DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Duh! Allah tujalie kheri siye watanzania, maana viongozi wa nchii hii wamekuwa wezi kila mtu bila kuona huruma ya wenzao tunaoteseka kwa hali duni ya kimaisha. Kumbe ndiyo maana mafisadi hawafungwi maana mkuu wa kaya anajua na yeye yumo!! Eeh mungu tusaidie siye waja wako

Inshallah Sheikh...
 
Hayo ni mawazo yako yalipotoka mnona slaa alishindwa kupata hata kura elfu kumi akashindwa hata kusogea alipokuwa amesimama jk ni kiongozi hodari ndiyo maana kwa sasa tanzania haipo kwenye kundi la nchi 25 maskini duniani wakati2010 tulikuwa katika nchi kumi maskini soma hapa.

Tz ni ya kwanza kwa umaskini Duniani ww. Nchi nyingi unaona kama ziko nyuma ni taarifa za uongo tu ambazo serkar yetu inaziwakilisha kwa ma bwana zao, nchi hizo zilizowekwa hapo ni nch ambazo kila wakati zinapigana zenyewe kwa wenyewe na hii ni kwa sababu wanajitambua, ok cc wa tz tumepigana lini? mnasema nchi ya amani wakati wananchi wake maskini sana, haiingii akilini br. CCM NI ZILO KABISA HAMFAI
 
ni aibu sana Familia ya Jk Kudeal na Ufisadi....hivi TISS huwa wanafanya kazi Gan?
 
Ndiyo maana nasemaga CCM Ni ukoo wa panya yaani kila kitu mnaiba bila huruma, wenzenu hata dawa wanakosa nyie mshapiga deal!!!:A S 103:
 
Ufisadi wa Jakaya hautuhusu kwa sababu yeye anakwenda zake msoga kwa wakwere wenzake, kitu tusichokubali ni kupata lifisadi jingine ambalo limejichimbia miguu tayari na kwa miomgo kadhaa limekuwa linaishi kwa kuwadhulumu walipa kodi kodi wa nchi hii. Hili jizi la mchana kweupe EL linatakiwa kupelekwa Monduli likaishi kule hakuna tena kutafuna mpunga wa walipa kodi, halitakubalika tena pesa linakopata bila kulipa kodi sahihi na kudumaza shirika la TTCL halitakubalika kamwe.
 
Ndio maana mwezi uliopita wana familia hao walienda Australia kuweka mambo sawa. Nadhani Jamaa anataka kuweka makazi kule aishi na Kangaroo. Kitaeleweka tu.
 
Ufisadi wa Jakaya hautuhusu kwa sababu yeye anakwenda zake msoga kwa wakwere wenzake, kitu tusichokubali ni kupata lifisadi jingine ambalo limejichimbia miguu tayari na kwa miomgo kadhaa limekuwa linaishi kwa kuwadhulumu walipa kodi kodi wa nchi hii. Hili jizi la mchana kweupe EL linatakiwa kupelekwa Monduli likaishi kule hakuna tena kutafuna mpunga wa walipa kodi, halitakubalika tena pesa linakopata bila kulipa kodi sahihi na kudumaza shirika la TTCL halitakubalika kamwe.

TEH TEH TEH...ETI UFISADI WA JAKAYA HAUTUHUSU,huoni hata aibu kusema hivyo? ESCROW....hahaha
 
Kumbe ndio maana Kikwete anatembea na Magufuli kila anakoenda anajua kuwa ndiye atakayemfichia madhambi yake na kumlinda akitoka madarakani. Watanzania hatudanganyiki mwaka huu. Kura zetu kwa UKAWA tu
 
Duuu! fedheha kubwa kama kweli,yani mapesa yote hayo na mnalala usingizi wakati watoto wawenzenu wakufa kwakukosa dawa hospitali nyie mnajivutia mipesa na watoto wenu,mwenyezi mungu hamfichi dhalim,dua za wanyonge hulipwa na mungu,sasa wamegeuka samaki walana wao kwa wao.....

Umenikumbusha wimbo wa Mzee Issa Matona...sasa wamegeuka samaki walana wao kwa wao...hii dhambi hii,Mwenyenzi Mungu atalipa hata hakutuwezi sisi.
 
Nchi ya maajabu sana

Mfuko Wa cement kg 50 bei 12,500
Mfuko Wa unga Wa mahindi kg 50 bei 50,000

99% ya wananchi wanaishi kinyume na mapato yao yani mtu anapata mshahara 500,000 kwa mwezi anatumia 2,000,000 kwa mwezi maajabu haya

January makamba nae anataka kuwa raisi dah aisee

Lita ya petroli TSh 2,200 lita ya bia(ie 2btls) Tsh 5,000. 🙂🙂🙂
 
Kikwete, umefanya u.h.u.n.I usiovumilika nchi hii. Ulistahili kuwa kwenye list of shame. Wewe ni mwizi. Mwanao Ridhiwani ni tajiri wa kutupwa wakati kamaliza masomo juzi tu, tena ni shahada ya kwanza tu! Familia yako imekwepua vya kutosha Escrow. Sasa na CCM inakufa mikononi mwako! Tuonee huruma baba, nchi ya kwetu sote! Si ya familia yako.
 
Tukutane oct 25,wahusika saidieni majina ya watu wengi hayaonekani ktk kujihakiki.
 
Sijawahi kusikia watuhumuwa wakikiri makosa yao hata kama ushahidi upo.huo utamaduni wa kukubali kufanya kosa ni ustaarabu ambao haupo Tanzania.
 
Ufisadi wa Jakaya hautuhusu kwa sababu yeye anakwenda zake msoga kwa wakwere wenzake, kitu tusichokubali ni kupata lifisadi jingine ambalo limejichimbia miguu tayari na kwa miomgo kadhaa limekuwa linaishi kwa kuwadhulumu walipa kodi kodi wa nchi hii. Hili jizi la mchana kweupe EL linatakiwa kupelekwa Monduli likaishi kule hakuna tena kutafuna mpunga wa walipa kodi, halitakubalika tena pesa linakopata bila kulipa kodi sahihi na kudumaza shirika la TTCL halitakubalika kamwe.

Umekosa choo?mbona wajinyea?
 
Back
Top Bottom