Familia ya Ndesamburo kwenye majaribu

Familia ya Ndesamburo kwenye majaribu

Fred Mwakitundu

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
227
Reaction score
382
Kifo cha mzee Philemon Ndesamburo au 'Ndesa pesa'kama alivyojulikana na wengi kimeiyumbsha familia yake smbsko sasa inashuhudiwa migogoro mikubwa ndani yake ikiwamo ndoa kuvunjika na kugombana wao kwa wao.

Aliyefungua pazia hilo ni Sindato ambaye alifarakana na mkewe Grace Kiwelu ambaye alikuwa mbunge wa chadema viti maalumu ambako wawili hao walishatalikiana kitambo huku Lucy Owenya ndoa yaka na Dkt. Fidei Owenya ikiponea chupu chupu baada ya usuluhishi wa wazee kufanikiwa.

Wakati hali kionekana kupoa taairfa mpya ni kwamba mfnayabaiashara Thadei Halahala amefika mbali kwa kutaka talaka kutoka kwa mkewe Ritha Ndesamburo, ambako inaelezwa kuwa mtoto huyo wa mwanasiasa mkongwe nchini kwa zaidi ya miaka mitatu haishi na mmewe hali ambayo imemfanya jamaa huyo kuomba talaka ili awe huru na aendelee na maisha yake huku mwanamke akipinga hilo.

Je unajua nini kinaendelea kwa sasa juu ya wawili hawa, tutakujuza hivi karibuni.
 
Ndiyo maana generational wealth kwa Mwafrika bado ni kitendawili. Hatuwaandai watoto wetu kuja kurithi na kuendeleza biashara za familia. Ukiongezea na ubinafsi wetu huu tulionao basi ni shida tupu. Watu wanaanza kugombania mali zako hata kabla hujazikwa. Na Wills huwa hatuandiki.

Wenzetu Wahindi mzee anakufa wala huwezi kujua. Biashara zinaendelea kama kawaida maana tayari kuna succession plans za muda mrefu.

Sisi Waafrika bado!
 
Kifo cha mzee Philemon Ndesamburo au 'Ndesa pesa'kama alivyojulikana na wengi kimeiyumbsha familia yake smbsko sasa inashuhudiwa migogoro mikubwa ndani yake ikiwamo ndoa kuvunjika na kugombana wao kwa wao.

Aliyefungua pazia hilo ni Sindato ambaye alifarakana na mkewe Grace Kiwelu ambaye alikuwa mbunge wa chadema viti maalumu ambako wawili hao walishatalikiana kitambo huku Lucy Owenya ndoa yaka na Dkt. Fidei Owenya ikiponea chupu chupu baada ya usuluhishi wa wazee kufanikiwa.

Wakati hali kionekana kupoa taairfa mpya ni kwamba mfnayabaiashara Thadei Halahala amefika mbali kwa kutaka talaka kutoka kwa mkewe Ritha Ndesamburo, ambako inaelezwa kuwa mtoto huyo wa mwanasiasa mkongwe nchini kwa zaidi ya miaka mitatu haishi na mmewe hali ambayo imemfanya jamaa huyo kuomba talaka ili awe huru na aendelee na maisha yake huku mwanamke akipinga hilo.

Je unajua nini kinaendelea kwa sasa juu ya wawili hawa, tutakujuza hivi karibuni.
Another version of legend Hayati Warumi so nice
 
Kifo cha mzee Philemon Ndesamburo au 'Ndesa pesa'kama alivyojulikana na wengi kimeiyumbsha familia yake smbsko sasa inashuhudiwa migogoro mikubwa ndani yake ikiwamo ndoa kuvunjika na kugombana wao kwa wao.

Aliyefungua pazia hilo ni Sindato ambaye alifarakana na mkewe Grace Kiwelu ambaye alikuwa mbunge wa chadema viti maalumu ambako wawili hao walishatalikiana kitambo huku Lucy Owenya ndoa yaka na Dkt. Fidei Owenya ikiponea chupu chupu baada ya usuluhishi wa wazee kufanikiwa.

Wakati hali kionekana kupoa taairfa mpya ni kwamba mfnayabaiashara Thadei Halahala amefika mbali kwa kutaka talaka kutoka kwa mkewe Ritha Ndesamburo, ambako inaelezwa kuwa mtoto huyo wa mwanasiasa mkongwe nchini kwa zaidi ya miaka mitatu haishi na mmewe hali ambayo imemfanya jamaa huyo kuomba talaka ili awe huru na aendelee na maisha yake huku mwanamke akipinga hilo.

Je unajua nini kinaendelea kwa sasa juu ya wawili hawa, tutakujuza hivi karibuni.
watu wanaalibu lugha asili ya neno talaka maanake kuacha anae acha na kutoa talaka ni muoaji inakuwaje mwanaume unaomba mke akupe talaka yeye ndie alie kuoa?au wewe
 
Mwanamke ukishamuoa na kuzaa nae watoto mwanaume unakua huna thamani tena
 
Kifo cha mzee Philemon Ndesamburo au 'Ndesa pesa'kama alivyojulikana na wengi kimeiyumbsha familia yake smbsko sasa inashuhudiwa migogoro mikubwa ndani yake ikiwamo ndoa kuvunjika na kugombana wao kwa wao.

Aliyefungua pazia hilo ni Sindato ambaye alifarakana na mkewe Grace Kiwelu ambaye alikuwa mbunge wa chadema viti maalumu ambako wawili hao walishatalikiana kitambo huku Lucy Owenya ndoa yaka na Dkt. Fidei Owenya ikiponea chupu chupu baada ya usuluhishi wa wazee kufanikiwa.

Wakati hali kionekana kupoa taairfa mpya ni kwamba mfnayabaiashara Thadei Halahala amefika mbali kwa kutaka talaka kutoka kwa mkewe Ritha Ndesamburo, ambako inaelezwa kuwa mtoto huyo wa mwanasiasa mkongwe nchini kwa zaidi ya miaka mitatu haishi na mmewe hali ambayo imemfanya jamaa huyo kuomba talaka ili awe huru na aendelee na maisha yake huku mwanamke akipinga hilo.

Je unajua nini kinaendelea kwa sasa juu ya wawili hawa, tutakujuza hivi karibuni.
Ila ni maisha binafsi ya familia
 
Back
Top Bottom