DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nina swali kwa Brela; imekuwaje msiwajue wamiliki wa Simba Trust?

Na hata nyumba yenyewe naiona...hii hapa!

attachment.php


Kama address ipo na nyumba yenyewe kweli ipo, Brela itashindwaje kuthibitisha wamiliki wa kampuni inayolipwa mabilioni ya kodi ya Watanzania?

Du jf kuna watu wakali mpaka nyumba mmeipata!!!
jana tu kuna mnyarwanda katuambia Daud Balali anakaa hapo, na kaitukana Tanzania INAUMWA na Rais wao ANAUMWA
ndipo itaamini Dunia ni kijiji
Jana kwenye twitter Daudi Balali kapigilia msumali wa mwisho, nnamnukuu:
Tanzania: a sick country, a sick president, a sick economy, a confused society and a very uncertain future. Only God can save you now.
Mwisho wa kumnukuu.



 
Kutetea uozo kweli kunahitaji moyo. Yaani mtu unakaa kutetea tuuu...unatetea hapa kunafumuka pale, unatetea pale kunafumuka huko, unatetea huko kunafumuka kuleee, duh! Halafu watetezi wenyewe wale wale kwa mtindo ule ule wakitetea uozo ule ule miaka nenda rudi ! Mtu mwenye akili hata hugutuki na kujiuliza kwa nini hao hao unawatetea kwa matendo yale yale hawaachi! Karibu sana Ritz and company, uzi hapa ni familia ya JK kuhusishwa na ESCROW, hayo mengine hata ukipayuka vipi utarudi na kuikuta mada iko pale pale...wamiliki wa Simba Trust inayoshirikiana na jizi kuu Harbinder Singh ni akina nani? Mpaka sasa tumefika ukurasa wa 24 na tunaendelea kuchimba...dunia ya leo ni tofauti sana na ya juzi na jana.

Napenda pia kutoa taarifa kwamba kama yuko mpinzani atahusishwa kwa namna yoyote ile na hii kashfa ya ESCROW, hatutamuonea haya, tutamvalia njuga hivi hivi bila kuyumba. Ripoti ya TEGETA ESCROW kama ina ukweli haitazikwa kwani ukweli hauwezi kuzikwa na anayedhani hivyo anaota ndoto ya mchana. Kujaribu kuificha ripoti hiyo ni sawa na kujaribu kuizuia tsunami, haitawezekana; kuna watu lazima watasombwa na maji tu. Long live JF!
 
Last edited by a moderator:
kampuni inaitwa SIMBA trust aafu tunadanganywa ya Australia!!!!
bora hata iliyyokuwa mechmar.
 
Nina hamu sana ya kujua zile fedha za Escrow zilizoingia Mkombozi bank ziligawiwa kwa nani......I wish tungeona vipi waligawana hako kasenti ka Ugolo.......nani kapata nani kakosa......just for records.......
 
kwa calculation za kisheria Miraji asidhubutu na mafisadi hawatamwachia hata Kama hahusiki kumpeleka Yeriko mahakamani

mengi yatabumbuluka
 
hivi wakuu,kama mnasema ccm ndio ukoo wa " panya "na kazi ya panya mwaijua kwanini mnashoboka hivyo?
na nyie gambazi wezi tu nyie mnatetea nini?
 
Kutetea uozo kweli kunahitaji moyo. Yaani mtu unakaa kutetea tuuu...unatetea hapa kunafumuka pale, unatetea pale kunafumuka huko, unatetea huko kunafumuka kuleee, duh! Halafu watetezi wenyewe wale wale kwa mtindo ule ule wakitetea uozo ule ule miaka nenda rudi ! Mtu mwenye akili hata hugutuki na kujiuliza kwa nini hao hao unawatetea kwa matendo yale yale hawaachi! Karibu sana Ritz and company, uzi hapa ni familia ya JK kuhusishwa na ESCROW, hayo mengine hata ukipayuka vipi utarudi na kuikuta mada iko pale pale...wamiliki wa Simba Trust inayoshirikiana na jizi kuu Harbinder Singh ni akina nani? Mpaka sasa tumefika ukurasa wa 24 na tunaendelea kuchimba...dunia ya leo ni tofauti sana na ya juzi na jana.

