Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

I don’t believe kama boyfriend ndio kaua mchepuko na watoto kwa sababu hata wakifa yeye sio mrithi na angetaka hizo hela zinazoenda bank angemuua mke hata kwa sumu au angemlainisha kwa mapenzi akapewa hizo hela
Hii story ni kutunga
hapa kuna mkono wa ndugu wa mume
Hii ndio inaitwa kuwaza nje ya box, tatizo sasa hao jamaa wamekiri(li) kuhusika
 
Hii ndio inaitwa kuwaza nje ya box, tatizo sasa hao jamaa wamekiri(li) kuhusika

Tanzania uwa wanashurutishwa wakubali, Wamelazwa kwenye maji hapo wamewekwa kwenye shoti ya umeme , wamechapwa sana hata Mimi nakubali ili nitoke kwenye mateso

na husikute aliefanya hivyo keshatembeza PESA za kutosha jeshi la police case apewe mwingine
 
Dahh...RIP. Mumewe Anicetius Joseph Mutaboyerwa alifariki mwaka 2018 huko SA. Alikutwa amedondoka kwenye washroom ya night club. Ufukwe wa nyumba yake Mbezi Beach aliwapa vijana bure wafanye biashara. Nakumbuka alitaka hata kuwapa pesa waboreshe biashara zao. RIP!
Halafu anakuja mtu anasema wahaya ni wabinafsi.

Binadamu hata uwafanyie Nini hawaridhiki
 
Tanzania uwa wanashurutishwa wakubali, Wamelazwa kwenye maji hapo wamewekwa kwenye shoti ya umeme , wamechapwa sana hata Mimi nakubali ili nitoke kwenye mateso

na husikute aliefanya hivyo keshatembeza PESA za kutosha jeshi la police case apewe mwingine
Kuna logic. Hili tukio linahitaji uchunguzi wa kina sana. Ni lini huyo anayedaiwa kuwa hawara wa marehemu alianza kuwa na uhusiano na marehemu? Kuna uthibitisho gani kwamba huyo 'hawara' kweli alikuwa 'hawara' wa marehemu? huyu anayeitwa 'hawara' wa marehemu anafanya shughuli gani? nani wa kwanza kuripoti tukio hili polisi? kwa kweli kuna maswali mengi sana sana..
 
Kuna logic. Hili tukio linahitaji uchunguzi wa kina sana. Ni lini huyo anayedaiwa kuwa hawara wa marehemu alianza kuwa na uhusiano na marehemu? Kuna uthibitisho gani kwamba huyo 'hawara' kweli alikuwa 'hawara' wa marehemu? huyu anayeitwa 'hawara' wa marehemu anafanya shughuli gani? nani wa kwanza kuripoti tukio hili polisi? kwa kweli kuna maswali mengi sana sana..
mwanangu kuna kipindi kipo youtube kinaitwa crime patrol satark cha india kina onyesha matukio ya mauwaji na uchunguzi mpaka mhusika anakamtwa jamaa wanajua sana hata ukikubali umeuwa hawakutii hatiani mpaka wapate ushahidi
 
Kwa hiyo ni kosa lake kuuawa yeye na wanawe? Yeye ndio amesababisha haya?
Unajuaje kama alikuwa "anatembea na wanaume hovyo hovyo"?

Ni sawa na kusema mwanamke akiwa barabarani usiku akabakwa ni kosa lake.

Hizi ni hukumu zenye double standards.
Inaonekana uyo "kibenteni" alikuwa ni mchepuko wake sasa baada ya kufiwa na mume akaamua kumpandisha cheo na kuwa "boyfriend" baadae boyfriend na yeye kageuka kuwa killer.
 
Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33]
Very sad story!
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa!


Zaidi soma hapa
Dar Es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Shadrack Kapanga (34) kwa tuhuma za mauaji ya mama na watoto wake wawili eneo la Masaki mtaa wa Maryknol.

Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa jana Ijumaa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka baada ya kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 12, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na baadhi ya vitu alivyoviiba baada ya kufanya tukio hilo.

“Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni simu za marehemu, televisheni, king’amuzi cha DSTV na rimoti,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo la mauaji Juni 9, 2021 baada ya kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha.

“ Baada ya kuwaua aliwafungia ndani na kutoroka. Upelelezi wa shauri hili unaendelea ili kujua sababu za msingi za mauaji hayo na mara utakapokamilika mhusika/wahusika watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo,” inaeleza.




View attachment 1816190

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatupunguzia wahaya wenye hela zao mjini hawa[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Back
Top Bottom