Ulitaka daktari/postmortem useme hayo?
..hayo ni maswali yanayopaswa kujibiwa kutokana na yaliyojiri ktk postmortem.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka daktari/postmortem useme hayo?
Ulitaka postmortem itoe majibu hayo!?..mwili umepatikana leo,hayo majibu yako unayoyataka yamefanyiwa uchunguzi muda gani?..waliowaita nyumbu hawakukosea..hayo ni maswali yanayopaswa kujibiwa kutokana na yaliyojiri ktk postmortem.
Hao watekaji hakuna anayeamini uwepo wa MUNGU kabisa.Maisha tuh haya,unamwaga damu ya mwenzako kirahis rahisi tuh utadhani we utaishi milele?
Ulitaka postmortem itoe majibu hayo!?..mwili umepatikana leo,hayo majibu yako unayoyataka yamefanyiwa uchunguzi muda gani?..waliowaita nyumbu hawakukosea
Naona unadhihirisha upopoma..kwani haiwezekani waliohusika kukamatwa leo?
..wao mbona wamechukua siku moja toka kumteka mpaka kumuua Mzee wa watu?
..au wewe ulitaka walio husika wakamatwe lini?
Naona unadhihirisha upopoma
Unaweka deadline ya kuchunguza murder case,are you alright upstairs bro!?..wewe usiye popoma ungependelea waliohusika na mauaji haya wakamatwe lini?
Unaweka deadline ya kuchunguza murder case,are you alright upstairs bro!?
..deadline ili wakishindwa tuite wachunguzi wengine.
..kutokuwepo kwa deadline ndio kumewezesha tukio kama la Lissu lisichunguzwe mpaka leo.
Inawezekana ni mambo ya makundi hasimu ndani ya team yao. Wanataka kuchafuana. Nani atamchunguza nani sasa?
Kama unataka kuwapa muda,kea nini unauliza aliyefanya wakati uchunguzi bado?!..deadline ili wakishindwa tuite wachunguzi wengine.
..kutokuwepo kwa deadline ndio kumewezesha tukio kama la Lissu lisichunguzwe mpaka leo.
Acha kuogopa vitu vya ajabu mm ni muislamu lkn hicho kisomo hakina chochote zaidi ya ushirikina tu na wangapi wamesoma icho kisomo na hawajafanikiwa
Ushahidi anao Allah..kwa kuamua kumzika wanaweza kuwa wanaharibu USHAHIDI bila kukusudia.
Mengine wanamwachia Allah
Kama unataka kuwapa muda,kea nini unauliza aliyefanya wakati uchunguzi bado?!