Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wanasema wamefanya mauaji ya heshima kwa maana binti yao alikuwa amegeuka na kuwa kama "binti wa kimagharibi"View attachment 3260400
Tapeli mwanadamu vyote, ila ukishamteka katika fikra na imani, basiiii, unamuibia hadi doti ya mwisho ya utu wake
Ila Ulaya nao ifike hatua waache kupokea hiyo mijitu isiyostaarabika.
Duh 🤔🤔Kuna mada inasema dalali wa watumwa kwa wafrika ilikuwa na hawa walioitwa mafarao au firauni ambao kwa sasa wanaogopa kusema kuwa ndio waislamu.Hivi unajua kwa nini ili neno limewekwa kama ukuta kwao wasionekane kuwa sio wao
Halafu na wao wanaishi huko huko Western,wanashindwa nini kuishi mashariki ya kati kwa Kobazi wenzaoEti amekuwa so Westernized, Takataka za Mudy zinashangaza