Familia ya Magufuli ipo kwenye msiba mwingine mzito, hivi mnajua kile kinaenda tokea...

Familia ya Magufuli ipo kwenye msiba mwingine mzito, hivi mnajua kile kinaenda tokea...

Ile ya mzee mzima kunyata na kitaulo ucku wa manane inafurahisha na kisikitisha
1736062818391.gif
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
Nilikuja mbio nikidhani ni mama mzaa chema ameitwa kujiunga na mwanaye!, kumbe...!
P
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
Naona "yaweza kuwa" tuu, ila point za msingi sioni.

Hivi mtu akiandika au akisema ukweli kuwa wewe ni TumainiEl aka "Mtuamini Mungu", atakuwa na mkakati nawe!!??
 
Wewe ni mjinga sana na kilaza huna akili, yaani unafikiri kutumia makalio. Hakuna connection ya alichoandika mleta maada na hicho kitabu. Anguko la Tsar lilisababishwa na chawa, na yeye kumuona ni kijana hawezi kuongoza. Lakini pia kuna vitu vingine vingi kama kuoa mjerumani, etc. scenario hiyo Tanzania hatuna. Sisi tuna makundi ya mafisadi na wauaji ndani ya CCM, ambayo yalimuua Dkt Magufulu ambaye alikuwa mzalendo. Sasa huo ujinga wako unauletaje msg e wewe. Kwanza hata Tanzania haupo kazi kubeba box mjinga kabisa. Acheni sisi tuliopo Tanzania tuwape ukweli maana hata box tulishabeba na tukarudi bongo kushiriki kujenga nchi.
Kwanza umeanza na logical fallacy ya ad hominem.

Nilipojibu point ilikuwa Watanzania wengi wamekipotezea hiki kitabu, huko FB na on the ground hata hawakizungumzii. Wanaokizungumzia ni wachache tu.

Hata hujaelewa point yangu niliyojibu kwamba kitabu cha historia ya Magufuli si lazima kieleweke au kukubalike kwa Watanzania wa leo, kwa sababu hii ni historia, imeandikwa for posterity. Kwa miaka yote ijayo.

Ndiyo nikatoa mfano wa kitabu cha "The Last Tsar" kwamba Tsar Nicholas II kauawa mwaka 1917, lakini mwaka 2024 bado watu wanaandika kitabu kuhusu maisha yake. Miaka 107 baada ya kifo cha Tsar Nicholas II.

Point hapa ni kwamba, kama kuna kitu cha kujadili, tujadili ukweli au uongo wa kitabu.

Mjadala wa kitabu kinasomwa na wangapi leo ni mjadala uliokosa kuelewa kuwa kitabu hakijaandikwa kwa watu wa leo tu. Inawezekana miaka 100 baadaye watu wakawa wanajadiliana kuhusu maisha ya Magufuli wakakisoma hiki kitabu sana hata kama watu wa keo hawakisomi.

Sasa hii mbona ni point basic tu ya kusema "history is for posterity, this is not journalism"?

Hiyo point ya wazi kabisa ndiyo ya kumuita mtu mjinga kweli?

Hapa mjinga nani kati ya mimi niliyesema kitu cha wqzi kqbisa na wewe usiyeelewa kitu hicho?
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
Hakuna msiba wowote. Kilichosemwa na Kabendela ni uongo mtupu. Hakuna ukweli wowote. Kikundi kilichopanga kumchafua marehemu kinaamini kuwa, WA Tanzania ni wajinga na kwamba wanaweza kuamini upumbavu. Lakin Magufuli yupo mioyo ya watanzania.Na hao waliomtuma huyo mtusi kuandika huo uchafu wao wengi ni low battery. Kichaa anajenga SGR, wazima hawawezi, kichaa anajenga fly over wazima hawawezi, kichaa anajenga bwawa, la umeme wazima hawawezi. Kichaa anajenga ikulu mpya wazima hawawezi.
 
Kwa hawa Watanzania kama wa JF washabiki wa Magufuli inawwzekana kabisa tukarudi kule kule.

Kwanza hata sasa hivi tunapigwa style ya Magufuki light.

Kutekwa tunatekwa kama enzi za Magufuli, huku tunarembukiwa macho ya Kizimkazi.
... baada ya kuonja 'JIWE FLAVOUR', mimi , kama mmoja wa mashabiki wake wa awali, sasa 'KIRANGA KOMO!' !
🤣
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.

Ogopa wino. Ogopa kalamu.

Watu walimkubali mwalimu sana tu, hata angetaka kutawala milele watu wangekubali tu. Leo amebaki kuzungumzwa kwenye mijadala ya kisomi kama makavazi ya mwalimu

Jiwe atakumbukwa na wajinga wengi, pindi watakapoelimika au kizazi hiki kuisha, kalamu za akina Kabendera ndo zitadetermine next generation imuoneje.

Kumbuka Baada ya awamu hii ambayo ni muendelezo wa awamu ya Jiwe kuisha, kama serikali itaamua kumpotezea Jiwe kwa kutompa promo, ataanza kusahaulika.


Nyerere alijenga reli ya TAZARA lakini leo hakuna mtu anayejali hilo
 
Ogopa wino. Ogopa kalamu.

Watu walimkubali mwalimu sana tu, hata angetaka kutawala milele watu wangekubali tu. Leo amebaki kuzungumzwa kwenye mijadala ya kisomi kama makavazi ya mwalimu

Jiwe atakumbukwa na wajinga wengi, pindi watakapoelimika au kizazi hiki kuisha, kalamu za akina Kabendera ndo zitadetermine next generation imuoneje.

Kumbuka Baada ya awamu hii ambayo ni muendelezo wa awamu ya Jiwe kuisha, kama serikali itaamua kumpotezea Jiwe kwa kutompa promo, ataanza kusahaulika.


Nyerere alijenga reli ya TAZARA lakini leo hakuna mtu anayejali hilo
Mkuu,

Hii point muhimu ya "history is for posterity" Watanzania wengi hawaielewi kabisa.

Unakuta kuna watu wanasema kitabu mbona kimepotezewa, watu hawakizungumzii FB na mtaani, a mere week or so after public release!

Hawaelewi tofauti ya history na journalism.

Kuna siku mwishoni mwa 2024 hapa, Dr Tibaijuka alikuwa anahojiwa na vijana wa Clouds FM kama sikosei. Akaulizwa, ana mambo mengi ya kuandika, kwa nini haandiki kitabu cha maisha yake, biography / memoirs?

Akajibu, aandike kwani nani anasoma vitabu?

Jibu lile lilinihuzunisha sana. Nilihuzunika sana kwa sababu Tibaijuka ni msomi, kasafiri sehemu nyingi duniani, ka roll kwenye diplomatic circles mpaka kuongoza taasisi za UN. It doesn't get better than that.

Lakini alivyojibu swali lile, ni kama vile akiandika kitabu kitakuwa ni kwa kizazi hiki tu, hakuelewa au alidharau ukweli kuwa history is for posterity.
 
Back
Top Bottom