Napenda pia kutoa taarifa kwamba kama yuko mpinzani atahusishwa kwa namna yoyote ile na hii kashfa ya ESCROW, hatutamuonea haya, tutamvalia njuga hivi hivi bila kuyumba. Ripoti ya TEGETA ESCROW kama ina ukweli haitazikwa kwani ukweli hauwezi kuzikwa na anayedhani hivyo anaota ndoto ya mchana. Kujaribu kuificha ripoti hiyo ni sawa na kujaribu kuizuia tsunami, haitawezekana; kuna watu lazima watasombwa na maji tu. Long live JF!

Asante sana mkuu,
 
Last edited by a moderator:
Ufisadi wa dola 250m (zaidi ya 400bn) umetikisa nchi kwa kuikosesha takribani miradi ya sh 3trilion imefahamika. Kampuni ya PAP ilipewa dola 122m (200bn), na kusaini makubaliano kikao cha kunduchi beach hotel oct8.2013 kuwa kiasi kilichobaki (128m au zaidi ya 200bn), PAP watalipwa kila mwezi 8bn mpaka deni kwisha.

Kampuni hii ya PAP iliyopewa tuzo hiyo ya 400bn kwa kuwekeza 6mTsh tu ni ya nan? Kwa mujibu wa nyaraka za BRELA, 50% inililiwa na Singh Sethi(singasinga) na mwanae na asilimia 50% zinamilikiwa na kampuni ya Simba Trust ya Australia.

Simba trust ni nan.? Uchunguzi umeonesha kuwa Simba trust ya Australia inamilikiwa na watu wawili ambao ni salima Kikwete na Miraji Kikwete.

Uwepo wa majina haya mawili kama wamiliki wa PAP inatafsiriwa kuwa ndio sababu kuu ya JK kuvuta miguu huku nchi ikiumia.

Kwa mkataba huu wa IPTL wa 100MW wa miaka 20 (1995_2015), umeongezwa miaka mingine 20 (2013_2033)kwa kuzalisha 500MW.

Kwa mujibu wa mkataba huu, kampuni ya PAP italipwa 400m kila siku kama capacity charges . Maana yake singasinga mwenye 50% atapata 200m kila siku. Na watoto wawili wa JK watapata kila mmoja 100m kila siku hadi 2033.

Uwepo wa familia ya JK kwenye ufisadi huu inadaiwa ndio Kinga ya wahusika ; Muhongo, werema, maswi, mramba, likwilile na hata waziri mkuu kutetea

Ushahidi unakwenda kuonesha kuwa hata uamuzi wa Gavana kuruhusu fedha hiyo itoke kimakosa ni baada ya kupata MEMO kutoka Katibu wa rais Bw Mbena ikisema Rais kaelekeza.

Na ni sababu hiyo pia baada ya Dr Hosea kuwasilisha report kwa rais, JK alisoma na kumjibu achana nayo na ndio maana mpaka sasa report hiyo haijapelekwa kwa DPP ili.wahusika wafikishwe mahakamani


KAMA SEHEMU YA MWANGAZA.

Napenda kuwakumbusha Watanzania, Mataifa ya Ulaya na Marekani huwa hayakurupuki kutoa shutuma, ukiona wanatoa tamko ujue wana uhakika. Walieleza juu ya meli za Iran kutumia bendera ya Tanzania, Membe alikurupuka kukanusha kama kawaida yake, baadaye ikadhihirika ni kweli.
Mataifa ya Ulaya yalitishia kusimamisha misaada kutokana na ufisadi wa Richmond, kwanza serikali ilikanusha baadaye ilidhirika kuwa ni kweli kulikuwa na wizi.

Mataifa ya Ulaya yaliwahi kuelezea ufisadi katika manunuzi ya radar, serikali ikatoa maelezo marefu kuonesha hakuna ufisadi, baadaye ikadhihirika ni kweli.

Sasa wametoa tamko kuwa hakuna msaada kutolewa kwa Tanzania mpaka waone taarifa ya CAG kuhusu ufisadi katika akaunti ya Escrow, serikali imekanusha hakuna ufisadi.

Vyombo vya habari vya Ulaya vimeeleza kuhusu kuhusika kwa serikali ya Tanzania, CCM na China katika biashara haramu ya pembe za ndovu, Membe kama kawaida yake amekurupuka kukanusha lakini mambo hayo yote yatakuja kudhihirika kuwa ni kweli kwa 100%.

