Familia ya Masogange yalalamika kutapeliwa pesa za rambirambi kutoka kwa Wasanii

Familia ya Masogange yalalamika kutapeliwa pesa za rambirambi kutoka kwa Wasanii

Cc steve Nyerere unabidi ubadilike auche ujanja ujanja sasa hii imekuwa rambi rambi ya tano unaitafuna hivi hivi ....Ulikula ya kanumba ,Sharo millionea , Sajuki , Masogange .....ujue unatia aibu ...alafu nyie wanakamati inakuaje mnakaaminigi aka kamjamaa kanaitwa steve Nyerere
Sasa hivi kapo kimbele front kwenye maradhi ya King Majuto,usikute kanavizia msiba dadeki.

Mungu mponye Majuto arudi katika hali yake kama awali.
 
Uchunguzi ufanyike na ikibainika ni kweli hatua kali za kinidhamu na kisheria zifuatwe juu ya madhalimu hawa.

Laana na Mikosi itaendelea kuwaandama milele.
 
Yale Yale ya wadogo zetu.. yaan siku hizi sehemu za kupatia pesa ni msiba tu tena zile rambirambi.. na harusi kidogo ( sema hii ipo kwa msimu) Ila msiba doh
 
Nilishangaa kumwona Steven Nyerere kwenye kamati,nikakumbuka jinsi walivyopiga rambirambi za msiba wa Kanumba.
"Kwa msiba wa Kanumba, watu wanunua Magari baada ya msiba!" Ney wa Mitego
 
Steve Nyerere akiwepo kwenye hayo mambo lazima apige pesa....Kuna watu walishauri Mapema kabisa baada ya kumuona stive nyerere Lidaz klabu.
Steve anaishi kwa ukuwadi na ana subiría misiba apige Hela za wasaniiii waliyovuta

Ova
 
Back
Top Bottom