Familia ya kiarabu na wakristo wameniambia niache kutembea na mtoto wao eti kisa nimi ni muislamu nikiendelea watanifunga jela

Familia ya kiarabu na wakristo wameniambia niache kutembea na mtoto wao eti kisa nimi ni muislamu nikiendelea watanifunga jela

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Aisee hizi familia za kishua bwana sijui wanajikuta nani sijui wanajikuta nani aisee hii familia Wana hela kweli kweli na familia ya kiarabu na familia ya kikristo hawa sijui waarabu gani hawa ambao ni dini ya kikristo wameniambia niache kutembea na binti yao eti kisa mie ni muislamu na sina hadhi ya kutembea na binti yao wameniambia kama nataka nitembee na binti yao nibadilishe dini ndiyo niendeleee kutembea nae huku mipango mingine ya mahari ikiendelea na mimi sitaki kubadilisha dini lakini binti nampenda sana na nimemuambia kama vp nikutoroshe tuende mbali huko

Sasa wazazi wake wamenikomalia nikiendelea watanipeleka hela sasa binti ananitaka mimi sasa sijui nifanyeje ila huu ni ubaguzi kwani nikimuoa binti wa kikristo kuna shida gani? Huu ni ubaguzi hii Familia haina ubaguzi wa rangi ila ubaguzi wao upo kwenye dini sasa wakuu je nifanyeje?

Binti huyu wa kiarabu nampenda japo ni mkristo na yeye ananipenda ananipenda sana! Sijui nifanyeje na mimi hapa nilipangia akinikubalia tu nitapata mtaji wa kuanzisha biashara zangu niondokane na huu ugumu wa maisha kiujumla nimekubali niwe mario as longer as nakula,nashiba,nakunywa maisha yaende Tu .....
 
Achana usije ukaambukiza huyo binti uzombi wenu ule, kumbuka hao waarabu mpaka kuwa wakristo wamepitia mengi sana ikiwemo kubaguliwa na kuchukiwa na waislamu, halafu unataka kurudisha Binti wao kwenye njia ya kuzimu.
 
Aisee hizi familia za kishua bwana sijui wanajikuta nani sijui wanajikuta nani aisee hii familia Wana hela kweli kweli na familia ya kiarabu na familia ya kikristo hawa sijui waarabu gani hawa ambao ni dini ya kikristo wameniambia niache kutembea na binti yao eti kisa mie ni muislamu na sina hadhi ya kutembea na binti yao wameniambia kama nataka nitembee na binti yao nibadilishe dini ndiyo niendeleee kutembea nae huku mipango mingine ya mahari ikiendelea na mimi sitaki kubadilisha dini lakini binti nampenda sana na nimemuambia kama vp nikutoroshe tuende mbali huko

Sasa wazazi wake wamenikomalia nikiendelea watanipeleka hela sasa binti ananitaka mimi sasa sijui nifanyeje ila huu ni ubaguzi kwani nikimuoa binti wa kikristo kuna shida gani? Huu ni ubaguzi hii Familia haina ubaguzi wa rangi ila ubaguzi wao upo kwenye dini sasa wakuu je nifanyeje?

Binti huyu wa kiarabu nampenda japo ni mkristo na yeye ananipenda ananipenda sana! Sijui nifanyeje na mimi hapa nilipangia akinikubalia tu nitapata mtaji wa kuanzisha biashara zangu niondokane na huu ugumu wa maisha kiujumla nimekubali niwe mario as longer as nakula,nashiba,nakunywa maisha yaende Tu .....
Siku nyingine utoto kama huu peleka Facebook.
 
Kwa mwandiko huo huyo binti wa kiarabu kashapotea njia

Kijana hata kuandika kwako ni tatizo then unataka utoroke na binti wa watu
 
I'm thinkin' tea...
12.jpg
 
Aisee hizi familia za kishua bwana sijui wanajikuta nani sijui wanajikuta nani aisee hii familia Wana hela kweli kweli na familia ya kiarabu na familia ya kikristo hawa sijui waarabu gani hawa ambao ni dini ya kikristo wameniambia niache kutembea na binti yao eti kisa mie ni muislamu na sina hadhi ya kutembea na binti yao wameniambia kama nataka nitembee na binti yao nibadilishe dini ndiyo niendeleee kutembea nae huku mipango mingine ya mahari ikiendelea na mimi sitaki kubadilisha dini lakini binti nampenda sana na nimemuambia kama vp nikutoroshe tuende mbali huko

Sasa wazazi wake wamenikomalia nikiendelea watanipeleka hela sasa binti ananitaka mimi sasa sijui nifanyeje ila huu ni ubaguzi kwani nikimuoa binti wa kikristo kuna shida gani? Huu ni ubaguzi hii Familia haina ubaguzi wa rangi ila ubaguzi wao upo kwenye dini sasa wakuu je nifanyeje?

