Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale waliobeba jeneza mbeya,,,, greenNilipoona tu watu flani wameuhodhi ule msiba, nikajua tu siku si nyingi tutapata habari ya namna hii
Nimefurahi Kukuona Arushamoko,njoo Ule Pilau hapa mwambao
Yule tena mkuu.Steve Nyerere hakosekani hapo na yule RC aliyejitapa kugharamia yaani mtu anatoa 100 halafu anaiba 1000
Wabongo tunaendekeza njaa mno. Fedha za rambi rambi dhumuni lake ni kushughulikia mazishi. Watu hawafariki ili ''tuingize fedha''!Hii kashfa kubwa sana,kwa mara nyingine tena