curiosity Bin Genius
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 144
- 87
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ana kipaji, nahisi ndo maigizo aliyobaki nayo kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ana kipaji, nahisi ndo maigizo aliyobaki nayo kwa sasa
Swali linaloumiza vichwa ni, je pesa zilikusanywa? Je zilitumika? Na kama hayo yalifanyika kwanini havkusomwa? Maana yangesomwa kusingekua na malalamiko ina maana Steve na wenzake walifanya kimya kimya bila kuwaelezea wanandugu .Ila jaman twenden mbele turudi nyuma,,,,bongo movie wana pesa gani zikasimamie msiba badae zikabaki wanafamilia wapewe mi Nadhan ndugu hawakuelewa michango ilitoka kwaajir ya msiba sio mtoto....
mtoto anababa yake yule waache kujilizaliza
Tegemea maneno ya kisanii tu, kamati ya Steve ingekua imesoma makusanyo na matumizi hili lalamiko usingesikia.Munaweza kumuuguza MTU kwa mda mrefu,akafa na ukamsafirisha mpaka alikozaliwa ila bado watu watakutupia lawama tu.Tukipata taarifa upande wa pili tutaelewa
Sijui ziko wapi hizi Pesa ..Marehemu alikuwa anaonyesha dola za kimarekani Instagram, inakuwaje walilie michango ya msiba? Watafute Bureau de Change tu sasa, au hawajui zilipo?
Ndo wosia aliouacha marehem? Kwenye post yao umeona wamesema hata marehem alipokua hai, wao ndo walikua na mtoto na wanamlea.STEVE NYERERE ALISEMA PESA ZILIZOCHANGWA NI KWAAJILI YA MTOTO NA SIO NDUGU NA WAMESEMA HAWATATOA HATA SENTI TANO KUWAPA NDUGU
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
AstakhfulilahWacha wazitafune kama wamekosa kutafuna hilo tako lake
Yaani alitamani afe apige mpunga wake, kweli mjini shule[emoji16]Hahaha steve nyerere huweka booking mapema akikuona wewe huna siku mingi unavuta vuta vi siku vyako anakuibukia wodini atakaa na weeee siku mbili tatu anatumia 30000 ukishavuta anatoa tule tumachozi twake anapata watu watatu wanamsapoti steve alikuwa amekaa na marehemu siku chache za mwisho ko anajua mengi na umri wake umemjenga tumpe uhasabu wasanii michango yetu ipitie kwake, steve hyoooo anapiga 3000000 wakati alitumia 30000 tu hilo nililiona alitaka kuwa karibu na mzee majuto bahati nzuri mzee kafanyiwa wepesi
Ni hatari kweli kwelYaani alitamani afe apige mpunga wake, kweli mjini shule[emoji16]
hahahaNilipoona tu watu flani wameuhodhi ule msiba, nikajua tu siku si nyingi tutapata habari ya namna hii
Huyo Stive Nyerere ni joka lenye njaa kali sana,kameshapiga tena
Yote haya ni kwa ajili ya buku yako baba?Aisee
kaburiAisee
Yote haya ni kwa ajili ya buku yako baba?
Usitume tu.
Atazikwa, ameshavalishwa sanda, kashawekwa kwenye jeneza.
Mahali pa kuchimba kaburi huko kwao babake atakuwa ameshaandaa.
Vinamtosha mwanadamu kusitirika.
Usitume pls.