Familia ya Mose Iyobo hivi mnamtafuta nini Harmorapa?

Familia ya Mose Iyobo hivi mnamtafuta nini Harmorapa?

Ajiandae kuzimiwa mic kama Kiba, si unajua Diamond jealous.
 
P square waliamfata ili wafanyenae kazi wakashindwana.Hamorapa akataka dau kubwa san.
P square wameenda kujipanga tena!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kama promo ndio hivi, basi ndio maana wengi hawatoki.
 
Honestly sijawahi bahatika kusikia nyimbo ya huyu mchizi hata moja,sijui naweza kuzipata wap ili nimsifie
 
17021898_1832919873389089_3746685928646217388_n.jpg


HARMORAPA,rapa anayetikisa soko la mziki barani Afrika na vibao vyake kadhaa kama UTHIGAWE PATHI na vingine vingi vinavyopigwa na vituo mbalimbali vya kimataifa amejikuta anaingia kwenye migogoro isiyo na maana na familia ya Mose Iyobo.

Ugomvi kwa mara ya kwanza ulianza baada ya Harmorapa kununua gari baada ya singo yake kuongoza mauzo ya mtandao kwa downloads nyingi ambapo Mose Iyobo hakufurahi nakuamua kumuita nyani,Jamani eti nyani gani anapata watoto wakali kama wale?

Kama hiyo haitoshi Harmorapa alipoweka mipango yake ya kununua nyumba South Afrika,ambapo alimtuma AliKiba kumuulizia bei, mchumba wa Iyobo ameibuka na kudai ''Simkubali Harmorapa maana hana kipaji cha muziki anatumia nguvu nyingi sana", lkn wadadisi wa mambo wanadai Aunty Ezekiel kuna movie anataka kuitoa hivyo anataka kutumia jina la Harmorapa kuipa kiki movie yake.

Wadau wa rap ambao mara kadhaa wamekuwa wakimuweka Harmorapa kwenye lane moja na mtu kama Biggie hasa kwa aina zao za flow,wameshauri rapa huyo kuongenza ulinzi kwny misafara yake ambayo mara kadhaa husababisha barabara kadhaa kufungwa.
Mdau nini maoni yako kuhusu hizi chuki dhidi ya Tanzanias finest?


Mose Iyobo na Harmorapa wapi na wapi? Harmorapa anaimba n ni mtunzi, Iyobo ni mkata nyongo na hajitambui ndiyo maana anaropoka. Aunt Ezekiel anabembeleza dushe la Iyobo lisimkimbie na ndiyo maana anasupport hata ujinga usio na kichwa wala miguu toka kwa Iyobo. In short, Iyobo na Aunt wamechoka.
 
Next week amealikwa kutumbuiza kwenye birthday ya Jlo [emoji41][emoji41]
 
Huyu dogo kashika soko la afrika mashariki na kati, ntashangaa atakae mpambanisha na hawa wasanii wa bongo huyu levo zake n kina p ddy... tena namshauri atafute baunsa mapema
Upo serious kweli? Level za hata kina Barakah hajafika
 
Kituko ni pale mwafrika mwenzako anapokuita Nyani[emoji23] [emoji23]
Hivi Mose Iyobo sindo yule mnenguaji wa Diamond[emoji23]

Kuna usemi" mwanaume anaye endesha gari la baba yake hapaswi kuzungumza mbele ya wanaume wanaomiliki baiskeli"

Harmorapa anafanya mziki, Mose Iyobo anacheza mziki ulioimbwa na wanaume wenzake, hivi nani mjanja hapa[emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakojoaaaaa!!umeua!!
Sawa team Mange.
 
Back
Top Bottom