Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Not sure, tulikuwa wengi, ukinitajia mtaa au mwaka, nitajaribu kurudisha kumbukumbu.
P.
Watu wafukunyuku mkuuDuh hatari
Hii ndio inaitwa kuwaza nje ya box, tatizo sasa hao jamaa wamekiri(li) kuhusikaI don’t believe kama boyfriend ndio kaua mchepuko na watoto kwa sababu hata wakifa yeye sio mrithi na angetaka hizo hela zinazoenda bank angemuua mke hata kwa sumu au angemlainisha kwa mapenzi akapewa hizo hela
Hii story ni kutunga
hapa kuna mkono wa ndugu wa mume
Sio ndio hapo Hii ni zaidi ya kuchukua PESA, I am sure ni mirathiKuliko kuondoa uhai si wangepanga hata wavamie wachukue tu pesa wawaache ingali hai
Hii ndio inaitwa kuwaza nje ya box, tatizo sasa hao jamaa wamekiri(li) kuhusika
Halafu anakuja mtu anasema wahaya ni wabinafsi.Dahh...RIP. Mumewe Anicetius Joseph Mutaboyerwa alifariki mwaka 2018 huko SA. Alikutwa amedondoka kwenye washroom ya night club. Ufukwe wa nyumba yake Mbezi Beach aliwapa vijana bure wafanye biashara. Nakumbuka alitaka hata kuwapa pesa waboreshe biashara zao. RIP!
[emoji28][emoji28][emoji28]Mshana, tulia tueleze vizuri. Sio kila mtu anaifahamu hii familia. Ni wapi?
Kuna logic. Hili tukio linahitaji uchunguzi wa kina sana. Ni lini huyo anayedaiwa kuwa hawara wa marehemu alianza kuwa na uhusiano na marehemu? Kuna uthibitisho gani kwamba huyo 'hawara' kweli alikuwa 'hawara' wa marehemu? huyu anayeitwa 'hawara' wa marehemu anafanya shughuli gani? nani wa kwanza kuripoti tukio hili polisi? kwa kweli kuna maswali mengi sana sana..Tanzania uwa wanashurutishwa wakubali, Wamelazwa kwenye maji hapo wamewekwa kwenye shoti ya umeme , wamechapwa sana hata Mimi nakubali ili nitoke kwenye mateso
na husikute aliefanya hivyo keshatembeza PESA za kutosha jeshi la police case apewe mwingine
mwanangu kuna kipindi kipo youtube kinaitwa crime patrol satark cha india kina onyesha matukio ya mauwaji na uchunguzi mpaka mhusika anakamtwa jamaa wanajua sana hata ukikubali umeuwa hawakutii hatiani mpaka wapate ushahidiKuna logic. Hili tukio linahitaji uchunguzi wa kina sana. Ni lini huyo anayedaiwa kuwa hawara wa marehemu alianza kuwa na uhusiano na marehemu? Kuna uthibitisho gani kwamba huyo 'hawara' kweli alikuwa 'hawara' wa marehemu? huyu anayeitwa 'hawara' wa marehemu anafanya shughuli gani? nani wa kwanza kuripoti tukio hili polisi? kwa kweli kuna maswali mengi sana sana..
inamana ye alikuwa mfanyakazi na alikuwa anakula boss wake au sijaelewa ?Mshana Jr:
Asante kwa taarifa mkuu ila taarifa hazijajitosheleza. [emoji174]
Inaonekana uyo "kibenteni" alikuwa ni mchepuko wake sasa baada ya kufiwa na mume akaamua kumpandisha cheo na kuwa "boyfriend" baadae boyfriend na yeye kageuka kuwa killer.Kwa hiyo ni kosa lake kuuawa yeye na wanawe? Yeye ndio amesababisha haya?
Unajuaje kama alikuwa "anatembea na wanaume hovyo hovyo"?
Ni sawa na kusema mwanamke akiwa barabarani usiku akabakwa ni kosa lake.
Hizi ni hukumu zenye double standards.
Wakuu imetosha naomba mniwie radhi sana, nipeni muda nipate habari yote kwa ukamilifu
My apology again kwa kutokidhi kiu yenu juu ya habari hii.. NAKIRI MAPUNGUFU!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu tumefichwa hapo si bureInasikitisha, wapumzike kwa amani....
Sasa boyfriend kashindwa kula hela za bibie kupitia mapenzi? Mbona ni rahisi kuliko hiyo njia ya kutumia manguvu/mauaji
Hii ndio inaitwa kuwaza nje ya box, tatizo sasa hao jamaa wamekiri(li) kuhusika
Hivi unacomenteje bila kusoma habari kamiliMshana, tulia tueleze vizuri. Sio kila mtu anaifahamu hii familia. Ni wapi?
So sad, R.I.PDamita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).
Alafu dereva wa Lisu amefichwa ,hawataki aulizwe chochoteSiyo kucheza nje ya box. Hilo liko wazi kabisa kwetu tuliosomea hizo kazi. Kwanza unaanza na watu wa karibu (wapenzi, ndugu, marafiki, nk) halafu unakwenda kwa watu baki. Uchunguzi ndivyo unavyofanywa.
Wanatupunguzia wahaya wenye hela zao mjini hawa[emoji35][emoji35][emoji35]Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33]
Very sad story!
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa!
Zaidi soma hapa
Dar Es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Shadrack Kapanga (34) kwa tuhuma za mauaji ya mama na watoto wake wawili eneo la Masaki mtaa wa Maryknol.
Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa jana Ijumaa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka baada ya kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 12, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na baadhi ya vitu alivyoviiba baada ya kufanya tukio hilo.
“Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni simu za marehemu, televisheni, king’amuzi cha DSTV na rimoti,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.
Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo la mauaji Juni 9, 2021 baada ya kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha.
“ Baada ya kuwaua aliwafungia ndani na kutoroka. Upelelezi wa shauri hili unaendelea ili kujua sababu za msingi za mauaji hayo na mara utakapokamilika mhusika/wahusika watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo,” inaeleza.
View attachment 1816190
Sent using Jamii Forums mobile app