Familia ya Ivan matatani kwa kufukia pesa ya Uganda

Familia ya Ivan matatani kwa kufukia pesa ya Uganda

Ila Jf Cku Hz Inaniangusha Sana, Cjui Members Wa Miaka Hii Ndo Matokeo Ya Shule Za Kata Au Vp! Cjui Hata Wanatokeaga Wap? Hv Watu Wanafukia Chini Pesa Nyingi Za Benk Kuu Ya Uganda Af Mnaona Sawa! Duniani 2mekuja Uchi Na Tutandoka Uchi. Kwa Sheria Za Benk Kuu Hata Ku2unza Hela Tu Ndani Ya Nyumba Ni Kosa, Hela Znatakiwa Ziwe Kwenye Mzunguko, Na Ww A/C Yako Benk Inatuzwa Kwa Tarakimu. Kufcha Hela Nyingi Ndani Au Kufukia Kunasababsha Idadi Ya Noti Au Sarafu Kupungua Kwenye Mzunguko Na Kuisababishia Benk Kuu Kuprint Hela Zngine. Acheni Kusoma Magazet Ya Udaku, Someni Magazet Yenye Akiri Mpanue Mawazo Yenu Vijana. Zile Zile Pesa Wangeingiza Kwenye A/C Ya Watoto, Pale Benk Zngesaidia Kukopesha Wajacriamali Wadogo, Pia Miaka Ya Baadae Watoto Wangeweza Kufanyia Investiments Na Kuajiri Vijana Wenzao Wa Kiganda. Kafa Princess Diana, Kafa Stive Job, Kafa Michael Jackson, Hata Akifa Trump Au Dangote Hautackia Huo Upuuzi. Hilo Ndo Tatizo La Pesa Kumilikiwa Na Watu Masikini.
Mkuu
naona umeamua kuwaandikia vijana risala kwa hasira. Ila ward schools umezionea tu, huu ni umbumbumbu wao binafsi.
 
Marafiki ndiyo wameweka, halafu wanakamatwa wanafamilia?!!
 
Aivan anaendelea kumfunika daimondi.

Huyu sangoma hatari sana.
 
Halafu anayedai bora angesema pesa ziende hata kwa watoto yatima... naona ni kituko na wivu pia na tamaa juu.
 
Kibongo bongo ingeingia kwenye source of gvt income!!!maana sie twajijua wenyewe na akili zetu!!!
 
Wanasheria wa Uganda wakatafute kazi nyingine hela ya mtu kaitunza na maiti wake wewe wawashiwa nini?

kweli akili ni nywele.........eti hela yake!! umewaza vizuri kweli au ni udogo wa akili tu! anamjua aliyekaa na kubuni hiyo hela? nini maana ya nembo ya taifa sasa kama kila mmoja atakuwa anaamua vyake! yangekuwa makaratasi yenye picha na majina yake sidhani kama kuna ambaye angeshughulika nao. be serious bana
 
Wanasheria nchini Uganda wameamua kuifikisha familia ya Ivan Mahakamani kwa makosa ya kuzika pesa halali za Jamhuri ya Uganda katika kaburi la ndugu yao Ivan. Kwa nchi yoyote kitendo hicho hakikubaliki kwani pesa hizo zingeweza kutumika katika shughuli zingine na kukuza uchumi wa nchi.

Kitendo hicho kinakuja baada ya marafiki wa Ivan kumwaga mamilioni ya pesa ndani ya kaburi la Ivan kama njia ya kumuaga rafiki yao aliyekuwa maarufu kwa matumizi makubwa ya pesa.

Wanasheria wakiongozwa na Tugume Gideon wa Human Rights Defenders Association Uganda wamesema hawakufurahishwa na kitendo cha RICH GANG cha kuzika mamilioni ya pesa ndani ya kaburi, na kwa vile ni kinyume cha sheria,

wameamua kwenda mahakamani kuomba kaburi la Ivan lifukuliwe, pesa zitolewe zikafanye shughuli nyingine na waliohusika washitakiwe kwa kuharibu kwa makusudi alama ya taifa.
=====
Benki Kuu Uganda imetoa tamko la kutaka vyombo vya dola viwachukulie hatua waliotupa hela kwenye kaburi la Ivan Don wakati anazikwa.

=====

Mahamakama Kuu ya Uganda yaagiza kaburi la marehemu Ivan Semwanga lifukukuliwe kisha fedha zilizowekwa ndani zitolewe.

Kwani familia ndo ilitupa ile fedha kwenye kaburi? Washtakiwe waliotupa kama walifanya jinai.
 
Sasa hiyo ya kaisari ulizani ni ivan?... kaisari ilimaanisha serikali so ya serikali iache kwa serikali...Hela zote ni za serikali unabisha chapisha yenye picha yako iweke mtaani umjue kaisari ni nan!..
Kama ni pesa za govt ,huyo mtu amezipataje je nn maana ya umiliki ? Mbona nafanya resources comittment kabla sijapata hizo fedha, zile pesa zipo pale kama medium of exchange/legal tender
 
Yaani hao wanasheria wameona hasara ya kupoteza/kuzika pesa kuliko roho ya ivan?

Basi wamvue na suti aliyozikwa nayo na vidani vyote vya dhahabu.
kweli nimeamini umu ndani kuna watu bado uelewa wao ni mdogo ikiwemo ww...
 
Back
Top Bottom