Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante, ILA mambo yamepoaHizi fedha familia ya kikwete na yeye mwenyewe wataenda kuzilipia icc the hague. Shenzi hawa
Aibu kidogo!! Sasa imetosha Tanzania kuwa Mali ya familia. Tufanye maamuzi maana CCm kila kiongozi Ni mwizi na ndiyo maana hawajibishwi! Baba mwizi, mtoto mwizi, mjukuu mwizi!! Hii nchi itapona kweli??Rais Mwizi ni aibu
Asante, ILA mambo yamepoa
Ufisadi mkubwa lakini mimi nimesoma mambo mengi ya ufisadi yaliyofanywa na marais wa marekani in recent history na ufisadi huu unaozungumzia hapa ni nothing,absolutely nothing compared to that.
Ufisadi mkubwa lakini mimi nimesoma mambo mengi ya ufisadi yaliyofanywa na marais wa marekani in recent history na ufisadi huu unaozungumzia hapa ni nothing,absolutely nothing compared to that.
Wizi ni wizi bila kujali nani kaiba na yuko wapi. Lazima jamii nzima kuwa na maadili na kujiepusha na wizi. Kimsingi watu wote wanaoiba hawapendi nchi hii. Na ni chanzo cha umaskini wa Tanzania.Kwahiyo tusiujadili wala kuhoji kwakuwa haujaufikia ule uliousoma wakimarekani?
Tanzania na Marekani ni mbingu na ardhi
Ufisadi mkubwa lakini mimi nimesoma mambo mengi ya ufisadi yaliyofanywa na marais wa marekani in recent history na ufisadi huu unaozungumzia hapa ni nothing,absolutely nothing compared to that.
Yericko na bangi zake za kuvutia chooni anakuja kupotosha hoja ya ukweli huwa haiko hivyo mwambie zitto mjipange upya jk anafanya maendeleo kama haya
View attachment 200994
Ufisadi mkubwa lakini mimi nimesoma mambo mengi ya ufisadi yaliyofanywa na marais wa marekani in recent history na ufisadi huu unaozungumzia hapa ni nothing,absolutely nothing compared to that.
Aisee ina maana ukawa wakichukua nchi hatapona???Raise Mwizi, watoto wake wezi
So what? Andrew Nyerere, budget ya mtu moja tu Marekani yaweza kuizidi budget ya serikali nzima ya Tanzania! How dare you compare the two countries! Ni sawa na kulinganisha ukubwa wa tembo na sisimizi. Kwa akili hii, sidhani kama uko salama...unayo matatizo makubwa.Ufisadi mkubwa lakini mimi nimesoma mambo mengi ya ufisadi yaliyofanywa na marais wa marekani in recent history na ufisadi huu unaozungumzia hapa ni nothing,absolutely nothing compared to that.