DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mh! Sasa nimejua kwanini Prof wa Kichina anapigia Chapuo KATIBA YA MAFISADI.Kweli niliambiwa na Baba kua uyaone,nimeyaona.

Katiba pendekezwa kwa hakika kabisa imembeba Kikwete kwa kumsetiri kwenye ufisadi unaohusisha familia yake. Issue ya Escrow hatukujua kama nayo yumo. Tunashangaa tu Rais anatunga safari zisizo na mpango kukimbia report za CAG na PCCB, atazikimbia mpaka lini. Maji ameshayavulia nguo inabidi tu atumbukie ayaoge. Arudi hapa nchini, ajiuzuru amuachie Urais Judge Mkuu na uchaguzi mwingine ufanyike mwezi wa nne mwakani, pindi daftari litakapokuwa updated. Tumechoka
 
mwamnyange chukua nchi tuwe kama bukinafaso, kuamuka tikimbie mchakamchaka au kila eneo liwe smart area! Shame tanzania shame tanzanian community.

Epa jamaa walichama hela wako kwao wanakula kama kawa
richmond wakala mahela wako kwao na ni viongozi hawanamburi (shida)
pia wanakaribia kuwa maraisi 2015, kama sikosei
ikaja change ya rada jamaa wakazipiga na sasa wako wanakamirisha kuandaa katiba (toba)!!!!!!!!!
Sasa escrow nayo ndo hiyo!!!!!!!!!!!!
Utawakuta akina makonda wanapewa vihera kuwanyamazisha wanao taka kuweka nchi kwenye mstari
hivi watanzania wote tuko msikule????????????????????????????????????????????????
Kwanini mwamnyange usinusuru hii nchi??????????????
 
attachment.php


Nimeipenda sana hii picha ingawa sijui ni lini itakuwa
 
Salva Rweyemamu mbona amechelewa kujibu tuhuma hizi? Au ni premi kibanga? Hahah hii dozi sio ya kukurupukia eti unaijibu
 
Katiba pendekezwa kwa hakika kabisa imembeba Kikwete kwa kumsetiri kwenye ufisadi unaohusisha familia yake. Issue ya Escrow hatukujua kama nayo yumo. Tunashangaa tu Rais anatunga safari zisizo na mpango kukimbia report za CAG na PCCB, atazikimbia mpaka lini. Maji ameshayavulia nguo inabidi tu atumbukie ayaoge. Arudi hapa nchini, ajiuzuru amuachie Urais Judge Mkuu na uchaguzi mwingine ufanyike mwezi wa nne mwakani, pindi daftari litakapokuwa updated. Tumechoka

Inamaana akijiulizulu yeye na Mtoto pia adondoshe manyanga ya UBUNGE maana wote ni wale wale tu.Na hata hastahili kulipwa kiinua mgongo huyo angekuwa china saa hizi tungemsikia tu alinyongwa.

Duh RAIS wangu tamaa ilikuwa ya nini?Kiinua mgonga cha kuua mtu,costs zako zote zinalipwa na serikali,huna haja ya kununua hata gari la kifahari,kutibiwa bado ungetibiwa ughaibuni pamoja na mamsapu yako,kwanini ulikosa UZALENDO?

Maskini TAIFA langu huyu ndiye tulitegemea atuongoze ametuuza kama nyanya sokoni.:confused3::sad::hatari::A S-cry:
 
sasa naanza kuelewa chanzo hasa kwa nini raisimu ya Jaji Warioba ilikataliwa na wahusika.
 
Nyota ya jk uko juu sana akirudi tu anakwenda kuendelea na ujenzi wa daraja la zanzibar wakati nyie mmekali majungu na kuzua zitto kaiba hamjamuona mnakimbilia kwa miraji.
 
Pasco ni mpotoshaji mkubwa
Pasco, mbona hili suala liko straightforward kabisa??

kwenye level ya executive suala la conflict of interest lipo dhahiri. rais au wanafamilia hawapaswi kufanya biashara ambayo serikali ni mdau au ina maslahi ya moja kwa moja. mtu huhitajiki kuwa gwiji wa sheria kutambua hili.

but nnachojua mimi ni kuwa hili litapita tu kama ilivyopita issue ya Mkapa. kama lilivopita suala la EPA. kama ilivyopita issue ya Mwangosi (mwandishi). kama ya yule dk aliyeng'olewa meno. ne mengine mengi tu. why? kwa vile sisi Watz nikiwemo na mimi na wewe Pasco are simply f....ed!!

sijataja ya Richmond kwa vile kuna mtu aliamua kubeba masalaba kwa niaba ya "chief culprit" (ndiyo maana mimi nadiriki kusema kwa ujasiri kabisa kuwa asipoteuliwa Dr Slaa na chama chake kuwa candidate wa kuingia Magogoni 2015, mr grey head is my alternative default option).
 
Mkuu Yeri, asante kwa taarifa hii, ila kama huko juu umeishasema uchunguzi umekuonyesha wamiliki wa hii kampuni ni kina fulani!, huwezi tena kumalizia kwa kuuliza swali ambalo tayari uchunguzi wako umeisha lijibu!.

Hii inamaana moja tuu, ama huna uhakika na hiyo ripoti ya uchunguzi, ama unajua kabisa kuwa sii kweli, ndio sababu ya hiyo inconsistance yako!.

Lakini ikitokea ikawa ni kweli, fuatilia umri wa hao wamiliki, kama wote wamevuka the age of the majority, then sio lazima kuwa ni mali ya familia, kwa sababu mtu akiisha vuka 18, ni legal person on her/his own independent of wazazi wake!.

Kama walikuwa hawajavuka 18!, hii inamaanisha na jamaa anafuata nyanyo za mtangulizi wake, "kufanya biashara "mahali patakatifu" pale!.

Pasco
Pasco, na Swala la UNDUE influence au conflict of interest hulioni hapo? Maana JK ndiye Mkuu wa nchi, hivyo ni kama CEO wa mashirika yote ya Umma hapa TZ. Sasa kama watoto wake wamepata mkataba tata na shirika mojawaopo la Umma, anakwepaje uwajibikaji hapo? Rudi kule kwenye criminal law, huku waachie wenyewe mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Hii ni moja ya sababu zinazowafanya MiCCM isitake kung'oka ,ni sababu walizonazo baadhi ya viongozi wote wakuu wa CCM,kuanzia Mwinyi,Mkapa na mawaziri wao,ndio maana kila mmoja anamuogoea mwenziwe kumwaga mboga ,ila mtang'oka tu.
 
Tanzania ililetwa duniani kama nchi ya majaribio kwa hiyo kila kitu kinaweza kufanywa ili kupima nini kitatokea

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Pasco anapotosha,iweje hiyo pesa wagawane mawaziri,mwanasheria mkuu ambao ni watumishi wa serikali moja kwa moja? Serikali inahusika na nini hapo? Na kwa nini serikali iingilie kati kama ulikuwa mgogoro wa watu binafsi? Pasco unapotosha umma
 
Yani umeandika sana ndg yangu. Lakini katika maandiko yako hakuna mahali popote umetoa ushahidi wa memorandum of understanding ya hiyo kampuni ya Simba ili tujue wamiliki wake. Vinginevyo ni maneno ya kwenye kanga. Mlianza kumchafua Pinda, sasa mnamchafua mkuu wa nchi. Kesho mtawachafua hata mama zenu. Tutumie kalamu zetu vizuri
 
Kama hii taarifa ina ukweli basi naanza kuhisi kuwa hata stress zinaweza ku- instigate bush.a kuchachamaa
 
Back
Top Bottom