shule Za Kata Au Vp! Cjui Hata Wanatokeaga Wap? Hv Watu Wanafukia Chini Pesa Nyingi Za Benk Kuu Ya Uganda Af Mnaona Sawa! Duniani 2mekuja Uchi Na Tutandoka Uchi. Kwa Sheria Za Benk Kuu Hata Ku2unza Hela Tu Ndani Ya Nyumba Ni Kosa, Hela Znatakiwa Ziwe Kwenye Mzunguko, Na Ww A/C Yako Benk Inatuzwa Kwa Tarakimu. Kufcha Hela Nyingi Ndani Au Kufukia Kunasababsha Idadi Ya Noti Au Sarafu Kupungua Kwenye Mzunguko Na Kuisababishia Benk Kuu Kuprint Hela Zngine. Acheni Kusoma Magazet Ya Udaku, Someni Magazet Yenye Akiri Mpanue Mawazo Yenu Vijana. Zile Zile Pesa Wangeingiza Kwenye A/C Ya Watoto, Pale Benk Zngesaidia Kukopesha Wajacriamali Wadogo, Pia Miaka Ya Baadae Watoto Wangeweza Kufanyia Investiments Na Kuajiri Vijana Wenzao Wa Kiganda. Kafa Princess Diana, Kafa Stive Job, Kafa Michael Jackson, Hata Akifa Trump Au Dangote Hautackia Huo Upuuzi. Hilo Ndo Tatizo La Pesa Kumilikiwa Na Watu Masikini.
Wanasheria wa Uganda wakatafute kazi nyingine hela ya mtu kaitunza na maiti wake wewe wawashiwa nini?
Kwani familia ndo ilitupa ile fedha kwenye kaburi? Washtakiwe waliotupa kama walifanya jinai.Wanasheria nchini Uganda wameamua kuifikisha familia ya Ivan Mahakamani kwa makosa ya kuzika pesa halali za Jamhuri ya Uganda katika kaburi la ndugu yao Ivan. Kwa nchi yoyote kitendo hicho hakikubaliki kwani pesa hizo zingeweza kutumika katika shughuli zingine na kukuza uchumi wa nchi.
Kitendo hicho kinakuja baada ya marafiki wa Ivan kumwaga mamilioni ya pesa ndani ya kaburi la Ivan kama njia ya kumuaga rafiki yao aliyekuwa maarufu kwa matumizi makubwa ya pesa.
Wanasheria wakiongozwa na Tugume Gideon wa Human Rights Defenders Association Uganda wamesema hawakufurahishwa na kitendo cha RICH GANG cha kuzika mamilioni ya pesa ndani ya kaburi, na kwa vile ni kinyume cha sheria,
wameamua kwenda mahakamani kuomba kaburi la Ivan lifukuliwe, pesa zitolewe zikafanye shughuli nyingine na waliohusika washitakiwe kwa kuharibu kwa makusudi alama ya taifa.
=====
Benki Kuu Uganda imetoa tamko la kutaka vyombo vya dola viwachukulie hatua waliotupa hela kwenye kaburi la Ivan Don wakati anazikwa.
=====
Mahamakama Kuu ya Uganda yaagiza kaburi la marehemu Ivan Semwanga lifukukuliwe kisha fedha zilizowekwa ndani zitolewe.
Kaburi ni kibubu kwani?Wale hawajaichana mkuu , wameifadhi
Kuhifadhi kitu ni popote mkuuKaburi ni kibubu kwani?
Kama ni pesa za govt ,huyo mtu amezipataje je nn maana ya umiliki ? Mbona nafanya resources comittment kabla sijapata hizo fedha, zile pesa zipo pale kama medium of exchange/legal tenderSasa hiyo ya kaisari ulizani ni ivan?... kaisari ilimaanisha serikali so ya serikali iache kwa serikali...Hela zote ni za serikali unabisha chapisha yenye picha yako iweke mtaani umjue kaisari ni nan!..
Shs ngapi?Dunia tambara bovu.. Watu baadhi maskini halafu wengine wanafukia pesa?
Mkuu,unazijua sheria za pesa lakini?Wanasheria wa Uganda wakatafute kazi nyingine hela ya mtu kaitunza na maiti wake wewe wawashiwa nini?
kweli nimeamini umu ndani kuna watu bado uelewa wao ni mdogo ikiwemo ww...Yaani hao wanasheria wameona hasara ya kupoteza/kuzika pesa kuliko roho ya ivan?
Basi wamvue na suti aliyozikwa nayo na vidani vyote vya dhahabu.
Sana mkuu Lakini ndio forum ya jamii tukubali kuwa na watu wa aina zoteHadhi ya jf inadhalilishwa
Dont take it serious.kweli nimeamini umu ndani kuna watu bado uelewa wao ni mdogo ikiwemo ww...