Taarifa ya Escrow ipo tayari lakini yaliyomo ndani ni balaa maana ni zaidi hata ya wananchi walivyokuwa wakiitegemea.

Hii iliyopo chini ni kama tetesi lakini ni tetesi yenye uhalisia. Endeleeni kufuatilia kashfa hii kubwa inayogusa ofisi kubwa zote za nchi.
______________________________ ______________________________ ____________

Ikiwa ni siku chache tangu Baraza la Usalama la Taifa kukutana na kupitia ripoti ya uchunguzi ya PCCB kuhusu ufisadi wa zaidi ya shilingi bilioni 200 kwenye akaunti ya Tegeta escrow Benki Kuu, Taarifa za uchunguzi zinaeleza kuwa mkurugenzi wa PCCB Dr. Edward Hosea atamkabidhi Mh. Rais Jakaya Kikwete ripoti hiyo Jumatano ijayo kama ilivyoelekezwa na Baraza la Usalama wa Taifa.

Awali ripoti hiyo ilikuwa akabidhiwe Mh. Waziri Mkuu Mizengo Pinda, lakini taarifa za ndani zinabainisha kuwa uzito wa ripoti hiyo unastahili Mkuu wa nchi mwenyewe kwani kuna maeneo ambayo Waziri Mkuu atastahili kuwajibika.

Ofisi nyingine zilizohusika kwenye ufisadi huu kwa mamlaka yao ni Wizara ya Fedha, Benki Kuu, TANESCO, Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, TRA, na baadhi ya vigogo Ikulu.

RIpoti hiyo imekwenda mbali zaidi kuonesha baadhi ya majina ya watu maarufu waliojipatia fedha hizo kwa namna mbalimbali. Kwa mfano, akaunti ya kampuni ya VIP Engineering katika Benki ya Mkombozi iliyopokea hela za escrow imekutwa hela nyingi zimetoka kwenda kwa Wabunge,Mawaziri Majaji, na baadhi ya watu maarufu (hii ni kwa mujibu wa benki statement ya akaunti hiyo yenye kurasa 27 kuanzia tarehe 20 Januari mpaka tarehe 14 Agosti 2014).

Baadhi ya majina ndani ya benki statement hiyo yalitumiwa pesa kupitia akaunti hiyo ni pamoja na Waziri Anna Tibaijuka, Waziri wa zamani William Ngeleja, Mwanasheria Mkuu wa zamani Andrew Chenge, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi na mmoja wa Majaji wa mahakama kuu ya Tanzania Mujulizi. Katika orodha hiyo kuna Wabunge, wajumbe wa kamati ya Nishati na Madini, wote isipokuwa mmoja tu ambaye ni mtumishi mwandamizi wa zamani wa Serikali. Viongozi wawili wakuu wa vyama vya siasa vya upinzani nchini wameonekana katika orodha hiyo pia.
Juhudi kubwa zinafanywa hivi sasa kuzuia taarifa ya CAG na PCCB isikabidhiwe Bungeni kwani kama itakuwa wazi inaweza kusababisha kuibuka kwa mtikisiko mkubwa.

Nchi ya wajinga hii, hiki kizazi kitalaanika milele kisipochukua hatua za makusudi kwenye hili watu wachache hawawezi kugeuza hii nchi kama mali yao binafsi.
 
Kutetea uozo kweli kunahitaji moyo. Yaani mtu unakaa kutetea tuuu...unatetea hapa kunafumuka pale, unatetea pale kunafumuka huko, unatetea huko kunafumuka kuleee, duh! Halafu watetezi wenyewe wale wale kwa mtindo ule ule wakitetea uozo ule ule miaka nenda rudi ! Mtu mwenye akili hata hugutuki na kujiuliza kwa nini hao hao unawatetea kwa matendo yale yale hawaachi! Karibu sana Ritz and company, uzi hapa ni familia ya JK kuhusishwa na ESCROW, hayo mengine hata ukipayuka vipi utarudi na kuikuta mada iko pale pale...wamiliki wa Simba Trust inayoshirikiana na jizi kuu Harbinder Singh ni akina nani? Mpaka sasa tumefika ukurasa wa 24 na tunaendelea kuchimba...dunia ya leo ni tofauti sana na ya juzi na jana.