Binti huyu wa kiarabu nampenda japo ni mkristo na yeye ananipenda ananipenda sana! Sijui nifanyeje na mimi hapa nilipangia akinikubalia tu nitapata mtaji wa kuanzisha biashara zangu niondokane na huu ugumu wa maisha kiujumla nimekubali niwe mario as longer as nakula,nashiba,nakunywa maisha yaende Tu .....
Vip ukipata mwanaume akakuonea huruma uishi kwake akuhudumie kila ktu,as long as anakulisha,kukuvalisha na kukutoa out?
 
Aisee hizi familia za kishua bwana sijui wanajikuta nani sijui wanajikuta nani aisee hii familia Wana hela kweli kweli na familia ya kiarabu na familia ya kikristo hawa sijui waarabu gani hawa ambao ni dini ya kikristo wameniambia niache kutembea na binti yao eti kisa mie ni muislamu na sina hadhi ya kutembea na binti yao wameniambia kama nataka nitembee na binti yao nibadilishe dini ndiyo niendeleee kutembea nae huku mipango mingine ya mahari ikiendelea na mimi sitaki kubadilisha dini lakini binti nampenda sana na nimemuambia kama vp nikutoroshe tuende mbali huko

Sasa wazazi wake wamenikomalia nikiendelea watanipeleka hela sasa binti ananitaka mimi sasa sijui nifanyeje ila huu ni ubaguzi kwani nikimuoa binti wa kikristo kuna shida gani? Huu ni ubaguzi hii Familia haina ubaguzi wa rangi ila ubaguzi wao upo kwenye dini sasa wakuu je nifanyeje?

Binti huyu wa kiarabu nampenda japo ni mkristo na yeye ananipenda ananipenda sana! Sijui nifanyeje na mimi hapa nilipangia akinikubalia tu nitapata mtaji wa kuanzisha biashara zangu niondokane na huu ugumu wa maisha kiujumla nimekubali niwe mario as longer as nakula,nashiba,nakunywa maisha yaende Tu .....
Hii majirani zetu wanaita 'Jaba Juice''
 
Kuwa makini mkuu.....
Familia yako inaweza isione hata kucha yako.....
 
Aisee hizi familia za kishua bwana sijui wanajikuta nani sijui wanajikuta nani aisee hii familia Wana hela kweli kweli na familia ya kiarabu na familia ya kikristo hawa sijui waarabu gani hawa ambao ni dini ya kikristo wameniambia niache kutembea na binti yao eti kisa mie ni muislamu na sina hadhi ya kutembea na binti yao wameniambia kama nataka nitembee na binti yao nibadilishe dini ndiyo niendeleee kutembea nae huku mipango mingine ya mahari ikiendelea na mimi sitaki kubadilisha dini lakini binti nampenda sana na nimemuambia kama vp nikutoroshe tuende mbali huko

Sasa wazazi wake wamenikomalia nikiendelea watanipeleka hela sasa binti ananitaka mimi sasa sijui nifanyeje ila huu ni ubaguzi kwani nikimuoa binti wa kikristo kuna shida gani? Huu ni ubaguzi hii Familia haina ubaguzi wa rangi ila ubaguzi wao upo kwenye dini sasa wakuu je nifanyeje?

Binti huyu wa kiarabu nampenda japo ni mkristo na yeye ananipenda ananipenda sana! Sijui nifanyeje na mimi hapa nilipangia akinikubalia tu nitapata mtaji wa kuanzisha biashara zangu niondokane na huu ugumu wa maisha kiujumla nimekubali niwe mario as longer as nakula,nashiba,nakunywa maisha yaende Tu .....
Chai kwenye chupa ya soda si Chai ni soda ya moto.
 
Back
Top Bottom