Ila Jf Cku Hz Inaniangusha Sana, Cjui Members Wa Miaka Hii Ndo Matokeo Ya Shule Za Kata Au Vp! Cjui Hata Wanatokeaga Wap? Hv Watu Wanafukia Chini Pesa Nyingi Za Benk Kuu Ya Uganda Af Mnaona Sawa! Duniani 2mekuja Uchi Na Tutandoka Uchi. Kwa Sheria Za Benk Kuu Hata Ku2unza Hela Tu Ndani Ya Nyumba Ni Kosa, Hela Znatakiwa Ziwe Kwenye Mzunguko, Na Ww A/C Yako Benk Inatuzwa Kwa Tarakimu. Kufcha Hela Nyingi Ndani Au Kufukia Kunasababsha Idadi Ya Noti Au Sarafu Kupungua Kwenye Mzunguko Na Kuisababishia Benk Kuu Kuprint Hela Zngine. Acheni Kusoma Magazet Ya Udaku, Someni Magazet Yenye Akiri Mpanue Mawazo Yenu Vijana. Zile Zile Pesa Wangeingiza Kwenye A/C Ya Watoto, Pale Benk Zngesaidia Kukopesha Wajacriamali Wadogo, Pia Miaka Ya Baadae Watoto Wangeweza Kufanyia Investiments Na Kuajiri Vijana Wenzao Wa Kiganda. Kafa Princess Diana, Kafa Stive Job, Kafa Michael Jackson, Hata Akifa Trump Au Dangote Hautackia Huo Upuuzi. Hilo Ndo Tatizo La Pesa Kumilikiwa Na Watu Masikini.