Napenda pia kutoa taarifa kwamba kama yuko mpinzani atahusishwa kwa namna yoyote ile na hii kashfa ya ESCROW, hatutamuonea haya, tutamvalia njuga hivi hivi bila kuyumba. Ripoti ya TEGETA ESCROW kama ina ukweli haitazikwa kwani ukweli hauwezi kuzikwa na anayedhani hivyo anaota ndoto ya mchana. Kujaribu kuificha ripoti hiyo ni sawa na kujaribu kuizuia tsunami, haitawezekana; kuna watu lazima watasombwa na maji tu. Long live JF!

Acha washupae sisi tuko consistency hata maji hutoboa chuma yakipiga point ile ile kwa muda, hakuna mpumbavu wa kututoa kwenye msitari.
 
Acha washupae sisi tuko consistency hata maji hutoboa chuma yakipiga point ile ile kwa muda, hakuna mpumbavu wa kututoa kwenye msitari.

Hao wakata viuno wa Lumumba msipate shida kuwajibu, Liwike lisiwike kutakucha tu.

Stay tune, siku hizi tunafanya kwa vitendo.
 
we unajua hata unachozungumzia?? this contradiction proves that "its a made up story"

Kwa nini unauliza swali ambalo ndo msingi wa thread yako?? Sipendi uongozi wa JK, lakini sipendi zaidi wazushi kama wewe sababu mnatumika ku divert attention ya watu kutoka katika kutafuta ufumbuzi wa matatizo kwa kutaka kuwaaminisha majibu yasiyo na msingi.

Ungetusaidia zaidi kama ungeweka walau nyaraka yeyote katika hili, lakini kwa porojo hii unayotumia inaonyesha hujui kitu na umeweka bandiko hili kutumia hayo majina ili wanaojua waje wakupe taarifa ya nani muhusika wa hizo 50%
Ungeweza tu kuuliza moja kwa moja na ungepata majibu, kuliko kuja na majina alafu baadaye unasahau kuwa ushaweka majina na unauliza tena eti majina ya wamiliki ni kina nani?? Ridiculous , poor Yericko Nyerere

hakuna contradiction mzee mwambie jamaa kama kapata nafuu huko hopkins aje nyumbani kuna kesi ya kujibu
 
Kutetea uozo kweli kunahitaji moyo. Yaani mtu unakaa kutetea tuuu...unatetea hapa kunafumuka pale, unatetea pale kunafumuka huko, unatetea huko kunafumuka kuleee, duh! Halafu watetezi wenyewe wale wale kwa mtindo ule ule wakitetea uozo ule ule miaka nenda rudi ! Mtu mwenye akili hata hugutuki na kujiuliza kwa nini hao hao unawatetea kwa matendo yale yale hawaachi! Karibu sana Ritz and company, uzi hapa ni familia ya JK kuhusishwa na ESCROW, hayo mengine hata ukipayuka vipi utarudi na kuikuta mada iko pale pale...wamiliki wa Simba Trust inayoshirikiana na jizi kuu Harbinder Singh ni akina nani? Mpaka sasa tumefika ukurasa wa 24 na tunaendelea kuchimba...dunia ya leo ni tofauti sana na ya juzi na jana.

Napenda pia kutoa taarifa kwamba kama yuko mpinzani atahusishwa kwa namna yoyote ile na hii kashfa ya ESCROW, hatutamuonea haya, tutamvalia njuga hivi hivi bila kuyumba. Ripoti ya TEGETA ESCROW kama ina ukweli haitazikwa kwani ukweli hauwezi kuzikwa na anayedhani hivyo anaota ndoto ya mchana. Kujaribu kuificha ripoti hiyo ni sawa na kujaribu kuizuia tsunami, haitawezekana; kuna watu lazima watasombwa na maji tu. Long live JF!
Mie mbona nipo na Zitto huku tunapambana na ufisadi ESCROW ngoja takukaribisha kuna viongozi wa vyama vya siasa na wenyewe wamo.
 
Last edited by a moderator:
Viongozi wawili wakuu wa vyama vya siasa vya upinzani nchini wameonekana katika orodha hiyo pia.
 
Back
Top Bottom