Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Kamanda Inavyoonekana hawara alikuwa anasimamia ukucha tangu mwenye mali yupo!!
Kifo cha Joe hakina utata kweli?
Isije ikawa huyo hawara ndio mastermind wa kumuondosha mwenye mke ili ajimilikishe then atekeleze azma yake aliyoiandaa kipindi kirefu
 
Kesi zote mbili zitaunganishwa na upelelezi zaidi wa mahusiano wa Mke nao utaendelea.
Isije kuwa hiyo tukio la Iringa linawekwa hapa kuhalalisha tukio la masaki kuwa ni sawa au ni yeye tu.
 
Ayoub yupi, link
 
Alikudanganya huyo kuna boyfriend anamtunza
 
Dada wawatu unamharakisha na utamu wake bado tunauhitaji....fuckin huyu jamaa...

Angemfanya matusi vizuri mbona angecheua mpunga kilaini kabisa....lakini kwanini mtoto wakiume upewe hela kifalafala...
Si ndio kapindua meza kwa kumtumia majambazi. Ni dhambi na kosa ila ametumia uanaume
 
Uko sahihi kabisa, lakini kumbuka vijana bado wana mataminio mengi ya sex, kwa hiyo mmama anapokuwa kwenye relationship na kijana akubali tu kuwa ataumizwa sana au atumiwe kwa ajili ya pesa tu na mwisho wa siku yamtokee kama ya huyo mama wa masaki
 
Whoever did it atakua mtu au watu ambao watanufaika na kutokuwepo kwa mama na wanae wa pekee..boyfriend hawezi kunufaika na chochote...mlinzi kama kweli alikua anafokewa na manyanyaso angewaibia siku moja na kutokomea ili kuwakomesha..
Ni kweli haingii akilini, kwa nini aue mama na watoto?!! naviamini vyombo vyetu vya usalama, ukweli utajulikana soon.
 
Nimejaribu kufatilia kidogo issue kusikia baadhi ya majirani especially walinzi wa majumba huko
Inaonekana huyo mama alikuwa hana time wala mawasiliano na watu huko,akitoka akirudi yeye kama yeye!!

Life style hizo siku zote siyoooo kabisa

Ova
 
Nimejaribu kufatilia kidogo issue kusikia baadhi ya majirani especially walinzi wa majumba huko
Inaonekana huyo mama alikuwa hana time wala mawasiliano na watu huko,akitoka akirudi yeye kama yeye!!

Life style hizo siku zote siyoooo kabisa

Ova
Adhabu kwa tabia hiyo,iwe hiyo..?..Acha mkuu
 
Huyu mama kifo chake kimenihuzunisha. Alikuwa anapenda kwenda kula kempiski na watoto wake
Sana aisee

Kuna vitu unajiuliza unatamani kama ingetokea
Ili umpe mama huyo namna ya kuishi akae na familia yake,unaona kama ingemsaidia

Lkn ndiyo hivyo ishatokea

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…