Familia ya Masogange yalalamika kutapeliwa pesa za rambirambi kutoka kwa Wasanii

Familia ya Masogange yalalamika kutapeliwa pesa za rambirambi kutoka kwa Wasanii

Ndugu wa marehemu masogange wanasema hadi dikika hii hawajapata hata mia ya pesa za rambirambi zilizochangwa na wasanii wa Bongo muvi na Bongo fleva,licha ya kuwepo kwa uhakika wa kwamba pesa hizo zilichangwa.
Soma zaidi hapa .....View attachment 770073
Yale yale ya Kanumba.....hivi mwenyekiti wa hii si alikuwa Steve Nyerere...
Steve Nyerere utapata laana ya kula rambi rambi...umefanya hivyo kwa kanumba now kwa masogange,laana lazima ikuandame.
 
Busara ni kusikiliza upande wa pili kabla ya kuwahukumu, kutuhumiwa anaweza kutuhumiwa yyte na kwa chochote ila inauma kuhüku
miwa bila ya kosa.
Upande wa pili upi huo?! Uvccm au wasanii wenzake
 
Hii tabia ya kula rambi rambi sijui itaisha lini, hebu tujikumbusheni kidogo;
1.Rambi rambi za Kanumba
2.Rambi rambi za Mafisango
3.Rambirambi maafa ya kagera
4.Rambirambi za wale watoto wa shule Arusha
Now rambirambi za Agnes pia [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hii tabia ya kula rambi rambi sijui itaisha lini, hebu tujikumbusheni kidogo;
1.Rambi rambi za Kanumba
2.Rambi rambi za Mafisango
3.Rambirambi maafa ya kagera
4.Rambirambi za wale watoto wa shule Arusha
Now rambirambi za Agnes pia [emoji24][emoji24][emoji24]
Hii ni kashfa nyingine kwa uvccm
 
Nilishangaa kumwona Steven Nyerere kwenye kamati,nikakumbuka jinsi walivyopiga rambirambi za msiba wa Kanumba.
 
Kuna watu wanashadadia utafikiri na wao walichangia! Huyo Mdada alishazoea kutajirisha watu tabia inamfuata... R.I.P

Nilisikiaga alikuwa ni Punda wa Kinje...
 
Wasanii wa kibongo hawajitambui hata kidogo....hapa Steve Nyerere kawapiga changa la macho na utashangaa wanamuunga mkono kutapeliwa naye.
 
Steve Bhana Kila mahala yuko front!Wakamkomesha hela ya Azam Tv waliyotoa milion 5 Baba mtu alimpa mtoto wake na sio Steve!
Jamani wapigaji wengi!!
 
Hapana bado siamini kama hii ni taarifa ya kweli...ngoja niwe wa mwisho kuamini
 
Steve Nyerere akiwepo kwenye hayo mambo lazima apige pesa....Kuna watu walishauri Mapema kabisa baada ya kumuona stive nyerere Lidaz klabu.
 
Kwanini hakukuwa na uwazi ktk kujua jumla ya rambirambi na majina na kiasi kilichotolewa ?
Je matumizi yameanishwa?
Je Kwenye hiyo kamati kulikuwa na ndugu Walau Wawili watatu wa Karibu wa Marehemu ?
Je taarifa ya makusanyo ya rambirambi na matumizi Yake yamewasilishwa Kwa familia ?
 
Kwanini hakukuwa na uwazi ktk kujua jumla ya rambirambi na majina na kiasi kilichotolewa ?
Je matumizi yameanishwa?
Je Kwenye hiyo kamati kulikuwa na ndugu Walau Wawili watatu wa Karibu wa Marehemu ?
Je taarifa ya makusanyo ya rambirambi na matumizi Yake yamewasilishwa Kwa familia ?
Maafa ya kagera uwazi ulikuwepo, uanishwaji wa matumizi ulikuwepo, je, ulifanya nini Baba Jesca alipoamua kucheza rafu?
 
Back
Top Bottom