Familia ya Kisyria huko Uholanzi ilimfunga na kumzamisha binti wao kwenye mtaro. Walipokamatwa, walijitetea kwa kudai ni kawaida katika utamaduni wao

Familia ya Kisyria huko Uholanzi ilimfunga na kumzamisha binti wao kwenye mtaro. Walipokamatwa, walijitetea kwa kudai ni kawaida katika utamaduni wao

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Jamaa wanasema wamefanya mauaji ya heshima kwa maana binti yao alikuwa amegeuka na kuwa kama "binti wa kimagharibi"
Screenshot_20250305-210025.png


Mtapeli mwanadamu vyote, ila ukishamteka katika fikra na imani, basiiii, unamuibia hadi doti ya mwisho ya utu wake
 
Jamaa wanasema wamefanya mauaji ya heshima kwa maana binti yao alikuwa amegeuka na kuwa kama "binti wa kimagharibi"View attachment 3260400

Tapeli mwanadamu vyote, ila ukishamteka katika fikra na imani, basiiii, unamuibia hadi doti ya mwisho ya utu wake

Mauaji ya namna hii pia hufanyika katika Nchi nyingi sana za kiArab ambazo kuna Utawala wa Sharia za Kiislamu, Watu wengi wanaobadili dini huwa wanauliwa kwa mtindo huu. Kubadili Dini inahesabika kuwa ni Kosa kubwa sana sawa sawa na UASI au Uhaini kwa mujibu wa Sheria zao, Makosa ya namna hii yanaitwa kuwa ni "Blasphemy," na adhabu yake ni Kifo. Iran, Saudi Arabia, Afghanistan, Bangladesh, Kuwait, Pakistan, n.k ndizo Nchi zinaongoza kwenye masuala haya.

The punishment for the Blasphemy is the 'Honor Killing.'
 
Kuna mada inasema dalali wa watumwa kwa wafrika ilikuwa na hawa walioitwa mafarao au firauni ambao kwa sasa wanaogopa kusema kuwa ndio waislamu.Hivi unajua kwa nini ili neno limewekwa kama ukuta kwao wasionekane kuwa sio wao
 
Kuna mada inasema dalali wa watumwa kwa wafrika ilikuwa na hawa walioitwa mafarao au firauni ambao kwa sasa wanaogopa kusema kuwa ndio waislamu.Hivi unajua kwa nini ili neno limewekwa kama ukuta kwao wasionekane kuwa sio wao
Duh 🤔🤔
 
Wafuasi wa mood wapo wachache sasa wakisema wabadili dini dini itakufa asee mtu akishapata kujikomboa toka ktk utumwa wa fikra atawakomboa wengine ndo maana wanaua
 
Back
Top Bottom