DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
kiteleweka tu hatoki mtu hapo? uwekewe mamilioni ya pesa kwenye akaunti yako usistuke? imekula kwenu,chafueni watu hapa lakini mwisho wa siku aibu
 
jiulize akili yako mama anaitwa Salma na mtoto anaitwa Salma,hii haiwezi kuwa habari za vijiwe vya kahawa labda kwenye viroba,mbege,bangi na unga huko ndio kwenye mijitu mijinga

Soma vizuri majina! Salima ni tofauti na Salma! Pia Salima ni tofauti na Salama na pia ni tofauti na Salma. Kwa mada ya Yericko sijaona alipoandika Salma! Na kwa maana hiyo Salma hahusiki na sakata hilo, kabda kama unataka kumpakazia wewe, lakini nilivyoelewa ni watoto mmoja akiitwa Salima na siyo Salma!!!
 
mkuu, uwe unashirikisha vizuri ubongo wako japo kwa kiasi kidogo. Si kuendekeza ushabiki kwa Yeriko. Yeriko ni muongo na mzandiki

muongo siku zote ni kufuta uongo wake kwa kuweka ukweli na kwa sababu anajulikana kesho asubuhi nendeni mkamfungulie kesi
 
watu kila siku wanalalamika jk na familia yake wanafanya biashara ikulu ,
 
sasa unajiuliza nini wakati mwanzo umetaja majina ya wamiliki wa hiyo kampuni? Acha kuchafua watu tena mbaya zaidi unamchafua mkuu wa kaya

Kamchafuaje? Ni suala la kawaida Tanzania rais kuwa na kashfa.
 
Kuna mambo yakitokea mtu hubaki mkiwa tena peke yake maana dunia inageuka kuwa sumu chungu. Lets hope this is not the case. Maana kuna nyakati sauti kama hizi huwa hazizimwi kwa maneno mepesi mepesi. Tanzania inahitaji mabadiliko
 
Kikwete hakuingia ikulu kuleta maendeleo bali kuruhusu ufisadi wake yeye,familia yake na maswahiba wake
 
Nyota ya jk uko juu sana akirudi tu anakwenda kuendelea na ujenzi wa daraja la zanzibar wakati nyie mmekali majungu na kuzua zitto kaiba hamjamuona mnakimbilia kwa miraji.

U-mwanamke mwenzangu lakini points zako unazotoa zinatia aibu.Wengi wanaongelea Taifa uko busy unaweka upumbavu.Jitahidi kuwa mzalendo, kama ni tatizo limeshatokea tuangalie namna ya kulinda mali asili zetu.Tukiongelea umuhimu wa katiba bora lazima uweke kashfa , na matusi.Kwa kweli unatutia aibu wanawake wenzako.Badilika.
 
kama nyie Jf wanaume kweli pelekeni hii mada kwenye facebook maana pale tukimaliza kupost tu unaiona hiyoo hapa jf mnachakachua maoni ya watu na mnaleta ushabiki wa kisiasa,mtatumikia mabwana zenu lakini hamtoki.
1. utiliwe mamilion ya pesa za kifisadi usitaharuki ukayatolea ripoti ukabana kimya mpaka ilipuliwe?

2. Mke wa Rais anaitwa Salma na mtoto wamuite Salma hii ni kioja cha mwaka,njia ya muongo ni fupi. hawa sio tongotongo bana mama anaitwa Salma na mtoto Salma,haiwezekani bana.

3. futeni na hii
 
weka ushahidi wa upuuzi uliouandika. Umbea tu mwisho utavalishwa kanga

kaka upati usingizi kabisa siku hizi pamoja na wanafki wenzako wa lumumba mliopangiwa nyumba na CCM kwa lengo la kuwaadaa watanzania na kupoteza watanzania juu ya ukweli wa mambo hapa nchini. huu ni mwanzo tu

embu nikuulize swali hivi hiyo picha hapo ya kagame na mzee wa kaya ulikuwa una maanisha kwamba kikwete ni jembe kama kagame au?
 
jamii forum isipoodokana na habari za kupika na majungu inaanza kuounguza umuhimu wake kwa jamii na kwa great thinkers as it used to be sought of
 
Duh, Halafu tunadanganywa eti IPTL itashusha gharama ya umeme toka 400 mpaka sh. 80 kwa Unit....!!! kumbe tayari wanajipatia tsh Ml 400 kwasiku Wazalishe wasizalishe...!!!!.. Poor Tanzania

BACK TANGANYIKA

hivi huyu mwanadiwani ambaye alikuwa nanapovuka kuhusu IPTL kushusha umeme then KAFULILA kuozea segerea yupo wapi sijamsikia huku au nayeye yupo huko sehemu wanapo badilisha ukweli na kuweka uongo wa hito report.
 
humu ingependeza sana kama watu wangejadili mambo ya kweli kwa lengo la kujenga sio majungu, umbeya na vitu vya kupika. Tutawafanya watu wasiamini mambo mengine ya msingi kwa kuwa tu tumeanza kujadili masuala kwa chuki na mitizamo ya kiitikadi au kwa kumchukia mtu na kumzulia mambo
 
Mwambie atangulie mahakamani nitamkuta huko,

Jibu stahiki.Tumkute mahakamani kama anaubavu.Na pia amwambie Msure tunahitaji ile ripoti aliyopewa na yule mheshimiwa toka Takukuru.Tena aitoe kwenye magazeti ili watanzania wote tuisome na kuielewa kama anavyoipigia chapuo ile katiba ya mafisadi na watanzania tunaitaka hiyo ripoti.
 
..miraji mwenyewe kajibu kule facebook katika account yake
pitieni muone mlinganishe
 
Back
Top Bottom