DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Niliwahi kusema kuwa siku zimewadia kwani hata ongea ya raisi wetu majuzi ni wazi kuna 'kitu' nyuma ya pazia! Yeriko nakuaminia mkuu!
 
Unaongea kwa ushahidi gani kuhusu wamiliki wa Simba Trust, kutokana uliowataja kuwa wamiliki wamekataa, tupe ushahidi wako. Unasema pia nchi za Ulaya hazitoi shutuma za uongo hauoni zimepigana vita na kuondoa madarakani viongozi halali wangapi kwasababu za uongo.
 
mtu sio mpumbavu kueleza jambo nyeti kama ili ukizingatia ni mtu anaefahamika
hacha ushabiki mnatuaribia nchi yetu k.u ma wewe!
 

Taja source ya hii taarifa yako.
 
sasa unajiuliza nini wakati mwanzo umetaja majina ya wamiliki wa hiyo kampuni? Acha kuchafua watu tena mbaya zaidi unamchafua mkuu wa kaya

Ikulu yote ni shida kwa sasa.
Ukiona mpaka maofisa wakubwa wa ikulu wanahojiwa na tume ya maadili ujue kuna tatizo
 
sasa unajiuliza nini wakati mwanzo umetaja majina ya wamiliki wa hiyo kampuni? Acha kuchafua watu tena mbaya zaidi unamchafua mkuu wa kaya
Hapa amemchafua au amesema ukweli, kama ni uongo ampeleke mahakamani.
 
Wote lazima mahakamani baada ya October


swissme
 




Safari ya JK Australia.



 
ndio nayona hii leo....familia ya jk watuambie Stanbank ilkuwaje?
 
Mkuu tangu awali kulikuwa na dalili zote kuwa familia ya mkuu ilihusika! Aombe saa CDM isiingie madarakani watakiona ha mtemakuni
!
 
CCM ni ukoo wa panya!


Nchi ya maajabu sana

Mfuko Wa cement kg 50 bei 12,500
Mfuko Wa unga Wa mahindi kg 50 bei 50,000

99% ya wananchi wanaishi kinyume na mapato yao yani mtu anapata mshahara 500,000 kwa mwezi anatumia 2,000,000 kwa mwezi maajabu haya

January makamba nae anataka kuwa raisi dah aisee
 
Duh! Allah tujalie kheri siye watanzania, maana viongozi wa nchii hii wamekuwa wezi kila mtu bila kuona huruma ya wenzao tunaoteseka kwa hali duni ya kimaisha. Kumbe ndiyo maana mafisadi hawafungwi maana mkuu wa kaya anajua na yeye yumo!! Eeh mungu tusaidie siye waja wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…