Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jiulize akili yako mama anaitwa Salma na mtoto anaitwa Salma,hii haiwezi kuwa habari za vijiwe vya kahawa labda kwenye viroba,mbege,bangi na unga huko ndio kwenye mijitu mijinga
mkuu, uwe unashirikisha vizuri ubongo wako japo kwa kiasi kidogo. Si kuendekeza ushabiki kwa Yeriko. Yeriko ni muongo na mzandiki
sasa unajiuliza nini wakati mwanzo umetaja majina ya wamiliki wa hiyo kampuni? Acha kuchafua watu tena mbaya zaidi unamchafua mkuu wa kaya
Nyota ya jk uko juu sana akirudi tu anakwenda kuendelea na ujenzi wa daraja la zanzibar wakati nyie mmekali majungu na kuzua zitto kaiba hamjamuona mnakimbilia kwa miraji.
hoja ilikuwa mahsusi kwa Yeriko, wewe kiherehere cha nini?
weka ushahidi wa upuuzi uliouandika. Umbea tu mwisho utavalishwa kanga
Duh, Halafu tunadanganywa eti IPTL itashusha gharama ya umeme toka 400 mpaka sh. 80 kwa Unit....!!! kumbe tayari wanajipatia tsh Ml 400 kwasiku Wazalishe wasizalishe...!!!!.. Poor Tanzania
BACK TANGANYIKA
Hivi hawa viongozi hawaoni noma kuitwa wezi wa mali ya umma?
Mwambie atangulie mahakamani nitamkuta huko,
yes rasta umetisha sana..Mwambie atangulie mahakamani nitamkuta huko,