Duh! Allah tujalie kheri siye watanzania, maana viongozi wa nchii hii wamekuwa wezi kila mtu bila kuona huruma ya wenzao tunaoteseka kwa hali duni ya kimaisha. Kumbe ndiyo maana mafisadi hawafungwi maana mkuu wa kaya anajua na yeye yumo!! Eeh mungu tusaidie siye waja wako
Hayo ni mawazo yako yalipotoka mnona slaa alishindwa kupata hata kura elfu kumi akashindwa hata kusogea alipokuwa amesimama jk ni kiongozi hodari ndiyo maana kwa sasa tanzania haipo kwenye kundi la nchi 25 maskini duniani wakati2010 tulikuwa katika nchi kumi maskini soma hapa.
Amina, But I am a womanInshallah Sheikh...
Amina, But I am a woman
Ufisadi wa Jakaya hautuhusu kwa sababu yeye anakwenda zake msoga kwa wakwere wenzake, kitu tusichokubali ni kupata lifisadi jingine ambalo limejichimbia miguu tayari na kwa miomgo kadhaa limekuwa linaishi kwa kuwadhulumu walipa kodi kodi wa nchi hii. Hili jizi la mchana kweupe EL linatakiwa kupelekwa Monduli likaishi kule hakuna tena kutafuna mpunga wa walipa kodi, halitakubalika tena pesa linakopata bila kulipa kodi sahihi na kudumaza shirika la TTCL halitakubalika kamwe.
Jamani hao wenye simba trust kumbe in chadema?
Duuu! fedheha kubwa kama kweli,yani mapesa yote hayo na mnalala usingizi wakati watoto wawenzenu wakufa kwakukosa dawa hospitali nyie mnajivutia mipesa na watoto wenu,mwenyezi mungu hamfichi dhalim,dua za wanyonge hulipwa na mungu,sasa wamegeuka samaki walana wao kwa wao.....
Jamani hao wenye simba trust kumbe in chadema?
Nchi ya maajabu sana
Mfuko Wa cement kg 50 bei 12,500
Mfuko Wa unga Wa mahindi kg 50 bei 50,000
99% ya wananchi wanaishi kinyume na mapato yao yani mtu anapata mshahara 500,000 kwa mwezi anatumia 2,000,000 kwa mwezi maajabu haya
January makamba nae anataka kuwa raisi dah aisee
Lita ya petroli TSh 2,200 lita ya bia(ie 2btls) Tsh 5,000. πππ
Ufisadi wa Jakaya hautuhusu kwa sababu yeye anakwenda zake msoga kwa wakwere wenzake, kitu tusichokubali ni kupata lifisadi jingine ambalo limejichimbia miguu tayari na kwa miomgo kadhaa limekuwa linaishi kwa kuwadhulumu walipa kodi kodi wa nchi hii. Hili jizi la mchana kweupe EL linatakiwa kupelekwa Monduli likaishi kule hakuna tena kutafuna mpunga wa walipa kodi, halitakubalika tena pesa linakopata bila kulipa kodi sahihi na kudumaza shirika la TTCL halitakubalika kamwe.